VIJUE VYANZO NA DALILI ZA UVIMBE KATIKA KIBOFU AU NJIA YA MKOJO.

 

Uvimbe sehemu ya njia ya mkojo hutokana na maambukizi ya bacteria kama vile UTI, nk. Hali hii mara nyingi huwapata wanawake. Visababishi vyake kwa kawaida hutokana na maambukizi ya bacteria amabayo tayari yameshapita katika utupu wa mwanamke; lakini hali hii ni mara chache sana hutokana na maambukizi kwenye mkojo unaotoka kwenye figo.

Wanawake wengi wanaopatwa na maambukizi haya katika kibofu cha mkojo mara nyingi vibofu vyao hupanuka kutokana na kubana mkojo hasa wanapohisi kwenda kukojoa wakati kibofu kikiwa kimejaa.

DALILI ZAKE

Kwa kawaida dalili zake huwa kama ifuatavyo:

  1. Kuhisi Maumivu makali sehemu ya tumbo la chini hadi mgongoni.
  2. Kukojo mkojo wenye Maumivu.
  3. Mkojo wenye harufu mbaya tena wenye muonekano yenye rangi ya ukungu kutokana na mkusanyiko wa usaha.
  4. Kuhisi hamu ya kukojoa hata kama kibofu kikiwa tupu.

TIBA ZAKE

James Herbal Clinic tuna dawa aina ya Redeemer ambayo ni antibiotic ikiwa pamoja na Fresh Herb ndizo huondoa matatizo haya kwa wanawake.

James Herbal Clinic tunapatikana Arusha na nje ya mkoa wa Arusha kwa mawakala zetu.

Kwa mawasilino tupigie kwa namba zifuatazo:

Arusha: 0752389252 au 0712181626

Dar es Salaam-Ubungo River Side: 0762391503 au 0715391503

Dar es Salaam-Kigogo Polisi: 0658221346 au 0683221346

Shinyanga: 0763869874

Ruvuma: 0752416341

Simiyu: 0758306602

Kupata blog ya kitaalamu unayoweza kuitumia kukjuifunza elimu juu ya vyanzo vya magonjwa na dalili zake, tembelea: www.jamesherbalclinic.or.tz