Na ieleweke kuwa, kuvimba kwa titi huwa ni kuathirika kwa tishu yake ambayo hupelekea titi kuuma, kuvimba, kuwa lenye unyevunyevu na hatimaye kuwa lenye rangi nyekundu. Hali hii pia inaweza kukusabbisha ukapatwa na homa au baridi kali. Kuvimba kwa titi mara nyingi huwaathiri wanawake wanaonyonyesha, ingawa wakati mwingine hali hii…
MATATIZO YA TEZI YA PARATHYROID
Matatizo makubwa ni pale tezi ya parathyroid inapozarisha kiwango kikubwa cha homoni au vichocheo vya parathyroid kwenye damu(hyperparathyroidism) au pale tezi za parathyroid zilizoko shingoni zinaposhindwa kuzarisha homoni au vichocheo vya kutosha vya parathyroid (hypoparathyroidism). Kiwango Kikubwa Cha Homoni Ya Parathyroid (Hyperparathyroidism) Katika matatizo haya, uzarishaji mkubwa kupita kiasi wa…
MADHARA YA MAMBUKZII YA UGONJWA WA PID
Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi(PID) ni maambukizi ya mirija ya mayai(fallopian tubes), vifuko vya mayai(ovaries), mfuko wa kizazi(uterus) pamoja na shingo ya kizazi(cervix). Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusababisha makovu ama tishu kuoteana ikiwa na mkusanyiko wa ute mchafu kama vile usaha kwenye mirija ya mayai, na hivyo kuharibu…
JE, JINSI GANI UVIMBE KWENYE MFUKO WA KIZAZI HUATHIRI UJAUZITO PAMOJA NA UWEZO WA KUPATA UJAUZITO?
Fibroids sio salatani bali ni vivimbe ambavyo huota ndani au nje ya mfuko wa kizazi(uterus) au mji wa mimba. Vivimbe vinaweza kushambulia ujauzito au kuondoa kabisa hali au uwezo wa kupata ujauzito. NUKUU: Vivimbe kwenye kifuko cha uzazi huwa ni vya kawaida kabisa. Tukiangalia asilimia 20%-80% ya wanawake wamekuwa wakipatwa…
JE, MBEGU ZA MWANAUME ZILIZO BORA NA ZENYE AFYA ZINAKUWA NA LADHA NA HARUFU GANI NA HUWA NA MUONEKANO GANI?
Baadhi ya watu wanaweza kujiuliza je, ladha ya manii au shahawa huwa ikoje, au harufu yake inakuwaje. Wakati unapoweza kubadirisha sifa hizi, basi mabadiriko yanaweza pia kuwa ishara ya matatizo. Ladha, harufu, rangi na muonekano wa manii unaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Manii zinaweza pia kubadirika…
MAMBO 7 YANAYOSABABISHA MANII ZA MWANAUME KUKOSA MBEGU.
Manii kukosa mbegu pale anapozitoa kitaalam tunaita, “azoospermia.” Vyanzo vyake ni pamoja na kuziba kwenye njia za uzazi, matatizo ya homoni, matatizo ya kufika kileleni, au matatizo kwenye korodani au utendaji kazi wake. Visababishi vingi vinatibika na uwezo wa mwanaume kumpa mimba mwanamke unaweza ukarejea. Kwa visababishi vingine inawezekana kurejesha…
YAJUE MADHARA 7 YA KUTISHA YA UGONJWA WA PID.
Madhara ya PID ambayo hayajatibiwa yanaweza kuchukua miaka mingi kuja kutokea. Matatizo yanayotokea yanaweza kuwa yenye maumivu. Madhara haya yanaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye viungo vya uzazi. Yanaweza kusababisha matatizo ya kutokushika mimba (utasa). Kadiri PID inavyoachwa bila kutibiwa kwa muda mrefu, ndivyo uwezekano wa matatizo haya hutokea.…
SABABU 12 ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZA MWANAMKE (HORMONAL IMBALANCE)
Hali ya kutokuwa na uwiano sawa(hormonal imbalance) kwa wanawake hutokea pale vichocheo au homoni zinapopanda sana au kushuka sana na kufikia viwango vya chini kwenye mkondo wa damu. Vichocheo au homoni huwa ni kemikali zinazozarishwa na tezi katika mfumo wa endocrine zinazoambia seli, tishu, pamoja na viungo, kitu gani cha…
JE, PID INAWEZA KUFANYA MGONGO WAKO KUUMA?
Kuna magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha maumivu kwenye nyonga kwa wanawake. Endometriosis ni mfano mojawapo, na PID ndio unafuata. Lakini kama dalili zako zitakuwa ni maumivu ambayo husambaa kuelekea juu, basi lazima utakuwa unajiuliza je, PID inaweza kufanya mgongo wako uwe na maumivu? Hebu ngoja tuangalie Makala hii. Je, Maumivu…
MADHARA 3 YA KUVIMBA KWA KORODANI(ORCHITIS)
Nini Maana Ya Kuvimba Kwa Korodani(Orchitis)? Orchitis ni kutuna au kuvimba kwa korodani moja au zote mbili. Korodani ni iungo vya mfumo wa uzazi wa mwanaume. Viungo hivi huzarisha mbegu na homoni za testosterone. Wanaume wote wana korodani mbili ambazo hukaa ndani ya kifuko kinachoitwa pumbu. Je, Epididymo-orhitis Ni Nini?…