Mwanamke huchelewesha kupata ujauzito kwa sababu ya matatizo ya kupevusha yai (kama vile matatizo ya tezi ya thyroid, msongo wa mawazo), masuala ya kuziba kwa mirija ya uzazi, uvimbe wa fibroid kwenye mfuko wa uzazi, endometriosis au vivimbe maji kwenye vifuko vya mayai), kupungua kwa ubora wa yai linalohusiana na…
Kwanini Ugonjwa Wa PID Unaweza Kubadirika Na Kuwa Saratani (Cancer)?
Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi (PID) unasababisha ongezeko la hatari ya baadhi ya aina Fulani za saratani, hasa saratani ya vifuko vya mayai (ovarian cancer), hususani kutokana na madhara ya uvimbe wa muda mrefu. Utaratibu halisi wa vyanzo bado unachunguzwa, lakini uvimbe ni alama inayojulikana ya maendeleo ya…
Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Kwenye Njia ya Mkojo Au (U.T.I)
Madhara yanayotokana na maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni pamoja na kuharibika kwa figo, maambukizi kwenye figo (pyelonephritis), ambayo ni maambukizi kwenye damu yanayohatarisha maisha. UTI ambayo haijatibiwa pia inaweza kusababisha matatizo kama vile kujifungua mtoto kabla ya wakati au mtoto mwenye uzito mdogo kabisa. Pia bonyeza hapa ili…
Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Kwenye Njia ya Mkojo Au (U.T.I)
Madhara yanayotokana na maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni pamoja na kuharibika kwa figo, maambukizi kwenye figo (pyelonephritis), ambayo ni maambukizi kwenye damu yanayohatarisha maisha. UTI ambayo haijatibiwa pia inaweza kusababisha matatizo kama vile kujifungua mtoto kabla ya wakati au mtoto mwenye uzito mdogo kabisa. Pia bonyeza link hii…
Dhibiti Magonjwa Ya Uzazi Kwenye Kizazi Chako Ili Ndoa Yako Iwe Na Furaha
Ugonjwa wa mfumo wa uzazi, ni magonjwa na matatizo yoyote yanayoathiri mfumo wa uzazi wa binadamu. Magonjwa haya hujumuisha uzalishaji wa vichocheo (hormone) usio wa kawaida kutoka kwenye vifuko vya mayai (ovaries) au kwenye korodani au tezi nyingine za endocrine, kama vile tezi ya pituitari au adrenali. Magonjwa kama haya…
Ugumba Unaosababishwa Na Mirija Ya Uzazi Iliyoharibika Au Iliyoziba.
Muhtasari wa mirija ya uzazi iliyoharibika au iliyoziba: Mirija ya uzazi iliyoharibika au kuziba ni sababu ya kawaida ya ugumba wa mwanamke, kwa sababu ndani ya mirija ya uzazi ni mahali ambapo manii hurutubisha yai la mwanamke. Kuziba kwa mirija au uharibifu unaweza kusababishwa na ugonjwa wa maambukizi katika…
Fahamu Mambo Yanayosababisha Mkusanyiko Wa Majmajii Mwilini
Hali ya mkusanyiko wa majimaji mwilini kitaalamu tunaita “Edema.” Majimaji haya hukusanyikana kwa wingi kwenye tishu za misuli ya mwili. Mkusanyiko wa majimaji(Edema) unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa hali hii kuonekana kwenye miguu. Madawa na mimba vinaweza kusababisha majimaji kukusanyikana mwilini (edema). Hali hii inaweza pia kuwa…
Kwanini Mirija Ya Uzazi Huvimba?
Kitaalamu kuvimba kwa mirija ya uzazi tunaita “Salpingitis”. Hii huwa ni hali ya maambukizi ya bakteria kwenye mirija yako ya uzazi. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na pangusa (chlamydia) husababisha matukio mengi. Dawa za asili zenye Antibiotic zinaondoa kabisa tatizo hili. Hali ya kuvimba kwa mirija ya uzazi inaambatana…
Mirija Ya Uzazi: Je, Mwanamke Anaweza Kupata Mimba Huku Akiwa Na Mrija Mmoja Tu?
Swali: Una mrija mmoja tu wa uzazi. Je, inawezekana kupata mimba? Jibu ni ndiyo. Mirija ya uzazi iko miwili ambayo mayai hupitia ili kutoka kwenye kifuko cha mayai (ovary) hadi kwenye mji wa mimba. Kila mwezi wakati wa mzunguko wa hedhi, kifuko kimoja cha mayai(ovary) hutoa yai. Huu ni mchakato…
Faida 4 Za James Tea Masala Katika Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanaume!
James Tea Masala ina virutubishi vingi ambavyo vinaweza kunufaisha afya ya mfumo wa uzazi wa wanaume kwa namna mbalimbali, kama vile kuboresha mfumo wa damu na kuongeza nguvu za kiume pamoja na hamu ya tedno la ndoa. Leo nitakuonyesha Faida Chache tu za James Tea Masala ambazo zinaweza kuboresha mfumo…