JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, NA TUMBO LA CHINI KWA WANAWAKE?

JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE? Haya huwa ni Maumivu yanayompata mtusehemu ya  chini ya tumbo na nyonga. Kwa wanawake maumivu haya yanaweza kuwa dalili ya matatizo(maradhi) kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa haja ndogo, mfumo wa chakula au mifupa ya nyonga. Maumivu yanaweza kuwa ya kawaida au

makali, ya kudumu ama ya wakati, yaani yanakuja na kupotea kulingana na chanzo cha Maumivu hayo. Wakati mwingine Maumivu yanaweza kusambaa kwenye mgongo wa chini wa kwenye miguu au mapaja. Lakini wakati mwingine yanaweza kuja tu pale unakuwa unakojoa au kushiriki tendo la ndoa.

VYANZO VYAKE

Maumivu haya yanaweza kusababishwa na tatizo moja au zaidi hasa kwa yale humsumbua mtu kwa muda mrefu. Matatizo haya huwa kama ifuatavyo;

  • Matatizo kwenye mfumo wa uzazi
  • Vivimbe kwenye kuta za tumbo la uzazi
  • Hali ya tishu zinazoota ndani ya ukuta wa uzazi(endometriosis) au kuota nje ya ukuta wa mji wa uzazi.
  • Maumivu wakati wa hedhi ambayo hutokana na vivimbe katika kuta za tumbo la uzazi
  • Mimba kutunga nje kizazi(ectopic pregnancy)
  • Maumivu yanayotokea upande mmoja chini ya kitovu katikati ya mzunguko wa hedhi yaani siku ya 14
  • Saratani kwenye mifuko ya mayi
  • Maambukizi kwenye mfumo wa uzazi ambayo hutokana na bakteria wanaosababisha kisonono, na klamidia. Watu wengi wamekuwa wakipatwa na magonjwa haya pale wanapojaribu kupata ujauzito bila mafanikio(ugumba) au wanaposumbuliwa kwa muda mrefu na Maumivu ya kiuno na nyonga.
  • Vivimbe kwenye kuta za kizazi(uterine fibroids) ambavyo hutokana na mvugiko wa homoni ama kurithi kwa vinasaba.
  • Maumivu kwenye via vya uzazi ambayo husababisha kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa muda mrefu ama kushindwa kukaa kwa muda mrefu.

TIBA ZAKE

James Herbal Clinic tuna dawa za asili zenye uwezo wa kuondoa visababishi vya Maumivu na maradhi mengine katika mfumo wa uzazi. REDEEMER, PHYTOGUARD na FRESH HERB, ndio suluhisho la matatizo haya.

Kwa mawasiliano tupigie kwa namba zifuatazo: 0752389252 au 0712181626

82 thoughts on “JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, NA TUMBO LA CHINI KWA WANAWAKE?

  1. Namaumiv makal sana ya kiuno mara yanakua upande wa kushoto wakat mwingine upanda wa kulia nimetumia daw nying san yanatulia tu kw muda hal inarud palepal

    1. Tuma namba yako ya whatssap tukupatie link yetu ili uungane nasi katika darasa letu. Pia tunakushauri ukapate vipimo vya ultrasound

  2. Nimesumbuliwa sana na tumbo mwezi wa 3 kipindi ambacho nilitakiwa nianze hedhi nimeumwa kwa muda wa wiki ivi na sikupata hedhi

    1. Je, umewahi kupima? Pia unaweza ukatuma namba yako ya whatssap tukakupatia maelezo zaidi katika darasa letu

  3. Naomba ushauri,ndgu yangu wa kiume akiwa na hisia za mapenzi anapata maumivu makali baada ya uboo kusimama chini ya kitovuje hili ni tatizo?

  4. Naomba ushauri,ndgu yangu wa kiume akiwa na hisia za mapenzi anapata maumivu makali baada ya uboo kusimama chini ya kitovuje hili ni tatizo?

  5. Je kijana akipata hisia za kimapenzi uboo ukisimama akapata maumivu makali chini ya kitovu ni tatizo naomba ushauri

  6. Mi nimepata maumivu makali sana kwenye nyongoupande wa kushoto kati kati ya kiuno kurudi mbele hadi chini ya tumbo upande huo huo wa kushoto baada ya kumaliza tendo la ndoa je nini tatizo na tiba zake je

  7. ikiwa period ya mwisho nilipata kutokwa damu nyepesi tofauti na kawaida mpia kwa mda tofauti na kawaida na kwasasa napata maumivu ya tumbo kwenye kitovu na kiuno kuuma . itakuwa tatizo nini?

  8. ikiwa period ya mwisho nilipata kutokwa damu nyepesi tofauti na kawaida mpia kwa mda tofauti na kawaida na kwasasa napata maumivu ya tumbo kwenye kitovu na kiuno kuuma . itakuwa tatizo nini? up

    1. Yaweza kuwa ni tatizo la homoni imbalansi au uvimbe tumboni naomba ukafanye vipimo kwanza dada harafu ututaarifu

  9. Samahani mimi nina maumivu ya tumbo chini ya kitovu na nina siku ya 14 toka Nimemaliz hedhi maumivu yapo je inaweza ikawa ni tatizo gani naomba ushauri maana nina mda mrefu kidogo kurudi kwenye hedhi sasa.Baada ya kujifungua ni mwezi wa saba sasa ndo nimeingia kweny hedhi

  10. Habar dr….nilikutana na mime wangu baada ya period yaai Siku za hatari ila sahz moyo unaenda mbio kwawakati Fulani alaf napata maumivu chin ya kitovu kidogo na mzunguko wa kiuno haya maumiv ya kiuno na tumbo nini

  11. Me napata maumivu upande wakushoto jamani kuna muda yanapand mpaka kifuan Na kushuka mpaka kwenye nyonga kushoto Masada pls

  12. Napata maumivu ya kiuno na tumbo chini ya kitovu hadi upande wa kushoto iwe nikiwa period au nisipokua period,na nikifanya mapenzi naumia tumbo.nini tatizo jamani?

  13. Nikiwa kwenye siku ninapata maumivu ya nyonga kulia na tumbo kujaa na nikienda haja kubwa napata shida na wakati mwingine damu inakuwa imeganda. Nikimaliza maumivu yanapotea tatizo nini? Na tiba yake je

  14. mm ni mjamzito miezi mitatu..naumwa nyonga..kiuno kidgo na maumivu makali chini ya kitovu pande zote..yanakuja na kuondok

  15. Jamani Mimi napata maumivu makali Sana ya kiuno hasa wakati wa usiku ninapogeuka au asubuhi ninapoamka na baada ya nusu SAA hupotea Hadi usiku tena baada ya kulala. Ni tatizo la muda wa miez mi3 sasa

  16. 0715183808 naomba niunge kwenye group pia nna maumivu makali ya tumbo la chini af hata nkiwa siku za hatari sipati ujauzito

  17. napata maumiv chini ya kitovu pnde zote mbili na sehm za ntuma kuvuta km maumiv ya period Apo tatizo Ni nn

  18. Samahan naomba kujuwa nasikia mahumivu yakiuno kama nimepigwa nakitu.lakn yanatulia tena.

  19. Samahan naomba nisaidie ninamatatizo yakiuno nakinaniuma kama nimepigwa nakitu.nasiyo maumivu yanayokuwa wakati wa hedhi naomba nisaidie sijui chanzo ni nini

  20. Dr.huwa napatwa hayo maumivu japo sio mara kwa mara chini ya kitovu upande wa kulia….naomba kuungwa kwenye group lako nipate elimu zaid

    0754398180

      1. Mimi Nina uvimbe kwenye kizazi na nimeanza kuumwa mgongo na Sasa naumwa nyonga na nimewahi kupata mimba ikatoka je , nifanyeje? Na Kama una hayo maumivu unaweza kupata mimba na ikakua?

      2. Mke Wng anasumbuliwa na tumbo linauma Sana Na Kiuno kinakaza Sana Na Kuna Muda maumivu yanakuja mpka chini Ya kitovu anaumia sana,mwezi uliopita aliingia Kwa cku Zake tatehe 7 akamaliza Vizur tyu mwez Uo Uo tatehe ,30 Kaingia tena mwezi uh alitakiwa aingie trh trh 5,6 mpka Leo ajaingia Ila Leo tumbo lilmuuma Sana akawa ameenda kukojoa Ile ananawa Amekuta damu kidogo nikampeleka hospital Amekutwa na tyford,na uti Mimba Hana Je hpo nini Shida doctor

  21. Nasumbuliwa na maumivu ya tumbo la china na kiuno katikat kwa china had nahis ksma pana joto sehemu za kiuno kwa ndan pia miguu huvuta hii hali inatokea two weeks befor bleeding. Mara nyingine hata ninapoona siku zangu inatokea. Na nin mda natafuta conceiving lakin sipati. Shida ni nin??

  22. Mm nilitumia sindano za uzazi wa mango ilivo Isha mda wake sijachoma Tena lakini tatizo linalo nisumbua naenda period siku moja kwa masaa tu na numwa chini yakitovu na mzunguko wa kiuno

  23. Nilipata mscourage miez minne imepita ila wee hii moja jimekuwa na tatizo naumwa saana kiuno mpaka tumbo chini ya kitov na mda mwingine maumivu mpaka kiuno na nahis yanapanda juu kwa nyumba na hapa tumbon kama ulcers

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *