JE, UNAJUA VYANZO, DALILI NA MADHARA YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI?
Je, Maambukizi Ya Fangasi Ni nini?
Candida albacans ni vimelea wa fangasi ambao hukua kama fangasi ama seli zenye kusababisha kuwepo kwa maambukizi ya fangasi kwa mwanadamu.
Fangasi ya asili ijulikanayo kama Candida albicans, mara nyingi husababisha aina hii ya kuvimba kwa uke(Vaginitis). Kama inavyokadiriwa kuwa katika wanawake wanne, basi watatu wanaweza kuwa na maambukizi ya fangasi katika maisha yao, haijalishi una umri gani. Hapo awali ilionekana kuwa jambo la kawaida sana mwanamke kuwa na maambuki ya fangasi sehemu za siri, lakini leo inaonekana kuwa tatizo la kutisha kwanai linaweza kuzarisha madhara mengine makubwa ambayo muhusika hakutarajia kama vile kuvimba ukeni, muwasho na masumbufu mbalimbali.

Magonjwa ya maambukizi yamekuwa yakienea kwa njia mbalimbali hasa kwa njia ya kujamiiana. Kwa upande mwingine maambukizi haya sio kwamba ni magonjwa ya zinaa tu. Wagonjwa wamekuwa wakipatwa na masumbufu mengi katika kutibu maambukizi katika via vya uzazi hasa fangasi.
Je, Fangasi Inaambukizwaje?
Mbali na kusababisha maambukizi ya fangasi sehemu za siri, fangasi pia husababisha maambukizi katika sehemu za mwili wako zenye unyevunyevu, kama vile mdomo(thrush), sehemu za kwapa, na sehemu za makucha. Vimelea wa fangasi pia wanaweza kusababisha tatizo la harara. Mambo yanayoongeza vihatarishi vya ugonjwa huu ni pamoja na;
Matumizi ya madawa makali kama vile ya antibiotic, nk;
- Kisukari cha muda mrefu,
- Mabadiriko ya homoni, hasa kwa kina mama wenye ujauzito.
- Vidonge vya kupachika sehemu za uke,
- Mavazi ya ndani yenye kubana sana, nafikiri kina dada mnaosoma makala hii hapo mlipo mumeshatambua maana najua hata sasa wapo wengi wenye mazoea ya kuvaa nguo za kubana ambazo wengi wanaita “Skin Tight”!
- Kutokuwa na usafi sehemu za uke
- Matumizi ya sabuni kwa kuoshea sehemu za uke sio kwamba zinasababisha fangasi bali zinaongeza hatari ya kupata maambukizi ya fangasi.
Je, Dalili Za Maambukizi Ya Fangasi Ukeni?
Kama tulivyowahi kujifunza, dalili za maambukizi ya fangasi huwa kama ifuatavyo:
- Kuhisi muwasho sehemu za uke
- Kutokwa na uchafu wenye rangi nyeupe kama maziwa mtindi lakini hauna harufu.
Lakini wakati huohuo huwa kuna dalili zingine za kawaida pamoja na madhara ya fangasi. Kuongezeka kwa dalili hutegemeana na tatizo kukaa muda mrefu bila kupata tiba. Kwa upande mwingine napenda niseme hivi, tatizo la fangasi ukiwa unaritibu lakini linaendelea kujirudia mara kwa mara kwa muda mrefu, laweza kusababisha madhara makubwa. Hii ndio maana yafaa kumuona daktari wa vipimo haraka sana ikiwa kama utaona dalili zifuatazo kama vile;
- Kuhisi hali ya kuwaka moto sehemu za uke
- Kuhisi hali ya muwasho
- Kutokwa na uchafu sehemu za uke hata kama ndio umeanza kutoka haijalishi ni mwingi au kidogo maana ndio dalili zenyewe za fangasi. Kumbuka kwa upande mwingine dalili hizi zaweza kuwa majimaji yenye harufu.
- Kuhisi Maumivu wakati wa kujamiiana
- Kuona hali ya uvimbe
- Vidonda ama michubuko sehemu za siri.
Tiba Yake
James Herbal Clinic tuna tiba zenye uwezo wa kuondoa maambukizi ya fangasi sehemu za siri. Neotonic, Fresh Herb na Multi-Cure Herbs ni dawa ambazo zimekuwa zikitumiwa na watu wengi wenye magonjwa ya fangasi na zimewaponya kabisa.
Je, unahitaji huduma? Tupigie 0752 389 252 au 0712 181 626
Amen
Ni makala manzuri, inasaidia tuliowengi ambao hatujui dalili za magonjwa mbalimbali na jinsi yanavyoambukizwa.
Barikiwa sana Joshua
Asante
Kuwa na uvimbe mwanzoni tyu mwa uke ulio kama una vipele ni fangasi???
Hapana hiyo sio fangasi. Nakushauri ukapime kwanza damu au uchafu unaokutoka ukeni
km umeenda n mtu mwenye virus n akakuambukiza fangas uken. Je kwa sku ioio moja kuna uwezkan wakupta ukimwi pia
Ndiyo anaweza kukuambukiza pia
Naomba kuna mtu anawashwa sehem za Siri na kuvimba pia maji maji hutoa harufu mbaya, msaada please
Je kama uwashwi utoki na uchafu ila maumivu wakati wa kujamiana na kuwaka moto baada ya ku sex na nkienda ku kujoa baada ya sex ila mda mwingine nsipo jamiana si umi ata nki kojoa ni tatizo lina kama miezi miwili sasa shida ita kua ni nini
Je, uliwahi kwenda kupima wakakuambiaje?
Mimi Nina tatizo la fangasi sehemu za Siri kila nikitumia dawa hasa cotrimazole mambo hayaeleki kwa sababu napona Kisha baada ya mda vinarudi upya na nimeishi na tatizo hili kwa miaka 12 toka 2008 . Ila chanzo chake niliacha maji sehemu za Siri bila kuyakausha matokeo yake vikaibuka vipele ambavyo vilisambaa na kutengeneza makovu mpaka kuleta miwasho na michubuko sehemu za Siri hivyo naombeni msaada
Ushafanikiwa kulitibu tatizo lako
Mbona ni tatizo dogo sana dada
Vp umepata dawa tyr. Nitafute kwa wasapu namba 0621847068
Festo ulitaka dawa ya tatizo gani
Mimi Nina tatizo la fangasi sehemu za Siri kila nikitumia dawa hasa cotrimazole mambo hayaeleki kwa sababu napona Kisha baada ya mda vinarudi upya na nimeishi na tatizo hili kwa miaka 12 toka 2008 . Ila chanzo chake niliacha maji sehemu za Siri bila kuyakausha matokeo yake vikaibuka vipele ambavyo vilisambaa na kutengeneza makovu mpaka kuleta miwasho na michubuko sehemu za Siri hivyo naombeni msaada
Pole sana dada Aron je unaweza ukatuma namba yako ya whatssap?
Mimi Nina tatizo la fangasi sehemu za Siri kila nikitumia dawa hasa cotrimazole mambo hayaeleki kwa sababu napona Kisha baada ya mda vinarudi upya na nimeishi na tatizo hili kwa miaka 12 toka 2008 . Ila chanzo chake niliacha maji sehemu za Siri bila kuyakausha matokeo yake vikaibuka vipele ambavyo vilisambaa na kutengeneza makovu mpaka kuleta miwasho na michubuko sehemu za Siri hivyo naombeni msaada
Habari : naitwa Aron Harice nipo Dar ukonga ninahitaji msaada wenu kuhusu tatizo la fangasi sehemu za Siri maana nimepambana Sana na hili tatizo lakini mpaka sasa sijapata majibu . Nakumbuka chanzo kulikuwa kuacha maji sehemu za Siri mwaka 2008 mwezi wa 12 matokeo yake ikazalisha vipele ambavyo vilisambaa na kutengeneza makovu na miwasho nimeangaika kwa mda wa miaka kumi na miwili lakini bado hakuna majibu ya tiba zaidi ya kutumia dawa za cream za cotrimazole Ila sijaona matokeo sahihi
Pole sana Aron, je una namba ya whatssap ututumie?
Kuwaswa sehem ya mferej wa matako kwa mwanaume inaweza kua fangasi?
Ndiyo yaweza kuwa ni fangasi au dalili za bawasiri
aisee naitwa bablee nina tatz kwenye uume natokewa na vipel vipel ukikamua tu vinatoka maji baadae vinapona alaf vinarud baada ya muda
Je, umewahi kupima magonjwa ya zinaa?
Naomba tangazo hilo liondoe kwenye website yetu kabla hatujatumia sheria tafadhali
Halo doctor Mimi shida yangu nawashwa sehemu za siri ,halafu korodani zinakama uvimbe mdog Na kweny mapaja nawashwa
Pole sana je uliwahi kwenda kupima maeneo hayo ukaona chanzo cha tatizo?
Admin nasumbuliwa na fangasi sehemu za Siri kwa mda mrefu Sana nimetumia dawa lakini bado sijapona na inanilazimu nitumie vidonge vy la citrizen ndiyo napata nafuu kidogo lakini naswashwa sana
Pole sana uko wapi na je unaweza kutuma namba yako ya whatssap?
Mimi ninatatizo la fungus ukeni na niyamuda mrefu huwa nikitumia dawa inatulia na kujirudia marakwa mara hivyo naomba kuuliza tatizo hili laweza kusababisha kukosa mtoto au
Pia huwa napatwa na maumivu makali sana wakati wa hedh naombeni msaada jamani me bado mdogo
Je, unaweza kutuma namba yako ya whatsap tuweze kukusaidia?
Nitawatafuta
Karibu sana
Lameck nipo iringa Nina dadaangu anasumbuliwa na fangasi ya mlango wa kizazi nawaptaje WhatsApp 0652765990
Lameki tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Ninaomba Privacy Dr. Whatsapp 0759019142
Kaka Alex tayari nimeshakutumia link yetu naomba ufungue data yako ya whatssap
Mimi nahisi muwasho ukeni alafu natokwa na uchafu mweupe kama mtindi lakini hauna harufu tatizo no nn???
Mm nnatatizo ambapo uke kuwa mkavu msaada jmn
Je, uko wapi? Tatizo hilo ni la kutokuwa na uwiano sawa wa homoni yaani hormonal imbalance
Je fangas inachangia maumiv makal wakat wa hedh
Hapana fangasi aihusiani na maumivu kwenye kizazi bali PID
Hi admin.
Ninatatzo hilo kwa muda mrefu nimetimia dawa nyingi sana ila hazinisaidii,naomba namna ya kumaliza tatzo wasap namba 0714637236
Karibu sana tayari nimeshakuunganisha na group
Dr nikuone private nicheki whatsapp 0744492367
Karibu naomba unione whatssap
0714228297 naomba mawasiliano whtsap doctor
Karibu sana katika James Herbal Group
Dr wengi ni wahanga kiukwel msaada
Pole sana dada je, unaweza kutuma namba yako ya whatssap?
Benjamini Kabogo nmeona dalili hizo za fungus Kaka naomba mnisaidie Nina week japo nmeenda hospital nmepewa dawa 0753656717
Karibu sana kaka katika James Herbal Group, tayari tumeshakuunganisha
kutokwa na vitu vyeupe kwenye tundu la uume huku ikiambatana na maumivu kidogo je, hizo ni dalili za fangasi?
Hizo ni dalili za maambukizi ya magonjwa ya zinaa hasa pangusa
Naomba namba yako ya whatapp Dr 0656827792
sawa
0710906997 niunge wats app admin
Tayari nimesha kuunganisha na group letu
Namba yangu ya whatsp 0743190392 msaada Dr please
Karibu sana dada tayari tumeshakuunganisha na Jukwaa letu
0743253668
Karibu sana katika group letu tayari nimeshakuunganisha
Kaka tatzo ni letu sote naomba nikuone watsapp 0753745107
Karibu sana mpendwa tayari tumeshakuunganisha na group
Naitwa hajra naomba kuunganshwa na hil group name n manga pia namba yangu hii 0692622687
0743253668. Nicheki wasap
Karibu sana katika group letu tayari nimeshakuunganisha
kufutwa sehemu ya siri pia ni fungas baada ya kujifunguwa ndo nimepata hili tatizo
Je, unaweza kutuma namba yako ya whatssap
0718931601
Karibu sana tayari nimeshakuunganisha na group letu
Dr nasumbuliwa na tatizo la fangasi namba yangu ya whatsap ni 0676051807
add me please 0624 417 887
Nina tatizo Hilo la fangusi lisiloisha naweza pata msaada 0759414690
Karibu sana tayari nimeshakuunganisha na group letu
Doctor mm ninaomba nikutafute private namba yangu ya wattsap 0689191046, nina shida doctor
Karibu sana tayari nimeshakuunganisha na group letu
Dr nasumbuliwa na fangasi namba yangu ya whatsap ni 0676051807
Karibu sana tayari nimeshakuunganisha na group
Admin msaada fungus zinasumbua Sana midawa ya kila aina nimekunywa ila siponi msaada wako namba 0743989138
Nasumbuliwa na maumivu chini ya kitovu WhatsApp namba0623212542
Angalia vizuri namba yako kama ni ya whatsap kweli
0762275649
Je, unaweza kutuma namba yako ya whatssap
0624530967
Adimin naomba uniunge Nina shida ya fangas namba ya watsup ni hii 0755939072
Karibu sana
Naitwa Remidius Muganyizi nipo Dodoma, nasumbuliwa na fungus ila mwanzoni sikuwahi kupata fungus lakini nilivokuja Dodoma kutokea Kagera ukawa kama ugonjwa sasa sijajua ni maji, hali ya hewa au nini tatizo doctor, nisaidieni. Namba yangu ya Whatsap n 0758388719.
Admin msaada fungus zinasumbua Sana midawa ya kila aina nimekunywa ila siponi msaada wako
Admin msaada pls fungus inasumbua Sana
Jaman naomba nisaidieni dawa na mm nna hilo tatzo la fungus
Naitwa hajra naomba kuunganshwa na hil group name n mhanga wa tatizo hlo namba yang 0692622687
Namimi dokta naomba unitumie link ya WhatsApp tafadhali sana
Sorry nilkua nauliza tofaut ya fangasi Uken na PID na Kam dalili piah zinatofautiana? Je n zipi
0783702658 admin niung
Karibu sana dada katika darasa letu la whatsap