Huduma zetu
Katika James Herbal Clinic unaweza ukapata huduma zifuatazo:
KUTIBU NA KUONDOA MATATIZO YA UZAZI
Katika Klinik yetu tunatoa tiba ya matatizo ya uzazi ikiwemo,kutokupata ujauzito (ugumba), uvimbe kwenye tumbo la kizazi (Fibroid), mirija ya uzazi kuziba,uvimbe maji(ovarian cyst).