Kutokwa na damu ukeni baada ya kumaliza kushiriki tendo la ndoa, kunaweza kuwa na sababu mbalimbali. Magonjwa yanayoathiri uke peke yake yanaweza kusababisha aina hii ya kutokwa na damu. Nayo huwa ni pamoja na haya yafuatayo: Kukoma kwa hedhi: Hali hii huambatana na ukuta wa uke kuwa mwembamba, mkavu na…
Hatari Ya Magonjwa Yasiyoambukizwa Na Jinsi Ya Kujiusha Nayo
Moja ya makosa makubwa ambayo watu wamekuwa wanafanya kwenye maisha yao katika karne hii ni kudharau mambo ambayo ni muhimu sana, lakini huja kujutia baadaye wakati wameshayapoteza. Huwa tunakazana kutafuta fedha na mali na kusahau vitu muhimu sana, ambavyo tumepewa bure kabisa, mpaka pale tunapovipoteza ndipo tunajua gharama yake halisi.…
Je, Kwanini Magonjwa Mengi Leo Yanatokana Na Ulaji Hasa Vyakula Vya Nyama?
Epuka Sana Ulaji Wa Nyama Ili Usipate Magonjwa Faida za kiafya na maisha ya Kanisa la Waadventista Wasabato zimefuatiliwa hadi jinsi wanavyoishi na kula. Tangu miaka ya 1800, Waadventista Wasabato wametekeleza siri nane za afya ambazo hupunguza hatari yao ya ugonjwa wa moyo na saratani … sababu mbili kuu za…
Zijue Faida Za Mwanamke Anapofika Kileleni
Je, unajua kwamba kuna faida mbalimbali za kiafya kwa mwanamke kufika kileleni? Hapa ninakuletea umuhimu wa mwanamke kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa: Huondoa Maumivu Kufika kileleni humsaidia mwanamke kuondokana na maumivu mbalimbali anayoweza kuwa anayahisi mwilini mwake. Hutoa oxtin ambayo husaidia kutoa homoni ya endorphin mwilini. Homoni ya…
Fahamu Faida 12 Za Asali Mbichi.
Takwimu inatuambia kuwa nyuki wamekuwepo kwa takribani miaka milioni 150 au zaidi. Asali ni nyingi. Imethaminiwa kuwa ni tamu tena ni nzuri mno, kwani ni chakula tena ni dawa. Asali ni tamu mno. Kwa kuwa imetengenezwa kutokana na viungo mbalimbali vya maua, hivyo, ina mshikamano wa asili na tishu za…
Je, Unaweza Kupata Ujauzito Huku Ukiwa Na Maambukizi Ya UTI?
Maambukizi ya UTI, kusema kweli hakuna mtu anayeweza kuwaza kwamba tatizo hili haliwezi kumpata. Maambukizi haya yanaweza kusababisha dalili za masumbufu kiasi kwamba zinaweza kuvuruga utaratibu wa siku moja baada ya nyingine. Lakini kuna wakati ambapo maambukizi ya UTI yanapokuwa yanakupatia changamoto hasa pale unapokuwa ukijaribu kupata mimba. Kutibu maambukizi…
Njia Yenye Nguvu Ya Kurekebisha Figo Zako Kwa Kutumia Dawa Za Asili.
Unahitaji kuzitunza na kuzilinda figo zako, kwa kuwa ni miongoni mwa viungo muhimu zaidi katika mwili, na ili kuzuia maumivu makali yanayotokana na magonjwa ya figo, kama vile mawe kwenye figo na kushindwa kufanya kazi kwa figo. Katika tatizo la ugonjwa wa figo, figo hupunguza ufanisi wake au huacha kabisa kufanya…
Mambo 8 Yatakayokufanya Usikie Raha Zaidi Wakati Unaposhiriki Tendo La Ndoa.
Mara nyingi tendo la ndoa huwa linahitaji maandalizi ya muda mrefu. Lakini kuna baadhi ya wana ndoa huwa wanafikiri maandalizi ya tendo la ndoa huwa chumbani peke yake pindi wanapokuwa kitandani, la hasha, suala la maandalizi ya tendo la ndoa huanza mapema na huanzia kwenye mawasiliano mazuri kati ya mume…
Haya Ndio Makundi Ya Vyakula Vilivyokaangwa Vinavyosababisha Wanaume Wengi Kupungukiwa Nguvu Za Kiume.
Moja ya njia sahihi za asili katika kutatua tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni kuanza kurekebisha mtindo wa ulaji na unywaji hata kama unatumia tiba au bidhaa kutoka James Herbal Clinic. Kufanya hivi ni kujiepusha na milo inayosababisha kupungukiwa nguvu za kiume ikiwa pamoja na uchafu wa mazingira, kemikali…
Mambo 6 Yanayosababisha Yai La Mwanamke Kushindwa Kukomaa.
Na ieleweke kuwa, mwanamke inafaa sana ukawa makini kujali mzunguko wako wa hedhi ikiwa kama unahitaji au unatafuta kubeba ujauzito. Zaidi ya yote ni hivi, ili uweze kuwa mjamzito, jambo la kwanza inapaswa mayai yako yawe yanapevuka kila mwezi. NUKUU: Ni vyema kabisa kutambua kuwa, hedhi huwa ni dalili au…