JE, WAJUA SABABU ZA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI?

KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneno makuu mawili; Upevushaji mayai(Ovulatory Circle) Kutopevusha mayai(Anovulatory Circle) Mzunguko wa mwanamke unaopevusha mayai unatoa ute wa uzazi unaovutika kama ute mweupe wa yai la kuku, na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko Wa Mwanamke Usiopevusha Mayai Mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa…

JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, NA TUMBO LA CHINI KWA WANAWAKE?

JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE? Haya huwa ni Maumivu yanayompata mtusehemu ya  chini ya tumbo na nyonga. Kwa wanawake maumivu haya yanaweza kuwa dalili ya matatizo(maradhi) kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa haja ndogo, mfumo wa chakula au mifupa ya nyonga. Maumivu…