Hali ya ukavu ukeni inaweza kuwa tatizo kwa wanawake katika umri wowote, ingawa hujitokeza zaidi mara kwa mara kwa wanawake wenye umri mkubwa, hasa pale wanapofikia ukomo wa hedhi.
Kupungua kwa viwango vya vichcocheo(hormone) huwa ndio sababu kuu ya kukauka kwa uke. Homoni za mwanamke husaidia sana kuutunza uke na kuzifanya tishu za uke kuwa zenye afya kwa kutengeneza unyevunyevu wa kawaida ukeni, tishu za uke kuvutika pamoja na hali ya uasidi yaani uchachuchachu. Visababishi vingine vya hali ya ukavu ukeni vinaweza kutokana na utumiaji wa madawa pasipo kufuata ushauri wa daktari au kutokufanya usafi maeneo ya uke.
Viwango vya homoni ya estrogen vinaweza kushuka kutokana na sababu zifuatazo, napenda leo uzijue. Sababu hizi huwa kama ifuatavyo:
- Kunyonyesha
- Kujifungua mtoto
- Uvutaji sigara
- Athari kwenye vifuko vya mayai
- Kushuka kwa kinga za mwili
- Kukoma hedhi
- Utumiaji wa madawa ya kuongeza homoni za uzazi
- Kuondolewa kwa kifuko cha yai(ovary)
- Kuosha maeneo ya uke kwa kutumia madawa yenye harufu kali na yenye kemikali.
Je, Dalili Zake Zinakuwaje?
Dalili za kukauka kwa uke huwa kama ifuatavyo:
- Kuhisi muwasho au moto maeneo ya mashavu ya uke
- Kuhisi moto wakati wa kukojoa
- Kukojoa mara kwa mara
- Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa yakiambatana na damu kidogo
- Kukosa hamu ya tendo la ndoa
- Mashavu ya uke kuwa membamba
- Kuwa na maambukizi ya UTI yasioisha au yenye kujirudiarudia.
TIBA ZAKE
Â
Â
James Herbal Clinic tuna tiba nzuri zenye uwezo mkubwa wa kuondoa matatizo ya kukauka kwa uke nazo ni; VITAMAKA, PHYTOGUARD Â na CARD HERB.
Je, unahitaji huduma? Kwa mawasiliano tupigie kwa namba hizi: 0752389252 au 0712181626
Arusha Mbauda
Karibuni sana.
Dawa za kufanya uke usiwe mkavu
Dawa tunazo sijui uko mkoa gani?
Dawa hizo zinapatikana dada tunazo
Mm nazihitaji iso daww
Karibu sana
Duh niko mkoa kagera nahitaji hiyo dawa
Karibu sana
Thank you for your descriptions concerning the problem. Be blessed
Amen
Dawa ya kukosa hamu ya tendo LA ndoa na kusikia maumivu wakati wa tendo
Dawa tunayo nzuri tu naomba utupigie
Dawa hiyo tunayo ipo
Ute ukitoka wakati upo kwenye hali hiyo ukawa kama una mabonge madogo madogo…yaani kama yale ya maziwa ya mgando….je hapo unakua una tatizo lingine ?
Hayo yanaweza kuwa mabadiriko katika homoni ya uzazi
Naomba dawa ya kulainisha uke nipo simiyu
Hiyo hatuna samahani na pole sana
Samahan Mimi tatzo kubwa ni kwamba naweza nkaanza tendo nikiwa vizur na Ute upo vizur lakn baada ya mda unakata kabisa kunakuwa kukavu hata nijitahid vip kuurudisha nashindwa Hilo tatzo ni nn hasa?
Hizo dalili za kupungukiwa homoni za estrogen, tuma namba yako ya whatssap tukuunganishe na darasa utapata na utaraibu wa kupata huduma
Mniunganishe kwenye darasa jaman na mm Nina tatizo 0686069777
Karibu sana dada katika James Herbal Group
Na Mimi niunge 0787326061
Karibu sana katika Group letu
Niunganishe kwenye darasa 0764927684
Karibu sana dada tayari nimeshakuunganisha kwenye darasa letu
Niunganishe kwenye darasa0784843303
Naomba kuunganishwa kwny Group
0766877581
Karibu sana dada katika James Herbal Group tayari tumeshakuunganisha
Naomba kuunganishwa na Mimi kwenye group no 0626224927
Tatizo ni uke kuwa mkavu. Naomba kuunganishwa
Mimi tatizo langu naweza kufanya tendo la ndoa ute ukiwepo lkn nikiendelea zaidi unakata naomba kusaidiwa
Niunganishe kwenye darasa0784843303
Mimi pia nnashida hiyo ya uke kuwa mkavu ntapataje Tiba
Pole sana je unaweza kutuma namba yako ya whatsaap
Naomba pia kuunganishwa kwenye group hii shida inanitesa sana
Naomba niunge kwenye darasa nami ni muhanga pia 0769166932
Naomba niunge kwenye darasa nami ni muhanga pia 0769166932
Karibu sana dada katika James Herbal Group tayari tumekuunganisha
Naomba kuunganishwa kwa group 0768038779
Mimi tatizo langu ni kweli naweza anza tendo nikiwa na ute baadae ukavu na ute haurudi tena nimetibiwa saana na baada ya hapo ni maumivu makali na sokojoi ila nikiwa nimekaa baadae nahis mkojo unatoka, je ni nini ila maumivu siku 2:au 3
Habari,,mahitaji ushauri tafadhali. Asante
Jamn mim nina tatizo la kutokukojoa wakat wa tendo jee hii hali inasababishwa na nin jee solution lake ni nin
Naomba uniunge kwa group
0710987155
Dada Zuhura karibu sana tayari nimeshakuunganisha
Namm niunganishe 0764687847
Noma
Noma kitu gani
Ipo saf na mimi naomba mniunganoshe naitwa mgaya 0762765338
Karibu sana kaka
Ipo saf na mimi naomba mniunganoshe naitwa mgaya 0762765338
Karibu sana ndugu mgaya