Je, UTI ni nini ? Maambukizi katika sehemu yeyote ya njia ya mkojo husababisha maradhi na matatizo ya aina mbalimbali. Mara nyingi tunapozungumzia UTI, huwa tunalenga maambukizi yanayosababishwa na vimelea (bakteria) au chochote kile kinachoweza kusababisha UTI huingia katika njia ya mkojo kutokea aidha nje ya mwili au hata ndani ya…
JE, WAZIFAHAMU FAIDA ZA REDEEMER?
James Herbal Clinic tuna dawa za mimea ya asili zenye mchanganyiko wa vyakula vya asili. Redeemer ni dawa ya asili yenye mchanganyiko wa asali mbichi pamoja na mimea mbalimbali ya asili. Dawa hii husaidia kuondoa matatizo sugu nay a kawaida pia. Husaidia watu wa jinsia zote. REDEEMER hutibu magonjwa…
JE, FIBROIDS NI NINI? JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZAKE?
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao unaweza kuwa ndani ya kizazi (Ukuta Wa Kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi. Naomba wanaofanyiwa vipimo hospitalini, wapatapo majibu wawe makini kumuuliza dakatri kuwa je, uvimbe uko sehemu gani na una ukubwa…
JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZA UGONJWA WA MAWE YA FIGO?
Kwa kawaida figo zinapokuwa zikichuja uchafu kwenye damu, hutengeneza mkojo. Wakati mwingine chumvi na madini katika mkojo hukusanyika pamoja ili kuunda mawe madogo ya figo. Nayo huwa na umbo kama punje ya sukari, lakini huonekana kwa nadra sana mpaka pale yanasababisha hali ya kuziba sehemu ya mirija ya mkojo. Mawe…
JE, WAJUA FIBROIDS(UTERINE FIBROID OR MYOMAS) NI NINI?
Hii ni aina ya vivimbe vinavyoota kwenye misuli laini ya mfuko wa uzazi. Tatizo hili huwakumba wanawake wengi ambapo huwapata kwa 5% wanawake wenye umri wa miaka 20-30 na 20% kwa wanawake wenye umri wa miaka 30-40 na zaidi ya 40% ni kwa wale wenye umri zaidi ya 40 hivyo…
JE, WAJUA CHANZO CHA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI?
Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneno makuu mawili; Upevushaji mayai(Ovulatory Circle) Kutopevusha mayai(Anovulatory Circle) Mzunguko wa mwanamke unaopevusha mayai unatoa ute wa uzazi unaovutika kama ute mweupe wa yai la kuku, na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko Wa Mwanamke Usiopevusha Mayai Mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa katika mizunguko yote hiyo…
JE, WAJUA CHANZO CHA HOMA YA MATUMBO(TYPHOID) DALILI, NA TIBA YAKE?
Mpendwa msomaji, naomba utege sikio nikueleze kwa kifupi tu uweze kujua habari ya homa ya matumbo. Homa ya matumbo(Typhoid) kwa kawaida husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kwa kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mtu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya…
JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZA MIRIJA YA UZAZI KUJAA MAJI?
Hali ya kujaa maji kwa mirija ya uzazi ya wanawake huitwa hydrosalpinx kwa kitaalamu. Ni tatizo ambalo hujitokeza kwa wanawake kutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa, yaani PID (pelvic inflammatory disease), bila shaka tutayazungumzia baadaye katika makala zinazofuata kwa kuchanganua ugonjwa mmoja baada ya mwingine na…
VIJUE VYANZO NA DALILI ZA UVIMBE KATIKA KIBOFU AU NJIA YA MKOJO.
Uvimbe sehemu ya njia ya mkojo hutokana na maambukizi ya bacteria kama vile UTI, nk. Hali hii mara nyingi huwapata wanawake. Visababishi vyake kwa kawaida hutokana na maambukizi ya bacteria amabayo tayari yameshapita katika utupu wa mwanamke; lakini hali hii ni mara chache sana hutokana na maambukizi kwenye mkojo…
JE, WAJUA VISABABISHI NA DALILI ZA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)?
Ndugu mpendwa leo napenda tuangalie Kwa ufupi tu sababu na dalili za vidonda vya tumbo pamoja na Tiba zake. VISABABISHI 1. Msongo wa mawazo 2. Matumizi ya vyakula visivyo vya asili yake hasa vilivyokobolewa Kama vile unga wa sembe, ngano iliyokobolewa, maandazi, chapati, chips, nk. 3. Matumizi ya vivywaji…