Fahamu Mambo 7 Yanayosababisha Maumivu Kwenye Nyonga

Maumivu ya nyonga kwa mwanamke (wakati ujauzito unapokuwa haupo) yanayoambatana na kichefuchefu yanaweza kusababishwa na mifumo mbalimbali ya mwili. Sababu Zinazohusu Mfumo wa Uzazi Hizi ni baadhi ya changamoto za kiafya zinazoweza kusababisha maumivu haya: Vivimbe kwenye Mayai (Ovarian Cysts): Kivimbe kikipasuka au kusababisha yai kujizungusha (Ovarian Torsion), huleta maumivu…

Fahamu Mambo (4) Yanayosababisha Chango

Neno “chango” hutumiwa na jamii nyingi nchini Tanzania kuelezea maumivu mbalimbali ya tumbo na mfumo wa uzazi. Katika muktadha wa kitabibu, chango mara nyingi husababishwa na mambo yafuatayo: Vyanzo vya Chango (Kulingana na Sayansi ya Tiba) Kitaalamu, kile kinachoitwa “chango” kinaweza kuwa kimesababishwa na: Matatizo ya Hedhi (Dysmenorrhea): Maumivu makali…

Je, Nini Kinamfanya Mwanamke Kuchelewa Kupata Ujauzito/Mimba?

Mwanamke huchelewesha kupata ujauzito kwa sababu ya matatizo ya kupevusha yai (kama vile matatizo ya tezi ya thyroid, msongo wa mawazo), masuala ya kuziba kwa mirija ya uzazi, uvimbe wa fibroid kwenye mfuko wa uzazi,  endometriosis au vivimbe maji kwenye vifuko vya mayai), kupungua kwa ubora wa yai linalohusiana na…

Kwanini Ugonjwa Wa PID Unaweza Kubadirika Na Kuwa Saratani (Cancer)?

Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi (PID) unasababisha ongezeko la hatari ya baadhi ya aina Fulani za saratani, hasa saratani ya vifuko vya mayai (ovarian cancer), hususani kutokana na madhara ya uvimbe wa muda mrefu. Utaratibu halisi wa vyanzo bado unachunguzwa, lakini uvimbe ni alama inayojulikana ya maendeleo ya…

Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Kwenye Njia ya Mkojo Au (U.T.I)

Madhara yanayotokana na maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni pamoja na kuharibika kwa figo, maambukizi kwenye figo (pyelonephritis), ambayo ni maambukizi kwenye damu yanayohatarisha maisha. UTI ambayo haijatibiwa pia inaweza kusababisha matatizo kama vile kujifungua mtoto kabla ya wakati au mtoto mwenye uzito mdogo kabisa. Pia bonyeza hapa ili…

Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Kwenye Njia ya Mkojo Au (U.T.I)

Madhara yanayotokana na maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni pamoja na kuharibika kwa figo, maambukizi kwenye figo (pyelonephritis), ambayo ni maambukizi kwenye damu yanayohatarisha maisha. UTI ambayo haijatibiwa pia inaweza kusababisha matatizo kama vile kujifungua mtoto kabla ya wakati au mtoto mwenye uzito mdogo kabisa. Pia bonyeza link hii…

Dhibiti Magonjwa Ya Uzazi Kwenye Kizazi Chako Ili Ndoa Yako Iwe Na Furaha

Ugonjwa wa mfumo wa uzazi, ni magonjwa na matatizo yoyote yanayoathiri mfumo wa uzazi wa binadamu. Magonjwa haya hujumuisha  uzalishaji wa vichocheo (hormone) usio wa kawaida kutoka kwenye vifuko vya mayai (ovaries) au kwenye korodani au tezi nyingine za endocrine, kama vile tezi ya pituitari au adrenali. Magonjwa kama haya…

Ugumba Unaosababishwa Na Mirija Ya Uzazi Iliyoharibika Au Iliyoziba.

  Muhtasari wa mirija ya uzazi iliyoharibika au iliyoziba: Mirija ya uzazi iliyoharibika au kuziba ni sababu ya kawaida ya ugumba wa mwanamke, kwa sababu ndani ya mirija ya uzazi ni mahali ambapo manii hurutubisha yai la mwanamke. Kuziba kwa mirija au uharibifu unaweza kusababishwa na ugonjwa wa maambukizi katika…

Fahamu Mambo Yanayosababisha Mkusanyiko Wa Majmajii Mwilini

Hali ya mkusanyiko wa majimaji mwilini kitaalamu tunaita “Edema.” Majimaji haya hukusanyikana kwa wingi kwenye tishu za misuli ya mwili. Mkusanyiko wa majimaji(Edema) unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa hali hii kuonekana kwenye miguu. Madawa na mimba vinaweza kusababisha majimaji kukusanyikana mwilini (edema). Hali hii inaweza pia kuwa…