Nini Maana Ya Kuvimba Kwa Korodani(Orchitis)? Orchitis ni kutuna au kuvimba kwa korodani moja au zote mbili. Korodani ni iungo vya mfumo wa uzazi wa mwanaume. Viungo hivi huzarisha mbegu na homoni za testosterone. Wanaume wote wana korodani mbili ambazo hukaa ndani ya kifuko kinachoitwa pumbu. Je, Epididymo-orhitis Ni Nini?…
MAMBO MAKUU 8 YANAYOSABABISHA SHINGO YA KIZAZI KUVIMBA
Je, Kuvimba Kwa Shingo Ya Kizazi Maana Yake Ni Nini? Kuvimba kwa shingo ya kizazi ni kutuna kwa mlango wa kizazi(cervicitis). Hali hii inapojitokeza huambatana na kutokwa na uchafu mwingi ukeni, kutokwa na damu damu au kuhisi maumivu makali wakati unaposhiriki tendo la ndao, ingawa baadhi ya wanawake wanaweza wasihisi…
YAJUE MADHARA 5 YA UGUMBA/UTASA
Ugumba au inamaanisha mwanamke kutokuwa na uwezo wa kushika ujauzito licha ya kufanya tendo la ndoa bila kutumia kinga kwa Zaidi ya mwaka mmoja. Ugumba unaweza kusababishwa na mambo mengi mbalimbali. Kutegemeana na mambo yanayosababisha ugumba, bado kuna uwezekano wa kutibu ugumba kwa njia mbalimbali hususani tiba za asili. Matibabu…
DALILI 10 ZA UGONJWA WA HOMA YA INI AINA YA “HEPATITIS A”
Homa ya ini ugonjwa wa ini unaoambukiza sana unaosababishwa na virusi vya hepatitis A. Virusi hivyo ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya homa ya ini vinavyosababisha ini kuvimba na kuathiri uwezo wa ini kufanya kazi. Leo nitaanza na aina ya Hepatitis A Una uwezekano mkubwa wa kupata hepatitis…
MAMBO 4 YA KUTISHA YANAYOSABABISHA MBEGU ZA MWANAUME KUWA CHACHE.
Unaweza usijue kwamba una tatizo la mbegu kuwa chache(Oligospermia), umejaribu kumtungisha mwanamke mimba ili upate mtoto lakini hujafanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini nipende kukupa maumaini kwamba yapo matibabu ya asili yanayoweza kuondoa tatizo hili tena kwa urahisi kabisa. Mbali na…
MADHARA YA UVIMBE WA FIBROID WAKATI WA UJAUZITO
Idadi ndogo ya wanawake wajawazito wana uvimbe wa fibroid. Kama ni mjamzito na una vivimbe vya fibroid, haviwezi kusababisha matatizo kwako au kwa mtoto ikiwa kama utapata huduma. Wakati wa ujauzito, uvimbe wa fibroid unaweza unaweza kuongezeka ukubwa. Ukuaji huu mara nyingi hutokana na mtiririko wad amu kwenye mfuko wa…
MAGONJWA MATATU YANAYOMFANYA MWANAMKE KUTOKWA NA DAMU NYINGI YA HEDHI KWA MFULULIZO
Kutokwa na damu ya hedhi kwa mfululizo au kujirudia rudia ndani ya mwezi mmoja, kitaalamu hujulikana, “intermenstrual bleeding, metrorrhagia au spotting. Kwa kawaida ugonjwa huu huwa ni wa kawaida na unaweza usiwe wa hatari mno katika afya ya mwanamke. Wanawake wengi hutokwa na damu ya hedhi kwa kujirudiarudia katika miezi…
Dalili 10 Za Mvurugiko Wa Hedhi
Katika wanawake 10 walio katika umri wa kuzaa, wanapopimwa, basi 1 anaweza kuonekana na tatizo la mvurugiko wa homoni. Mvurugiko wa homoni ni hali ambayo husababisha vivimbe maji vidogo vidogo kwenye vifuko vya mayai. Japokuwa vivimbe maji vyenyewe havina madhara sana, lakini mvurugiko wa homoni unaweza kusababisha ugumba kabisa na…
JE, UGONJWA WA PID UNAWEZA KUSABABISHA MLANGO AU SHINGO YA KIZAZI KUVIMBA?
Kuvimba kwa shingo ya kizazi kitaalamu tunaita, “cervicitis”, ambao ni sehemu ya chini, tena nyembamba inayokuwa mwishoni kabisa ndani ya maeneo ya uke wako. Dalili utakazoziona za kuvimba kwa shingo ya kizazi ni Pamoja na kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja, maumivu makali wakati unapofanya tendo la ndoa…
JE, NINI HUSABABISHA TEZI DUME KUVIMBA? NINI MADHARA YAKE?
Tezi dume ni tezi ndogo ambayo husaidia kutengeneza manii, nayo ipo chini kibofu cha mkojo. Mara nyingi tezi hii hupanuka na kubwa kadiri unavyozidi kuwa mzee. Tezi dume iliyovimba inaweza kusababisha dalili ambazo zinaweza kukusumbua, kama vile kuziba kwa njia ya mkojo kwenye kibofu cha mkojo. Inaweza pia kusababisha matatizo…