Wanawake wajawazito hupatwa na msongo wa mawazo sana kwa vitu vidogo vidogo tena vya kawaida mno. Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea kutokwa na uchafu wenye majimaji ukeni wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu hizi ni za kawaida kabisa wala hazina madhara, lakini zingine zipo zinaweza kuonyesha viashiria vya hatari, nawe unapaswa uwahi kufika hospitali mara uonapo hali dalili kama hizo.
Anapendeza kweli mama mjamzito pale tumbo linapozidi kukua, kama unavyoona hapo juu kwenye picha.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu ambazo hutokana na kutokwa na uchafu wenye majimaji ukeni wakati wa ujauzito:
- Utoko Mweupe
Kwa upande mwingine naweza nikasema hivi, utoko ni kitu cha kawaida kabisa; lakini kinaweza kuwa kibaya kwa mwanamke anapokiona kinatokea wakati wa ujauzito wake.
Lakini nipende kukufahamisha kuwa, viwango vya homoni ya estrogen huongezeka sana kadiri mimba inavyozidi kukua, na hali hii husababisha huongeza mtiririko wa damu kuelekea ukeni, na matokeo yake ndio utaona uchafu wenye majimaji ukitoka ukeni.
NUKUU: Uchafu huwa ni wa kawaida kabisa tena mzito na wenye rangi nyeupe. Mara nyingi hali hii inapojitokeza kwa mama mjamzito humpa wasiwasi sana, na imani yake huja mara tu pale anapopata maelezo kutoka kwa daktari.
- Ute Utelezi
Jambo lingine ni hili hapa, napenda niwajulishe kina mama wajawazito kuwa, unapobeba ujauzito, mlango wa kizazi(Cervix) huvimba na kuwa mnene kwa ajili ya kutengeneza mlango au uwazi. Ikiwa kama ungebaki katika hali hiyo, basi yaweza kuwa hiyo ndio ingekuwa njia ya kupitia bakteria kwenda kwenye mji wa mimba(uterus). Lakini mwili hauwezi kuruhusu hali hiyo ijitokeze kwa kiumbe kinachkuwa tumboni.
NUKUU: Hivyo basi, chini ya mlango au uwazi huo hutengenezwa ute ute mwingi, nao huzuia aina ya bakteria yoyote asiweze kuingia kwenye mfuko wa uzazi(uterus). Mwanamke anapokaribia kujifungua, uteute huondoka na hivyo husababisha kuwepo kutokwa na uchafu wenye majimaji ukeni na unaweza ukashuka mpaka mapajani mwake. Lakini hatua hii ya ujauzito, wanawake wengi wameizoea kama hali ya kutokwa na uchafu ukeni.
- Mkojo
Kadiri tumbo la mama mjamzito linavyozidi kuwa kubwa, bila shaka huleta habari mpya kwa mama au mume anayetarajia mtoto. Naamini kila siku inapopita lazima mama akutane na miujiza mipya.
Tambua leo hili kuwa, tumbo linapozidi kuwa kubwa pia husababisha msukumo hasa maeneo ya kibofu cha mkojo. Mjamzito anapokohoa, au kucheka, mara nyingi vinaweza vikashuka vitu kama majimaji ukeni. Lakini cha kushangaza ni kwamba, huu huwa ni mkojo tu.
- Kujifungua Kabla Ya Muda
Uonapo uchafu wa majimaji wenye rangi ya kahawia au nyekundu wakati wa ujauzito ukitoka ukeni, unapaswa kuwa makini sana. Yawezekana ni dalili za kujifungua kabla ya muda wake, na unapaswa kukimbia hospitali mapema ili kuonana na daktari.
Unaweza ukavua nguo ya ndani ukashangaa unaona uchafu kama huo hapo kwenye nguo ya ndani
- Bakteria Ukeni
Bakteria ukeni huzaliana kama matokeo ya kutokuwa na uwiano sawa wa bakteria wa asili ukeni. Uonapo dalili za uchafu wa njano au ukijivu vile ukitoka ukeni tena wenye harufu mbaya kama shombo ya samaki, basi hizi ni dalili zinazoonyesha kuwa una bakteria ukeni, na unapaswa uwe na tahadhari kubwa sana ili kuweza kupata matibabu kwa ajili ya kuzuia madhara yoyote kwa kiumbe kilichomo tumbini.
Unaweza kukutana na uchafu kama huo mama mjamzito kwahiyo unapaswa uwe makini sana.
- Magonjwa Ya Zinaa
Utafiti unaonyesha kwamba wanawake wajawazito wanapenda kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, sijui kama madai haya ni ya kweli au la. Lakini ni kweli kabisa kuwa wanawake wengi wajawazito hushindwa kuvumilia wanapokuwa peke yao bila mwanaume.
NUKUU: Mwanamke mjamzito unapopatwa na maambukizi ya zinaa wakati wa ujauzito, dalili zinazokupata huwa ni kutokwa na uchafu wa njano wenye harufu mbaya ukeni.
Je, unahitaji huduma? Tupigie kwa namba zetu hizi: 0752389252 au 0712181626.
Arusha-Mbauda
Karibuni sana.
Je kama hayo maji yanayotoka ni mengi? Madhara ni nini kwa mjamzito
Madhara ni mtoto kupoteza uhai wa mtoto
Je ni jambo la kawaida haya maji yanayotoka ukeni yanaposhuka kwenye mapaja na kwenye mashavu ya ukeni kusababisha maumivu makali kama mchubuko mapaja yanapogusana na kwenye mashavu?
Sio jambo la kawaida maji kushuka mapajani. Ukiona hali kama hiyo wahi kabisa hospitali kwasababu inaweza kuwa dalili ya matatizo ya ugonjwa.
0782212175
Karibu sana nimeshakuunganisha
Je kama maji ni mengi yanatoka ukeni yanalowanisha nguo ya ndan na mepesi yanarang ya kahawia itakuwa shida nn
Natokwa uchafu huo wa njano lkn haitoi harufu yyte nmepimwa hospital magonjwa ya zinaa hakuna na unakera sana sana nikitoka haja ndogo nao unatoka
Naomba namna ya kuutibu usitoke
Je, una namba ya whatsssap
Mimi nikipima kipimo cha mimba mstar mmoja unatokea kwa mbaliii sana na nina week mbili na siku mbili pia dalili za mimba zimepotea nn shida
Hilo ni ni tatizo la homoni dada
Hizo ni dalili pia za ujauzito. Pima tena baada ya wiki tatu
0710573520 nina shida addmin nakuomba watsapp
Karibu sana katika group letu tayari nimesha kuunganisha
Pia nina ttz hilo
Mm nna ujauzito wiki 11na siku 3 lakin leo nimeona ute wa njano na kitone cha damu kidogo…ila baada hapo nilijisaidia sikuona tena huo ute tatizo nino
Je, umeshafika hospitali kwenda kupima?
Naomba niunge kwenye group lako 0782212175
Karibu sana
Je kutokwa na Huo uchafu mweupe nidalili moja wapo inayoashiria mimba kutungwa
Hapana, hizo sio dalili za tatizo la mimba kutunga nje ya tumbo la uzazi bali ni dalili za maambukizi au mabadiriko ya homoni mwilini kwa mwanamke
Nina shida 0712931629
Tayari nishakuunganisha
Naomba kuunganishwa kwenye group lako Nina shida namba yangu n 0621065006
Karibu sana dada tayari nimeshakutumia maelekezo, karibu katika darasa letu
Niunge ktk group 0620111899
Karibu sana mpendwa tayari tumekuunganisha kwenye group letu
0757675356 nami naomba nionganishe kwenye group kusudi elimu hii niipate kwa karibu zaidi
Nina shida
0658631039
Nina shida naomba nami uniunge 0676899981
Dada Diana tayari tumeshakuunganisha kwenye group
Naomba niunge dada ninashida sana0763205161
Sawa dada Helena naomba ufungue data yako tayari nimeshakutumia link
0785597487 naomb niunge
Karibu sana
Nina shida
Karibu sana
Naomba kuunganishw kweny group 0712274569
Karibu sana tayari nimeshakutumia link
naomba uniunge
Na nini?
Nina shida naomba kuunganishwaa 0713998533
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
Naomba ñijiuge
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Naomba uniunge namimi ninashida
Naomba uniunganishe pia
Ujauzito una miez nane natokwa na uchafu w njano na unaharufu mbaya sina maumivu j ni tatizo?
Dada hayo ni maambukizi ya PID. Tuma namba yako ya whatssap
Hi nami nina tatizo hilo naomba kuungwa 0653 232626
Sawa naomba ufungue data yako ya whatssap
Naomba niunge kwenye group lako 0782212175
Karibu sana
Nina shida naomba niunge
0620241305
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
0654742274 niunge
Karibu sana dada tayari nimeshakutumia link angalia katika whatssap yako
Nimepitiliza kujifungua na uke unatoa maji maji yenye harufu mbaya. Ni dalili za maambikizi Dada?
Nimepitiliza kujifungua na uke unatoa maji maji yenye harufu mbaya. Ni dalili za maambikizi Dada?
Pole sana dada hizo ni dalili za maambukizi naomba ufike Kliniki uonane na daktari wako
Habar dada naombaa na mm uniunge kweny grup
O658491024
Karibu sana dada Amina tayari nimeshakutumia link ya group letu naomba uandae App ya telegram
Dada na mimi naomba niunge kwenye kundi
Tuma namba yako ya whatssap
0744569759
Karibu sana dada Hawa tayari nimeshakupatia link
Nna shida naomba niunge 0629292463
Tayari dada Felister tumepokea namba yako naomba ufuate maelekezo kwenye data yako
Nami naomba uniunge 0767962416
Tayari dada nimeshapokea namba yako naomba ufungue data yako ufuate maelekezo ya kujiunga na group letu
Mm mimba ya Tatu hii lkn hii iko tofauti natoka uchafu mweupe au nitabadilisha mtoto maan mimba zng zote sitoke uchafu na wakike nimezaa 2 lkn hii natoka uchafu sana
je, umewahi kwenda kupima ?
Naomba uniunge na mm kwenye ilo group mimi tatizo langu natokwa na uouchafu wa manjano na wala hauna harufu nikivua chupi naona umefanya rangi ya manjano ila haunuki ni nini tatizo b
ok
Plz admin naomba uniunge kwa group namba angu 0744331059
Namba yangu ya cm 0674577749 naomba uniunge na mm
Dada namba yako tumeshaipata naomba ufungue data yako uweze kupata maelekezo namna ya kujiunga na group letu. Karibu sana
0622751071
Naomba niunge
Karibu sana naomba ufungue data yako utaona maelekezo tumekutumia
Naomba na mm uniunge 0622647025
Namba yako haiko sahihi
Naomba niunge grp plz 0762109593
Karibu sana dada Teddy tayari nimeshakutumia link fungua data yako
Naomba uniunge plz nina shida
Nina shida naomba niunganishe kwenye group lako la watsp namba yangu 0621065006
NAomba kuunganishwa na group lako
Tuma namba yako ya whatssap uweze kupewa link
Naomba kuungwa kwenye grupu 0756054359
Karibu sana dada Ratifa tayari nimeshakuunganisha na group
Nina ujauzito wiki ya 37sasa,ninatokwa na uchafu wenye rangi ya mawingu lkn ukifika ktk chupi unaonekana wa njano,unatoa harufu hata mm mwenyewe ninakereka,na ukeshatoka ninapata kuwashwa ukeni.Naomba uniunge kwa group.0787943767
Nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufuate maelekezo
Naomba uniunge kwenye hilo group Mimi Nina shida pia. 0763196641
Tayari tumeshakutumia link naomba ujiunge
Hello nami naomba uniunge 0716654808
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
Dada na me naomba niadd kwenye group 0753127397
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
Habari za asubuhi, jamani nina mimba ya miezi 2 lakini sina dalili zozote za mjamzito, je kuna tatizo lolote
Je, uliwahi kupima ukahakiki kuwa ni mimba?
Dada na mimi naomba niunge kwenye kundi 0768405557
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
naomba uniunge kwenye grup la watsap 0747005245
Karibu sana mpendwa tayari tumekuunganisha kwenye group letu
naomba uniunge dada 0788782925
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
naomba uniunge pia kwenye hilo group 0788782925
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
Hbari Nina shda pia!0674547068
Karibu sana tayari nimeshakutumia link kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako utaona
Asante nmeelewa lkn nina tatizo lingine
0625308733 add me tafadhali
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
0676949599 naomba niunge
Tayari nimeshakutumia link kwenye whatassap naomba ufungue data yako
Asante nmeelewa lkn nina tatizo lingine
0625308733 add me tafadhali
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Hello Nina tatzo hilo pia 0752782078
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Niunge 0682976978
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Plz naomba uniunge kwenye group..0766233108
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Nina shida dada niunge kwenye group 0754026783
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Thanx sisy naomba uniunge kwenye group 0718525605
Nicky tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Admin naomba uniunge my number 0659616084
Karibu sana dada katika James Herbal Group
Naomba uniunge ninashida Dada 0675392555
Dada Nina shida naomba uniunge kwenye group tafadhali 0745726209
Karibu sana dada Sophia tayari tumeshakuunganisha na group letu
Nsaidie plz uniadd kwa group pls
Niunge group
Tuma namba yako ya whatsap
Nashukuru kwa maelezo yako Nina shida tena niunge kwenye group 0753231039
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Naomba nam niungwe kwa group namba +258844580008
Naomba niunge kwenye group Nina shida
Naomba nami niunge kwenye group 0766722383
Tayari nimeshakutumia link kwenye whatassap naomba ufungue data yako
Natoka uchafu ukeni pia 0679144385 naomba msaada
Naomba uniunge pls
Naomba niunge 0688765230
Zaynab tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Naomba niunge kwa group jo 0629526283
Shuu tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Naomba uniunge kweny group lako plz 0743850177
Dada Pinnah tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Ninashida naomba kuunganishwa..0757242210
Dada Felister tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Niunge name 0769859893
Dada Sauda tayari nimeshakutumia link yetu kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako
Niunge kwa WhatsApp group namba yangu 0757895715
0715886986
Dada Lidah tayari nimeshakutumia link yetu kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako
Naomba uniunge kwa group la watsap Nina shida 0763586853
Wanzita, tayari tumeshakutumia link na maelekezo kwenye data yako naomba ufungue. Karibu sana
0718-284780 naomba niunge
Karibu sana ndugu Adia tayari tumeshakuunganisha na group
Niunge kwa WhatsApp group namba 0757895715
0743070744 plz naomba uniadd
Dr nami pia ni mhanga wa kutoka uchafu wa njano na unatoa harufu ni mjamzito miezi 7 na pia nimechoma sindano za power safe lkn siponi
Pole sana dada hizo zitakuwa dalili za maambukizi hasa PID.
0625638722
Naomba kuungwa kwa group
Dada Kusunga, tayari tumeshakutumia link na maelekezo kwenye data yako naomba ufungue. Karibu sana
Naomba uniunge kwenye grp myn..no 0652273165
Karibu sana mpendwa katika James Herbal Group
Dr naomba uniunge kwa group lako nashida, namimba wiki 32 na siku 2 0718-284780
Tayari dada
Naomba uniunge kwenye group 0654928592
Karibu sana dada Katika James Herbal Group
Niunge kweny group Nina shida
Nna mimba ya wiki 37 lakini natokwa na maji mepesi uken na hayanuki je inaweza leta shida naomba uniunge kwa group
Tuma namba yako ya whatssap dada Leticia
Dr naomba uniunge kwa group lako nashida, namimba wiki 32 na siku 2 0718-284780
Tayari dada
Naomba niunge kwenye group lako 0712960871
Karibu sana dada Husna
Hallow naomba niunge kwa group 0719729210 asante
Karibu sana dada Katika James Herbal Clinic
0710982014 niunge na tatizoo plz
Karibu sana mpendwa katika James Herbal Group, tayari nimekuunganisha.
Mie pia ni mjamzito miezi 2 leo ni cku ya pili naona majimaji ya njano ayanuki tena asubhi ndio mengi lkn mchana ayatoki naomba uniunge mimi pia muhanga 0657004400
Mariamu tayari nimeshakuunganisha na group letu
admin naomba uniunge group 0777315141
Karibu sana katika James Herbal Group tayari nimeshakuunganisha
Naomba uniunge kwa group lako tafadhali 0712312566
Nami naomba uniunge no 0626368747
Karibu sana dada tayari nimekuunganisha
Naomba niunge na mm namba ni 0768887699
Karibu sana dada Happy tayari nimekuunganisha na group
Nina shida dada naomba uniunge kwenye group
0743257786
Karibu sana dada katika James Herbal Group
0762114468 naomba niunge kwenye group na shida
Tayari dada nimeshakuunganisha na group letu, karibu sana
Niunge group 0782441089
Karibu sana dada katika James Herbal Group, tayari tumeshakuunganisha
Naomba na mm niunge kwenye group 0715725426
Karibu sana dada katika James Herbal Group tayari tumeshakuunganisha
0655692023 niunge
Karibu sana katika James Herbal Group
Niunge 0752638774
Naitwa lilly mimi ni mjamzito na ninatokwa pia na uchafu kma huo ila nawashwa sana na nikikojoa bila kunawa ndio hatari kabisa naomba unis aide
Be blessed imenisaidia kweli Leo maana nilikua sielewi huo utoko, ule Ute Kama kamasi dah Asante sana naomba uniadd na Mimi 0743014344
N add kwa group plz 0705877695
Naomba niunge 0658631039
Karibu sana dada
Naomba niunge nina shida 0759059865
Karibu sana dada Marry
Nataka uniunge kwa group yenu Nina tatzo
Karibu dada tuma namba yako ya telegram au whatssap
Please nahitaji pia kuingia kwenye group 0716030053
Niunge katika group. Namba yangu ni 0717581068
Naomba uniunge 0787363864
Tayari dada tumeshakuunganisha na darasa letu
Naumba uniunge 0693048518
Niunge nnashida 0693048518
Naomba mniunge 0693048518
Naumba uniunge kwenye group 0693048518
habari doctor,,,naomba uniunge tafadhali 0752688393
Namba yangu hyo naomba nichek whatsapp
0657986129
Admin naomba uniunge kwenye group 0759618968
Tayari nimeshakuunganisha na darasa
Mimi Nina mimba ya week 4 na siku sita lakini na tokwa na uchafu mwepesi kama maji na unatoa harufu mbaya 0710726070
Tayari nimeshakuunganisha na darasa
Je mm Niko mjamzito wiki 39 na ni natokwa na uchafu ukeni yenye inachangia kujikuna Sana please help
Naomba uniunge nami 0686755221
Naomba niunge na group nina shida 0656650655
Je mm Niko mjamzito wiki 39 na ni natokwa na uchafu ukeni yenye inachangia kujikuna Sana please help
Naomba mniunge kwenye group 0769752665
Pia nini tiba ya mama mjamzito mwenye fangasi ukeni inawwsha anajikuna na anatoka maji meupe?je nini tulitumia tubu haikumsaidia
Namimi naomba niunge kwenye group
0676273858
Adimi naomba uniunge 0754528027
Niunge plzzzz 0653903655
Naomba msaada wa kuungwa kwenye group la watsap plz nina shida 0766247654
Karibu sana dada tayari tumeshakuunganisha
Naomba uniunge kwa group na jambo 0622070385
Karibu sana katika Group letu
Habarii naombaa uniungee kwenye group lakoo 0688293412
Namba hii haikubari whatssap. Tuma namba yako ya whatsap
Nina shda niunge group namba Ni 0622148170
Niungo whatsapp 0653214346
Naomba niunge kwenye group 0623912597
Nimekupata doctor wety
Naomba uniunge kwa group lako tafadhali 0712312566
Naomba uniunge kwenye group plse 0659983299 nina shida
Habarii naombaa uniungee kwenye group lakoo 0688293412
Naomba uniunge kwa group 0659983299
Tayari dada nimeshakuunganisha
0677766584
Karibu sana katika group letu tayari nimeshakuunganisha
0677766584
Tayari nimeshakuunganisha na group kaka
0677766584 add me to
Brian unatumia majina mangapi naona kama umetuma majina tofauti ;lakini namba ni moja
Naomba niunganishe kwenye group lako namba yangu ni 0620610573
Karibu sana katika group letu tayari nimeshakuunganisha
Mimi Ni mjamzito una miezi mine ninatokwa na maji haya washi wala Nini je Nini afu naomba kuungwa kwenye grup
Je, uliwahi kufanya vipimo kliniki?
Namba yangu ni 0764207549 naomba niunge tafadhari
Karibu sana dada tayari nimeshakuunganisha
Nice group
Dr naomba kuuliza nilipata ujauzito ila mimba ilitoka nikasafishwa hospital sasa hii ni wiki ya nne ndio nimeshiriki na mume wa ila juzi nimepika mimba vimetoka vimistari viwili ila wa pili uko kwa mbali sana hiv inawezekana nina mimba ila sina dalili wala maziwa hayajaja wala kuuma no 0716593022
Dr naomba kuuliza nilipata ujauzito ila mimba ilitoka nikasafishwa hospital sasa hii ni wiki ya nne ndio nimeshiriki na mume wa ila juzi nimepika mimba vimetoka vimistari viwili ila wa pili uko kwa mbali sana hiv inawezekana nina mimba ila sina dalili wala maziwa hayajaja wala kuuma no 0716593022
Naomba kuongea na ww 0716593022
Je kama maji ni mengi yanatoka ukeni yanalowanisha nguo ya ndan na mepesi yanarang ya kahawia itakuwa shida nn
Pole sana dada, je unaweza kutuma namba yako ya whatsap?