Zijue Sababu Zinazomfanya Mwanaume Kupungukiwa Nguvu Za Kiume. Je, Nini Madhara Yake?

Upungufu wa nguvu za kiume ni kutokuwa na uwezo wa kudindisha au kusimamisha uume kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa. Uume unapokuwa unadindisha vizuri halafu siku zingine unaishiwa nguvu, hilo linaweza lisiwe tatizo sana. Lakini kama upungufu wa nguvu za kiume utakuwa tatizo endelevu, hata hivyo unaweza kusababisha msongo…

JIFUNZE UJUE FAIDA YA CHAKULA CHA NYAMA

Ili kiumbe hai chochote kiweze kuendelea kuishi kinahitaji pumzi na lishe au chakula. Ndivyo ilivyo kwa mwanadamu. Mungu alipokwisha kumuumba mtu, hakumwacha bila chakula. Alimpatia chakula katika bustani ya Edeni. Hata hivyo hakumruhusu kula chochote, bali alimuelekeza nini ale na nini asile. Katika jalada hili mada kuu itakayoongelewa ni juu ya…

Mambo Makuu 5 Yanayosababisha Miguu Au Mwili Kuvimba (Edema)

Kuvimba kwa mwili ni hali inayosababishwa na umajimaji mwingi unaojikusanya kwenye tishu za mwili, amabayo kitaalamu tunaita “edema”. Edema inaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa kuonekana kwenye miguu na mikono. Madawa na ujauzito vinaweza kusababisha mwili kuvimba. Inaweza pia kuwa matokeo ya ugonjwa, kama vile moyo…

Je, Vipindi Vya Hedhi Vya Muda Mrefu Humaanisha Nini?

Kwanza, hebu tufafanue tunachomaanisha na “vipindi vya hedhi vya muda mrefu.” Kwa ujumla, kipindi cha “kawaida” huchukua kati ya siku tatu hadi saba na inahusisha kupoteza jumla ya damu ya takribani mililita 30-40 (au vijiko viwili hadi vitatu). Wakati mwingine kiasi hiki kinaweza kuwa zaidi, ikiwa ni zaidi ya milimita 80…

Fahamu Mambo Yanayosababisha Mwanamke Kutokwa Na Damu Ukeni Baada Ya Kushiriki Tendo La Ndoa.

Kutokwa na damu ukeni baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa, kunaweza kuwa na sababu mbalimbali. Magonjwa yanayoathiri uke peke yake yanaweza kusababisha aina hii ya kutokwa na damu. Nayo huwa ni pamoja na haya yafuatayo: Kukoma kwa hedhi: Hali hii huambatana na ukuta wa uke kuwa mwembamba, mkavu na…

Hatari Ya Magonjwa Yasiyoambukizwa Na Jinsi Ya Kujiusha Nayo

Moja ya makosa makubwa ambayo watu wamekuwa wanafanya kwenye maisha yao katika karne hii ni kudharau mambo ambayo ni muhimu sana, lakini huja kujutia baadaye wakati wameshayapoteza. Huwa tunakazana kutafuta fedha na mali na kusahau vitu muhimu sana, ambavyo tumepewa bure kabisa, mpaka pale tunapovipoteza ndipo tunajua gharama yake halisi.…

Je, Kwanini Magonjwa Mengi Leo Yanatokana Na Ulaji Hasa Vyakula Vya Nyama?

Epuka Sana Ulaji Wa Nyama Ili Usipate Magonjwa Faida za kiafya na maisha ya Kanisa la Waadventista Wasabato zimefuatiliwa hadi jinsi wanavyoishi na kula. Tangu miaka ya 1800, Waadventista Wasabato wametekeleza siri nane za afya ambazo hupunguza hatari yao ya ugonjwa wa moyo na saratani … sababu mbili kuu za…

Zijue Faida Za Mwanamke Anapofika Kileleni

Je, unajua kwamba kuna faida mbalimbali za kiafya kwa mwanamke kufika kileleni? Hapa ninakuletea umuhimu wa mwanamke kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa: Huondoa Maumivu Kufika kileleni humsaidia mwanamke kuondokana na maumivu mbalimbali anayoweza kuwa anayahisi mwilini mwake. Hutoa oxtin ambayo husaidia kutoa homoni ya endorphin mwilini. Homoni ya…