Dhibiti Magonjwa Ya Uzazi Kwenye Kizazi Chako Ili Ndoa Yako Iwe Na Furaha

Ugonjwa wa mfumo wa uzazi, ni magonjwa na matatizo yoyote yanayoathiri mfumo wa uzazi wa binadamu. Magonjwa haya hujumuisha  uzalishaji wa vichocheo (hormone) usio wa kawaida kutoka kwenye vifuko vya mayai (ovaries) au kwenye korodani au tezi nyingine za endocrine, kama vile tezi ya pituitari au adrenali. Magonjwa kama haya yanaweza pia kusababishwa na kasoro za maumbile au vinasaba au za kuzaliwa nazo, maambukizi, uvimbe, au shida zisizojulikana.

Sehemu kuu za makala hii inahusika na (1) kasoro za ki maumbile na za kuzaliwa nazo, (2) matatizo ya utendaji wa viungo vya uzazi, (3) maambukizi, (4) mabadiliko ya miundo kutokana na sababu isiyojulikana, na (5) uvimbe. Kwa majadiliano ya magonjwa na matatizo yanayoathiri ujauzito, bonyeza link hii: Je, Unaweza Kupata Ujauzito Huku Ukiwa Na Maambukizi Ya UTI?  Kwa magonjwa na matatizo yanayoathiri uzazi, angalia hapa: Haya Ndio Mambo 5 Yanayosababisha Mirija Ya Uzazi Kuvimba.  Matatizo ya homoni yanayoathiri viungo vya uzazi na kazi zake, angalia hapa: Fahamu Dalili 16 Za Mvurugiko Wa Homoni(Hormonal Imbalance)

Maumbile Na Kasoro Za Kuzaliwa Nazo

Kwa Wanaume:

Matatizo ya kuzaliwa nayo kama vile ugonjwa tezi dume au kibofu cha mkojo au mirija ya kusafirisha mbegu, hutokea kwa nadra sana; nayo huwa ni pamoja na:

  • Uwingi wa seli duni
  • Ukosefu wa maendeleo kamili ya tishu au kiungo
  • Kasoro kwenye mrija au njia ya mkojo

Mara nyingi unaweza kuona viungo vya uzazi vipo kamili lakini mwilini kuna utata kuhusu tendo la ndoa. Kunaweza kukawa na vivimbe kwenye njia ya mkojo au mrija wa mkojo na kusababisha mkojo kushindwa kupita.

Hitilafu mbaya kuhusu uume hutokea mara chache na kwa ujumla huambatana  na kasoro kwenye njia ya mkojo ambazo haziendani na mfumo wa maisha. Kasoro zinazojitokeza kwenye uume ni kama vile uume:

  • Kupinda
  • Kuinamia chini
  • Kuwa mdogo
  • Kurudi ndani, nk

Uume mkubwa usio wa kawaida mara nyingi hupatikana kwa wanaume aina hii:

  • Wenye kubalehe mapema
  • Wafupi
  • Wenye tezi ya pituitary inayofanya kazi kupita kiasi, au
  • Wenye tezi ya adrenal iliyovimba

Uume mdogo huonekana kwa watoto wachanga na katika maendeleo duni ya sehemu za siri, au kupungua kwa tezi ya pituitari au pineal, na hatimaye kushindwa kusimamisha uume pale hisia inapokuja.

Kasoro pekee ya govi huwa ni ya kuzaliwa nayo, nayo inaweza kuwa ndefu ikafanya njia kuwa nyembamba na kusababisha usumbufu mkubwa hasa unapokojoa. Hivyo, tiba yake ni kufanyiwa tohara.

Kwa Wanawake

Sehemu za siri za nje za mwanamke huwa sio zenye utata sana kama ilivyo zile za mwanamume, lakini zina hitilafu ambazo wakati fulani zinaweza kuingilia sana utendaji wa njia ya viungo vya uzazi vya mwanamke. Kisimi, kiungo chenye tabia ya kusimama kama uume, isipokuwa tu hakina mrija wa mkojo, kinaweza kisiwepo lakini katika hali zingine kinaweza kuongezeka kutokana na kasoro za kuzaliwa nazo au matatizo ya vichocheo (hormone).

Muungano wa mashavu ya uke (mashavu madogo ya uke yanayofunika kiungo cha kisimi, njia ya mkunjo, mlango wa uke)  ni sehemu ya kati “inayojifunga kwa pamoja”; kwa kawaida eneo dogo linalokuwa chini kidogo ya kisimi, hubaki bila kufunikwa,  ambapo mkojo na damu ya  hedhi hupita

Tatizo kubwa linalozuia mkojo kutoka huambatana na maambukizi kwenye njia ya mkojo yaani UTI.

Bikira ambayo haijafunguka (utando unaofunga uwazi wa uke) husababisha mgawanyiko wa uke na mfuko wa uzazi (uterus) na majimaji mengine isipokuwa damu kabla ya kubalehe na damu baada ya kubalehe (hali hizi mbili huitwa “hydrometrocolpos na hematocolpometra” yaani tezi ya pituitary na hypothalamus kushindwa kuzarisha homoni.

Uke uliotanuka hubana mrija wa mkojo sana ili kuingiliana mkojo na kwa kawaida huweza hata kusababisha mkojo kubaki kwenye kibofu na kutanuka kwa njia nzima ya juu ya mkojo. Kujifunga  kwa njia ya mkojo pamoja na bikira hufanya mkojo ushindwe kutoka. Matokeo ya kizuizi cha mkojo husababisha maambukizi ya mara kwa mara kwenye njia ya mkojo. Matatizo mengi kwa mtu huyu hutibiwa kwa njia ya upasuaji.

Matatizo Ya Utenda Kazi Wa Vingo Vya Uzazi

Kuathiri Mifumo Ya Wanaume Na Wanawake

Kuchelewa Kubalehe/Kuvunja Ungo

Neno kuchelewa kubalehe linaweza kuwa jina potofu, kwa sababu kubalehe hucheleweshwa zaidi ya umri wa miaka 19, kwa kweli ni kutofaulu kwa kudumu kwa ukuaji wa kijinsia kwa sababu ya uzarishaji wa usio wa kawaida wa homoni katika tezi ya pituitary, homoni ambayo huchochea ukuaji na utendaji kazi wa tezi za uzazi; hali hii inaitwa hypogonadotropic eunuchoidism. Neno kuchelewa kubalehe kwa kawaida hutumika kwa wavulana wanaokua polepole zaidi kuliko kawaida lakini ambao hatimaye wanapata ukuaji kamili wa kijinsia.

Ni kwa kuzingatia tu-yaani, baada ya mtu aliyeathiriwa kufikia umri wa miaka 20-basi anaweza kutofautisha wazi matukio haya kutokana na aina za makundi yake ya homoni. Ikiwa kuna shida za kijamii na kisaikolojia zinazohusiana na maendeleo duni ya kijinsia, Tiba inaweza kujumuisha urekebishaji wa homoni ya gonadotropin, homoni inayozalishwa na kondo(placenta) na kulindwa isiingie kwenye mkojo wa mjamzito. Ikiwa kama kubalehe kumecheleweshwa tu, kwa kawaida hali nhiyo itaendelea kama kawaida baada ya matibabu haya. Iwapo itashindwa kuendelea, mtu huyo hajachelewa kubalehe bali ana tatizo la tezi ya pituitary na hypothalamus kushindwa kuzarisha homoni kwenye vifuko vya mayai(ovaries) vya mwanamke na homoni ya testosterone kwenye korodani za mwanaume.  Matokeo haya ni kupungua kwa homoni, ambazo zinaweza kusababisha kutokukomaa, ugumba/utasa na dalili zingine.

Je, Nini Kifanyike Ili Kizazi Kikae Sawa?

James Herbal Clinic tunazo dawa nzuri kabisa za asili ambazo mgonjwa anatumia kulingana na aina ya ugonjwa alio nao na itamsaidia vizuri kabisa.

Unahitaji huduma, wasiliana nasi kwa namba hizi: 0768 559 670/0712 181 626,

Arusha-Mbauda,

Karibu sana!