Ndugu mpendwa, na ieleweke kuwa hali ya chakula kutokumeng’enywa tumboni mwako sio ugonjwa, bali ni baadhi ya dalili zinazokupata, kwa mfano; tumbo kuuma na kujaa gesi mara baada tu unapoanza kula chakula. Ingawa tatizo hili linaonekana kuwa la kawaida sana, lakini tatizo hili linaweza kutokana na vyanzo mbalimbali. Dalili za chakula kutokumeng’enywa unaweza kuzihisi mara kwa mara kila siku.
NUKUU: Hali ya kutokumeng’enywa kwa chakula tumboni inaweza kuwa dalili ya ugonjwa mwingine wa usagaji chakula tumboni mwako.
Je, Nini Dalili Za Tatizo Hili?
Watu wengi wenye tatizo hili wanaweza kuwa na dalili moja au zaidi, nazo huwa kama ifuatavyo:
- Tumbo kujaa gesi wakati anapokula chakula
- Tumbo kujaa gesi muda mrefu
- Kuhisi maumivu ya tumbo la juu
- Kuhisi kiungulia juu ya tumbo
- Tumbo kuunguruma sana mara kwa mara na kuhisi maumivu chini ya kitovu
- Kuhisi kichefuchefu na kutaka kutapika
NUKUU: Wakati mwingine watu wanaosumbuliwa na tatizo hili pia hupatwa na kiungulia, lakini kumbuka kuwa kiungulia au chakula kutokumeng’enywa tumboni huwa ni hali mbili tofauti. Kiungulia huwa ni moto au maumivu unayoyahisi katikati ya kifua chako ambayo yanaweza kupenya mpaka kwenye shingo yako au mgongoni mwako wakati ama baada ya kumaliza kula.
Je, Nini Husababisha Chakula Kutokumeng’enywa Tumboni?
Chakula kutokusagwa au kumeng’enywa tumboni husababishwa na vyanzo vingi. Mara nyingi hali hii hutokana na mtindo wa maisha ya muhusika mwenyewe, hasa katika matumizi ya vyakula, vinywaji au madawa ya vidonge anayoyatumia. Visababishi vya tatizo hili huwa kama ifuatavyo:
- Vyakula vyenye mafuta mengi sana, kama vile chips, roast, nk.
- Vyakula vilivyokobolewa kama vile, ugali wa sembe, maandazi, chapati, nk
- Utumiaji wa nyama mara kwa mara
- Vinywaji vyenye caffeine nyingi,kama vile pombe, kahawa, nk
- Ulaji wa chokleti,
- Uvutaji sigara
- Kuwa na wasiwasi
- Mazoea ya kula kupindukia au kula haraka haraka bila kujali kutafuna chakula vizuri
- Matumizi ya madawa ya vidonge vya antibiotic au vyenye kupunguza maumivu mwili mwako kama vile panadol, nk. Yafaa sana kupata ushauri kwanza wa daktari kabla hujatumia madawa hayo.
Wakati mwingine hali ya chakula kutokumeg’enywa tumboni husababishwa na magonjwa au matatizo yanayokuwa tumboni mwako kama vile:
- Vidonda vya tumbo
- Uvimbe tumboni(Gastritis)
- Mawe ya figo
- Kuvimba kwa kongosho
- Saratani ya tumbo
- Utumbo kuziba
- Kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye utumbo mwembamba(intestinal ischemia)
Je, Nini Madhara Ya Chakula Kutokusagwa Tumboni?
Kwa kawaida tatizo hili linapodumu kwa muda mrefu bila kufanyiwa ufumbuzi, basi linaweza kusababisha madhara yafuatayo katika mwili wako:
- Mzunguko wa damu kuharibika na kuwa mdogo
- Mgongo au kiuno kuuma
- Miguu, au mikono kufa ganzi
- Mwili kuchoka mara kwa mara
- Kukosa hamu ya kula
- Macho kushindwa kuona vizuri
- Mapigo ya moyo kwenda mbio
- Kichwa kuuma
- Kutojisikia raha na kukosa amani
TIBA ZAKE
James Herbal Clinic tuna tiba nzuri zenye uwezo mkubwa wa kuondoa tatizo hili pamoja na madhara yake, nazo ni FRESH HERB, CARD HERB na MULTI-CURE HERB
Je, unahitaji huduma? Tupigie kwa namba hizi: 0752389252 au 0712181626
Tunapatikana Arusha Mbauda pia Makambako- Njombe
Karibuni sana
Nimekuwa na tatizo hili kwa muda wa miaka kama 8 hivi nahisi. Mara nyingi ninapata maumivu makali tumboni na gesi kutoka tumboni kila inapofika saa 11 alfajiri. Madhara yote uliyoyaeleza mimi ninayo, kiuno kinauma, mwili unachoka, ninapata maumivu ya kichwa mara kwa mara nk
Nitashukuru san kma nikipata tiba
Pole sana je, uko mkoa gani?
Mm mwenyewe natatizo hlo linanisumbua kiukweli npo dar es salaam
Ttatizo gani Deo
Tatizo iloo ninalo asee mpaka sio poa 0655984127 number yangu msaada
Karibu sana kaka katika James Herbal Group tayari tumeshakuunganisha
Je ushapata dawa Mana tatizo lako ni Kama langu
Mm ninatatizo Hilo je naweza kupona kabisa na tiba yake napataje
Je, unaweza kutupatia namba ya simu dada hasa ya whatssap?
Habari mtaalam,mimi ninatatizo la gesi tumaini na dalili zote ulizotaja ninazo je nifanyeje Kwa Sasa nipo Uganda
Celina uko mkoa gani? Je, unaweza ukatuma namba yako ya whatssap?
0627280086
Mbona namba uliyotuma sio
No comment
Hilo tatzo ninalo pia miaka mingi…. Namba wa wasap 0714813896
Sawa fungua data yako ya whatssap utaona maelekezo humo
Namm natatizo hlo linanisumbua Sana 0766680954
Tayari nimeshakutumia link kwenye whatassap naomba ufungue data yako
Mimi ninalo tatzo na madhara yote ninayo kwa hiyo nifanyaje ili nipone kapima Nipo mkoa wa singida Namba ya Whatsapp 0755507487
Tayari dada nimeshakutumia link naomba ufungue data yako
Doctor naitaji pia msada ya tatizo ili linanisumbua Sana nipo Zanzibar no ni 0719348487 WhatsApp
Karibu sana kaka katika James Herbal Group, tayari tumeshakuunganisha
Nina tatizo hilo, please napataje tiba nipo Mwanza
Mimi pia Nina tstizo hlo tumbo kujaa gas na dalili zote ninazo nifanyaje.whatsapp no ,,,0752360402
Emmy tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Ninasumbuliwa sana na tumbo tujaaa gas na kuwa gumu sana cjajua tatizo ni nini hasa
Pole sana je unaweza kutuma namba yako ya whatssap?
Na mm niko na tatizo hilo naomba msaada nipo Zanzibar
Samahani je, unaweza ukatuma namba yako ya whatssap tukakupa link uingie kwenye darasa letu?
Jamani nami nina tatizo namba yangu 0653965533
Jackie tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Mie tumbo hujaa gesi Mara kwa Mara,Mara nyingi nashindwa kula chakula Cha jion kwa asilimia kubwa dalili hizo ninazo mgongo kuuma,kichwa,nashindwa kiona vizuri,tumbo likiuma linakuwa kama Kuna miba.mbaya zaidi hata baada ya sex mie tumbo hujaa gesi kwa siku tatu mfululizo .namba yangu 0623828776
Dada Eva tayari nimeshakutumia link yetu kwenye whatssap yako naomba ufungue data yako
Mimi zaidi hivyo ulivyo sema màna mpaka choo kupata kwake mpaka nipate sanamaki ndio napata choo please my Whatsapp no 0777489398
Tatizo hili linatusumbua wengi jamani mtusaidie tu
Tuma namba yako ya whatssap utasaidiwa vizuri tu dada
0764264315
Kaka Petro
tayari tumeshakutumia link na maelekezo kwenye data yako naomba ufungue. Karibu sana
0752053559
mimi tumbo linavimba upande mmoja wa kulia nkila linajaa sana upande mmoja tu wa kulia ila wa kushoto hko kawaida namba yangu ni 0769563407
Karibu sana kaka Erick
Be blessed Sister Angelina
Nami na tatizo kama hili ntapataje dawa
Uko mkoa gani? Je, unaweza kutuma namba yako ya whatssap?
0719348487
Karibu sana kaka katika James Herbal Group, tayari tumeshakuunganisha
Nawezaje kupata dawa npo iringa
Tuma namba yako ya whatssap
Mimi nami ninasiku7 tumbo kujaa gesi,tumbo kuuma,mgongo kuuma
Pole sana dada Jackline, je una namba ya whatssap uitume ilituweze kukusaidia vizuri? Karibu sana
Habari..
Nami naskia kuumwa sana tumbo maeneo ya juu kabisa mwanzo wa kifua.panau.a sana nimenda hosp naambiwa ata vidonda sina ila ni gas
Pole sana Fausta, je unaweza kutuma namba ya whatssap tukakuunganisha na darasa letu?
Hi nami nasumnuliwa sana na gasi na tumbo kuunguruma msaada wako nahitaji ndugu yangu 0754480460
Pole sana katika James Herbal Clinic
Hata mimi nina tatizo hilo kwa muda mrefu sasa nimetumia dawa za hospitali mpk nimechoka but is nothing nipo mkoa wa dar es salam naomba msaada namba yangu 0789908374 ya whatsApp
Pole sana na karibu sana katika James Herbal Clinic
Ata mm nasumbuliwa na tatizo hili tusaidieni jaman 0715847939
Karibu sana mpendwa katika James Herbal Group, tayari nimekuunganisha.
Mimi pia tumbo hujaa gesi hasa nilapomaliza Kula chakula cha usiku,hunipelekea kuharisha.Na ifikapo saa10 au 11 za alfajiri nahisi njaa pia maumivu yamgongo kiungulia pamoja na maumivu ya kichwa.Na maumivu ya tumbo ni chini ya kifua naomba naomba ya watsap. Yangu ni 0763707262
Pole sana tayari nimeshakuunganisha na group, karibu sana
Mimi pia nina tatz hilo jamani
Yn mwili wangu unakosa nguvu kabisa
Namba yangu 0685759597
Mimi nina tatizo hilo imefikia hatua vitu vingi sili kwa kuogopa kiungulia naweza pona kabisa nikawa km Zamani 0621412301
Dada kuwa na amani kabisa utapona
mimi nipo mbeya ninatatizo hilo la tumbo kujaa gesi na viungo kuniuma ,najisikia uchovu mala kawa mala na ili tatizo la muda mulefu san mpaka kichwa kinauma san maomba msaada
Namie pia nina tatizo kwa binti yangu tumbo kujaa gesi, kuungruma na kubeua kila mara. Ametumia dawa nyingi kama eligo kit, omeprazole na zile za maji mpaka ameshazichoka. Msaada tafadhali
Pole sana je, imeanza muda gani? Tutumie namba yako ya Whatssap
mm pia nina tatizo kama hilo naomba msaada wenu
Pole sana uko mkoa gani? Unaweza kutuma namba yako ya whatsap tukuunganishe na darasa letu
mimi nipo mbeya ninatatizo hilo la tumbo kujaa gesi na viungo kuniuma ,najisikia uchovu mala kawa mala na ili tatizo la muda mulefu san mpaka kichwa kinauma san maomba msaada
Karibu sana unaweza kutuma namba yako ya whatssap
Najiona kabisa kuwa na hili tatizo,napataje tiba nipo dar namba yangu ya watsap 0653205778
Tayari dada nimeshakuunganisha na group letu, karibu sana
Na mm natatzo ilo la tumbo kuunguluma 0744873839 namba yangu ya what’s up Io
Tayari kaka nimeshakuunganisha na group letu, karibu sana
Daaaa mimi huu mwezi wa nne nakuwa nabeuwa gas mara kwa mara ….nilipima nikaambiwa vidonda vya tumbo …nimetumia dawa bado gas haiishi kabxa
Kwanini usitumie dawa za asili?
Na Mimi tatizo ni Kama la BLASTUS naomba msaada kwa kweli namba yangu
0753834645
Karibu sana katika group letu tayari nimesha kuunganisha
0713293278 naomba niunganishwe
Tayari tumekuunganisha kwenye group letu
Kaka na mimi naomba kuunganishwa 0717541527
Nami nina shida ya tumbo kujaa ges na kuuma mara kwa mara je nawezaje kupata dawa, Mimi John niko mwanza 0758314196
Hilo tatizo lina nisumbua
0787084089 naomba msaada ndugu.
Pole sana na karibu sana katika James Herbal Group
Me nina tatizo hiloo mdaa je nawaza kupata ushaurii number zangu hzo hapo 0685603816
Nina tatizo hili mwezi wa tatu sasa namba yangu ya watsup 0776856856 unaishi Zanzibar ila kea Sasa Niko dar kwa muda
Me nina tatizo hiloo mdaa je nawaza kupata ushaurii number zangu hzo hapo 0685603816
Sam mallya 0678087454
Karibu sana Kaka Katika James Herbal Clinic
Kiongozi hili tatizo kwangu limekuwa sugu sana, Hasa usiku nikilala kwa kwa mgongo saiyo iyo linaanza kunguruma, Kujaa gesi na kichefuchefu hasa nikiywa maji baada ya kumaliza kula. WhatsApp napatikana kwa nambar 0759 888 478 nipo kilimanjaro
Pole sana kaka tayari tumekuunganisha na Jukwaa letu
Namva ya whatsapp ni 0689668893 mimi nina tatizo hilo la tumbo kujaa gesi hasa wakati wa asubuhi na jion naomba mnisaidie tatizo nn
Dalili zote ninazo nipo Mwanza
Na mimi natatizo ilo la tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Namba yangu ya what’sapp 0752268396
Karibu sana kaka katika group letu tayari tumeshakuunganisha
Namm hlo tatizo ninalo 0715563636
Namm hlo tatizo ninalo 0715563636
075905039
0620715436
Karibu sana mpendwa tayari tumeshakuunganisha na group
Msaada namba yangu 0754526634
Nahitaji tiba hyo dr nipo Morogoro. 0714460301 whatsap
Karibu sana kaka katika James Herbal Group tayari tumekuunganisha
nami nashida hiyo imepita mwaka sasa inanisumbua nahitaji msaada ila sina simu ya whatsapp
Tatizo hilo nnalo kwa muda sasa naomba msaada
Na mm Nina hili Tatizo Sasa zimeisha week kama 2 gas inanisumbua
Nahitaji kuungwa kwenye group watsap
No 0620628404
Nahitaji kuungwa kwenye group watsap
No 0620628404