Fahamu Mambo Yanayosababisha Mkusanyiko Wa Majmajii Mwilini

Hali ya mkusanyiko wa majimaji mwilini kitaalamu tunaita “Edema.” Majimaji haya hukusanyikana kwa wingi kwenye tishu za misuli ya mwili. Mkusanyiko wa majimaji(Edema) unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa hali hii kuonekana kwenye miguu. Madawa na mimba vinaweza kusababisha majimaji kukusanyikana mwilini (edema). Hali hii inaweza pia kuwa…

Kwanini Mirija Ya Uzazi Huvimba?

Kitaalamu kuvimba kwa mirija ya uzazi tunaita “Salpingitis”. Hii huwa ni hali ya maambukizi ya bakteria kwenye mirija yako ya uzazi. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na pangusa (chlamydia) husababisha matukio mengi. Dawa za asili zenye Antibiotic zinaondoa kabisa tatizo hili. Hali ya kuvimba kwa mirija ya uzazi inaambatana…

Mirija Ya Uzazi: Je, Mwanamke Anaweza Kupata Mimba Huku Akiwa Na Mrija Mmoja Tu?

Swali: Una mrija mmoja tu wa uzazi. Je, inawezekana kupata mimba? Jibu ni ndiyo. Mirija ya uzazi iko miwili ambayo mayai hupitia ili kutoka kwenye kifuko cha mayai (ovary) hadi kwenye mji wa mimba. Kila mwezi wakati wa mzunguko wa hedhi, kifuko kimoja cha mayai(ovary) hutoa yai. Huu ni mchakato…

Faida 4 Za James Tea Masala Katika Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanaume!

James Tea Masala ina virutubishi vingi ambavyo vinaweza kunufaisha afya ya mfumo wa uzazi wa wanaume kwa namna mbalimbali, kama vile kuboresha mfumo wa damu na kuongeza nguvu za kiume pamoja na hamu ya tedno la ndoa. Leo nitakuonyesha Faida Chache tu za James Tea Masala ambazo zinaweza kuboresha mfumo…

Zijue Faida Za Kukojoa Baada Ya Kumaliza Kushiriki Tendo La Ndoa.

Wakati mwanamke anaposhiriki tendo la ndoa, bakteria wanaweza kupita kutoka kwenye sehemu za siri na kuingia kwenye mrija wa mkojo. Mrija wa mkojo ni mrija unaounganisha kibofu na uwazi ambapo mkojo hupitia na kutoka nje. Bakteria wanaweza kuingia kwenye kibofu cha mkojo kutoka kwenye mrija wa mkojo, na kusababisha UTI. Kukojoa…

Jifunze Jinsi Ya Kuishi Maisha Marefu Kwa Kulinda Afya Ya Mwili Wako!

Je, Nini Cha Kufanya? Zaidi ya asilimia 90% ya magonjwa yanatokana na mapungufu ya lishe. “Chakula ni dawa yako, na dawa yako ni chakula chako.” Ni aina gani ya lishe/vitamin tunayohitaji katika maisha yetu ya kila siku ili kutufanya tuweze kuishi maisha marefu, kujisikia kijana au kuonekana mtu mkubwa? Hebu…

Hatua 4 Zinazoweza Kuifanya Mishipa Yako Ya Ateri Kuwa Misafi

Ikiwa unasoma makala hii,  labda unaweza kujali afya ya mishipa yako, moyo, au hata afya ya mwili wako wote. Lengo letu ni wewe kuelewa na ufahamu ubora wa jinsi mfumo wa mzunguko wako wa damu unavyofanya kazi na, muhimu zaidi, unachoweza kufanya kila siku ili kuifanya mishipa yako iwe yenye afya.   Hebu…

Zijue Sababu Zinazomfanya Mwanaume Kupungukiwa Nguvu Za Kiume. Je, Nini Madhara Yake?

Upungufu wa nguvu za kiume ni kutokuwa na uwezo wa kudindisha au kusimamisha uume kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa. Uume unapokuwa unadindisha vizuri halafu siku zingine unaishiwa nguvu, hilo linaweza lisiwe tatizo sana. Lakini kama upungufu wa nguvu za kiume utakuwa tatizo endelevu, hata hivyo unaweza kusababisha msongo…