Ni kawaida kushangaa endapo kama rangi au uchafu unatoka mara kwa mara ukeni kuwa ni wa kawaida au unahitaji kuchunguzwa. Uchafu utokao ukeni unaweza kuwa na rangi nyingi, na viashiria mbalimbali ili kuonyesha kuwa mwili una afya.
Katika makala hii tunaenda kujifunza ili tujue je, ute unalinda maeneo ya uke unakuwa na rangi gani?
Je, Uchafu Unaotoka Ukeni Huwa Ni Kitu Gani?
Uchafu utokao ukeni huwa ni majimaji fulani yanayotengenezwa kutoka kwenye tezi ndogo zinazokuwa ukeni na kwenye mlango wa kizazi. Maji maji haya huvuja kutoka ukeni kila siku ili kuondoa seli zilizochoka pamoja na mabaki, ili kuufanya uke pamoja na njia ya mfumo wa uzazi uwe katika hali yenye afya nzuri.
Kiwango cha uchafu unaotoka ukeni kinaweza kutofautiana kwa kila mwanamke. Rangi, uzito, na kiwango vinaweza pia kubadirika kila baada ya siku, kutegemeana na mazingira ya mwanamke anapokuwa hedhini:
- Siku ya 1-5
Mwanzoni mwa mzunguko wa hedhi, uchafu unaotoka ukeni mara nyingi huwa mwekundu au wenye damudamu, kadiri mwili unavyotumia nguvu kuliondoa gamba laini linalokuwa juu ya ukuta wa mfuko wa kizazi.
- Siku ya 6-14
Kipindi cha hedhi kinachofuata, mwanamke anaweza kuona damu kidogo ikitoka ukeni kuliko kawaida. Yai linapoanza kukua na kukomaa, basi ute utelezi unaokuwa kwenye mlango wa kizazi utabadirika na kuwa wenye rangi ya kijivu au mweupe au wa njano. Unaweza ukawa mzito.
- Siku ya 14-25
Siku chache baada ya yai kupevuka, ute utelezi hubadirika na kuwa mwepesi wenye kuteleza, kama ute wa yai la kuku vile. Baada ya yai kupevuka, ute hubadirika na kuwa wenye rangi ya kijivu, mweupe au wa njano, na wenye kunata.
- Siku ya 25-28:
Ute utelezi unaokuwa kwenye shingo ya kizazi hubadirika na kuwa mwepesi, na mwanamke anaweza kuuona kidogo tu, kabla hajaingia kwenye kipindi kingine cha hedhi.
- Uchafu Wenye Rangi Nyekundu
Uchafu huu mwekundu unaweza kutofautiana, kwani unaweza kuwa wenye rangi yenye kung’aaa au nyekundu sana. Uchafu mwekundu huwa ni matokeo ya damu ya hedhi kuanza kutoka.
Damu ya hedhi hutokea, kwa wastani, kwa kila mzunguko wa siku 28, ingawa kiwango cha kati huwa ni siku 21 na 35. Hedhi huwa ni ya siku 3-5.
NUKUU: Mwanamke yeyote anayepata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja, anapaswa afike hospitali mapema ili kumuona daktari. Ingawa kuna visababishi vingi hafifu vya kumfanya mwanamke apate hedhi mara mbili kwa mwezi, lakini navyo vinaweza wakati mwingine kuwa viashiria vya matatizo mabaya baadaye.
Mwanamke yeyote aliyefikia hali ya kukoma hedhi na kutokuona hedhi kwa takribani mwaka mmoja, anapaswa amuone daktari mapema ikiwa kama anapatwa na hali ya kutokwa na damu ukeni. Hii yaweza kuwa ni dalili ya salatani.
- Uchafu Mweupe
Uchafu mweupe unaweza kuongezeka, unaweza ukawa kama maziwa vile au wa njanonjano kwa mbali. Endapo mwanamke hatakuwa na dalili zingine, basi uchafu mweupe unaweza kuwa kiashiria kabisa cha kilainishio kizuri chenye afya ukeni mwake. Utakuta uke wake uko katika hali nzuri hata anapokutana kimapenzi na mwezni wake hakutakuwa na shida yoyote zaidi ya kufurahia tendo la ndoa.
NUKUU: Hata hivyo, endapo kama uchafu mweupe utakuwa mzito kama maziwa mtindi vile na kuwa na harufu mbaya, basi hii yaweza kuwa dalili za maambukizi. Muhusika anapaswa afike hospitali haraka bila kuchelewa ili kumuona daktari wa vipimo.
Uchafu mweupe wenye kunata, na wenye harufu mbaya mara nyingi huwa ni wenye maambukizi ya fangasi, ambao pia unaweza kusababisha muwasho ukeni.
- Uchafu Wenye Rangi Ya Njano Na Ukijani
Kama uchafu una rangi ya njano njano, inaweza isiashirie tatizo kwako. Hali hii hasa inaweza ikasababishwa kubadirika kutokana na vyakula unavyotumia.
Uchafu ambao ni wa njano kabisa, unjano wenye ukijani, au kijani yenyewe, mara nyingi huwa ni dalili za bakteria au maambukizi ya magonjwa ya zinaa. Jitahidi kumuonda daktari mapema endapo kama uchafu ni mzito na wenye harufu mbaya.
- Uchafu Wenye Rangi Ya Pink
Uchafu unaweza kuwa wenye rangi ya pinki kwa mbali au kabisa. Mara nyingi huwa unakuwa na damudamu kidogo. Uchafu wenye rangi ya pinki kwa kawaida hujitokeza huku ukiwa na matone ya damu damu kabla ya kipindi cha hedhi kuwadia. Hata hivyo, inaweza pia kuwa ishara ya damu kutoka pale yai linapojipachika kwenye ukuta wa tumbo la uzazi ujauzito unapoingia.
NUKUU: Baadhi ya wanawake hutokwa na matone ya damu damu baada ya yai kupevuka, hali ambayo pia inaweza kusababisha kutokwa na uchafu wa pink. Uchafu unaweza kuwa wenye rangi ya pink baada ya kufanya tendo la ndoa, endapo kama tendo lenyewe limesababisha maumivu kidogo au muwasho ukeni au maeneo ya mlango wa kizazi.
- Uchafu Msafi
Uchafu wa kawaida huwa ni msafi mweupe. Unaweza kuwa mwepesi au ukawa na uzito kama ute wa yai vile. Mwanamke anaweza akatokwa na uchafu mweupe msafi, mwepesi kabla yai halijapevuka, au wakati hisia au nyege zinapompanda, au anapopata ujauzito.
- Uchafu Wenye Rangi Ya Ukijivu
Uchafu unaotoka ukeni huku ukiwa na rangi ya kijivu huwa sio mzuri, na inaweza kuwa dalili za maambukizi ya bakteria wajulikanao kama, “Bacterial Vaginosis(BV)”.
Bakteria hawa kwa kawaida husababisha dalili zingine ukeni kama vile;
- Muwasho
- Hali ya kama moto ukeni
- Harufu mbaya ukeni
- Hali ya wekundu maeneo ya mashavu ya uke au mlango wa uke
NUKUU: Mwanamke yeyote anayetokwa na uchafu wenye rangi kama ukijivu pamoja na dalili zake hizo anapaswa kufika hospitali haraka sana bila kuchelewa.
Je, Ni Lini Unapaswa Kumuona Daktari?
Nakushauri umuone daktari ikiwa kama uchafu una harufu au muonekano usi wa kawaida . Mwanamke napaswa pia kutafuta tiba endapo kama anapatwa na dalili kama zifuatazo:
- Muwasho
- Maumivu au kutojisikia raha
- Uchafu mzito kama maziwa ya mgando
- Kutokwa na damu mara mbili kwa mwezi au baada ya hedhi kukoma
- Kutokwa na damu baada ya kufanya tendo la ndoa
- Kutokwa na damu kila mara baada ya kufanya tendo la ndoa
- Kutokwa na uchafu wenye rangi ya njano, ukijivu, au kijani
- Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya
- Kuhisi maumivu makali wakati wa kukojoa
NUKUU: Daktari atapima maeneo ya nyonga. Pia anaweza kuchukua uchafu kidogo ili kufanya vipimo.
Je, unahitaji huduma? Tupigie kwa namba hizi: 0752389252 au 0712181626
Arusha Mbauda
Karibuni sana
Nimefurahia sana hili somo maana nimemaliza siku zangu nikaona ute mweupe nikawa nahofu sana kumbe ni kawaida , asante kwa kutuelimisha
Ubarikiwe sana
Mm nimeingiliana na mme wangu na baadae nikaona damu kdg nimeogopa coz cku nyingn ckuwai pata hvy
Kuwa na amani kabisa
Mimi nilimaliza period kama kawaida siku 5 and nikaanza kutokwa na ute mweupe na usionuka nikaogopa ila baadae nikajua ni kawaida but leo nimeingiliana na m2 wangu nilivyomaliza nikaona damu kidg imetoka so hiyo ni nn
Dada umewahi kupima tumbo la uzazi?
Mm nimeingiliana na mme wangu na baadae nikaona damu kdg nimeogopa coz cku nyingn ckuwai pata hvy
Je, umewahi kupima tumbo la uzazi dada yangu?
Je mtu akifanya sex kipind cha kuelekea ovulation anapoona huo Ute Halafu ukapotea baada ya siku mbili hiv toka afanye sex ni kawaida au
Huwa ni kawaida kabisa hali hiyo wala asiwe na hofu
Mi niliingiliana na mume wangu siku ya 13 siku inayofata nimeanza kuona uchafu wa pink naogopa sana japo hauna harufu
Nilivyoingia siku zangu za hatari nilitokwa ute mweupe mzito baada yakushiriki na mme wangu siku ya 3 ukaanza kutoka ute mweupe umechanganyikana na ule wamajimaji unavutika sijui nitatizo maana naogopa
Hizo ndo zilikuwa siku za hatari bila shaka hujajua namna ya kutofautisha. Naomba utume namba yako ya whatssap
Naomba mawasiliano yako ya what’s up admin.
Mimi ni mjamzito na natoka huo uchafu mweupe na siku kadhaa hapo nyuma umekuwa kama wa cream je nifanyajee,maan sijaona kama imeelezwa kwa wamama wajawazito.
Dada ni hali ya kawaida tu hiyo usihangaike
Nnashukuru kwa elimu yenye manufaaa ila nna tatizo nahitaji ushauri wako zaidi
Tatizo gani kwa mfano
Mimi natoka nauchafu kama damu damu Ila inaweusi ,Ni siku ya 9 baada ya kumalizia siku zangu je tatizo ni nini
Je, umewahi kwenda kupima kizazi chako
Mm natokwa na uchafu wa mgando Kama mtindi lakin siwashwi Wala kupat maumivu yeyote na uchafu huo hutoka kila Mara na kusambaa kwenye uke pande zote napata wasiwas unaweza kunambia una maana gani
Je, umewahi kwenda kupima hospitali?
Habari nilipitiliza siku zangu mwezi mzima na haikuwa kawaida nilivyokuja kupata siku zang nikableed kwa mda wa siku kama kumi hiv baada ya hapo bado natokwa na ute wenye rangi nyeusi na mda mwingine wenye damu,haunuki na wala siwashwi hiyo itakuwa ni nini maana sio kawaida kwangu.
Unaweza ukatuma namba yako ya whatssap
Ninasiku ya 11 ila naona uchafu unaotok unadam dam pia naskia maumi kwa mbal ya tumbo je hii itakuwa n nn…naomb unijib kupitia no 0717778449
Pole sana dada naomba ufuate data yako tayari nimeshakutumia link yetu, ingia ujifunze zaidi na utapata huduma
Mim pia Nina shida ya kutokw na uchafu mweupe mzito hila haunuki Wala hauna miwasho na nilishaenda hospital wakasema uti na fungas nikatumia dawa lakin siponi hata
Pole sana daa unaonaje kama ukianza kutumia dawa za asili
Mimi ni mjamzito wa nilikua natoka uchafu mweupe mzito na harufu mbaya ukeni nkaenda hosptal nkapewa dawa za kuingiza znaitwa labesten na vidonge vya spotclav 625 asubuh nkiamka chupi inakua na rangi ya kijani au kam blue iv af bado harufu ni kali! Nina maumivu ya kiuno ya kwenye kibofu na nyonga pia yanakuja na kuondoka
mimi nmepata uchafu wa pinki(spotting) sina uchungu wowote wakati wa kukojoa wala muwasho wowote sina. nimebakisha siku nane ili kuanza hedhi zangu jee hii ni sawa ama kuna shida
Linaweza kuwa tatizo je, umewahi kupima tumbo la kizazi?
Naomba uniunganishe kwa group 0786461144
Karibu sana dada Hope
Naomba niunge kwagroup dada
Naomba niunge 0767769837
Mm toka nimekaribia hedhi matiti yalikuwa yakiuma na kujaa had nimeingia period had nimemaliza nikakutana na mume wangu lkn bado matiti yamejaa na kuuma pia ,pia kuna damu damu inanitoka ila sio kama ya hedhi haina harufu sijui shida ni nn
Pole sana dada hizo ni dalili za kuongezeka kwa homoni ya progesterone. Tuma namba yako ya whatssap uweze kuunganishwa na darasa
Naomba mawasiliano yako ya what’s up admin.
I need to join the group
Tuma namba yako ya whatssap
Naitaji na mimi uniunge kwenye group namba yangu ni 0659667377
0788724566
Mimi uchafu huo huwa unatoka wakati wa sex mwingi mno haunuki Wala siwashwi he shida ni nini
Naomba kuunganishwa kwenye group la watsup 0652820284
Je ukipata uchafu mwingi baada ya kukutana na mwenzi wako ni dalili ya nini mwanzo ulikua mzito mweupe now wakijani
Ni dalili za PID hIZO
0714363782
Naomba niunge kwenye group
Karibu sana dada katika James Herbal Group, tayari tumeshakuunganisha
0629415840
Naomba niunge kwenye group
Mimi natokwa na uchafu wa rang ya pink unaharufu mbaya kila baada ya tendo la ndoa inaweza kua ni nini.?
Tunashukuru kwa maelezo mazuri maana nilianza kuogopa baada ya kuona Ute mweupe kumbe ni kawaida na uke upo katika Hali mzuri Asante
Duh mm nimemaliza period yng ila nilikuwa na tatizo la kutopata ute kabisa nimetumia dawa za bf suma ila now nina karibia kumaliza mwezi nimeona ute mweupe mwepesi unavutika hiyo inaweza kuwa ni nini? Pia matiti ya mejaa na chuchu zinauma sana
Habri, ikiwa umefanya mapenzi nawenza wako na baada ya hapo ukaona uchafu unatoka toka kila wakati na ukaendelea kwa siku. Za mbele je ni kawaida?
Naomba niunge kwa group
0623814856
Tayari nimeshakuunganisha na darasa
Naomba uniunge n mm kwenye group 0715322768
Naomba kuunganishwa kwny grp 0757327112
Naomba uniunganishe na group lako 0786705565
Naomba uniunganishe kwa group yako 0786705565
Naomba mniunge namm #0788724566
Mimi nimekuwa nikitokwa uchafu mweupe umechanganyika na ule ute kama maji(ute wa hisia ama kilainishi). Je hiyo ni shida?
Mimi natokwa na ute mweupe umechanganyikana na ule ute kama maji kisha baadae umetoka mweupe tu na hauna harufu ila unateleza mno
Je kuna shida hapo
Mm unatoka ulioganda Kama maziwa mgando lakini mweupe
Naomba uniadd kwa grp
Naomba uniadd kwa grp
0653722506
Karibi sana tayari tumeshakuunganisha na group letu
0685790325
Karibu sana mpendwa tayari tumeshakuunganisha na group
Namimi naomba kuunganishwa 0757327112
Naomba uniunge KWA group
My no 0655711726
Naomba namba
Nnaomba uniunganishKwenye group 0687356928
0657202254 naomba niunge kwenye group
0686747319 naomba niunge
Naomba niunge 0767769837
Ninatokwa an ute mweupe mzito kama maziwa mtindi lakini siwashwi wala kutoa harufu Je kuna dalili zozote zisizo salama kiafya?
Naomba kuunganishwa na mm 0745603859
Karibu sana dada katika darasa letu la whatsap