JE, WAJUA CHANZO CHA HOMA YA MATUMBO(TYPHOID) DALILI, NA TIBA YAKE?

  Mpendwa msomaji, naomba utege sikio nikueleze kwa kifupi tu uweze kujua habari ya homa ya matumbo.   Homa ya matumbo(Typhoid) kwa kawaida husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kwa kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mtu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na…

JE, WAZIJUA SABABU ZA MWANAMKE KUKOSA HEDHI(AMENORRHEA)?

  Je, Amenorrhea Ni Nini? Kwa kawaida hii ni hali ya mwanamke ambaye amepevuka na kukomaa maumbile yake ya Uzaz kushindwa kupata hedhi au kupitiliza siku za hedhi. Kwa ufupi tatizo hili limekua likiwakumba na kuwaletea usumbufu wa kisaikolojia wanawake wengi wakidhani kwamba wamepata ujauzito nk, hata hivyo tatizo hili…

JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA PANGUSA(CHLAMYDIA)?

  JE, WAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA UGONJWA WA PANGUSA(CHLAMYDIA)?   Pangusa ama kitaalamu wanaita Chlamydia trachomatis, ni ugonjwa  wa zinaa wa kawaida  kabisa, nayo huwa ni maambukizi yanayosababishwa na bacteria aina ya pathogen ambao wanaweza kuharibu mlango wa kizazi ama shingo ya kizazi(cervix) wa mwanamke, mrija wa mkojo…

JE, WAJUA CHANZO CHA KUPUNGUA MBEGU ZA MWANAUME?

    Kazi ya uzarishaji wa mbegu za mwanaume katika mfumo wa uzazi unahitaji utendaji kazi wa korodani pamoja na tezi za hypothalamus na pituitary ambazo huwa kwenye mfumo wako wa fahamu(ubongo) kwa ajili ya kuzarisha homoni ama vichocheo vinavyosababisha uzarishaji wa manii. Mbegu zinapozarishwaji kwenye korodani, husafirishwa na kuchanganywa…

UGONJWA WA UTI NI HATARI ENDAPO HAUTAPATA MATIBABU HARAKA.

  Je, UTI ni nini ? Maambukizi katika sehemu yeyote ya njia ya mkojo husababisha maradhi na matatizo ya aina mbalimbali. Mara nyingi tunapozungumzia UTI, huwa tunalenga maambukizi yanayosababishwa na vimelea (bakteria) au chochote kile kinachoweza kusababisha UTI huingia katika njia ya mkojo kutokea aidha nje ya mwili au hata ndani ya…

JE, WAZIFAHAMU FAIDA ZA REDEEMER?

  James Herbal Clinic tuna dawa za mimea ya asili zenye mchanganyiko wa vyakula vya asili. Redeemer ni dawa ya asili yenye mchanganyiko wa asali mbichi pamoja na mimea mbalimbali ya asili. Dawa hii husaidia kuondoa matatizo sugu nay a kawaida pia. Husaidia watu wa jinsia zote. REDEEMER hutibu magonjwa…