U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ” Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri. VISABABISHI VYAKE Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Bakteria aina ya Escherichia…
JE, WAJUA SABABU ZA KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI?
KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneno makuu mawili; Upevushaji mayai(Ovulatory Circle) Kutopevusha mayai(Anovulatory Circle) Mzunguko wa mwanamke unaopevusha mayai unatoa ute wa uzazi unaovutika kama ute mweupe wa yai la kuku, na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko Wa Mwanamke Usiopevusha Mayai Mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa…
JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, NA TUMBO LA CHINI KWA WANAWAKE?
JE, WAJUA VYANZO VYA MAUMIVU YA KIUNO, NYONGA, CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE? Haya huwa ni Maumivu yanayompata mtusehemu ya chini ya tumbo na nyonga. Kwa wanawake maumivu haya yanaweza kuwa dalili ya matatizo(maradhi) kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa haja ndogo, mfumo wa chakula au mifupa ya nyonga. Maumivu…
JE, WAJUA VYANZO VYA TATIZO LA TEZI DUME NA MADAHARA YAKE?
JE WAJUA CHANZO CHA TATIZO LA KUATHIRIKA KWA TEZI TUME, DALILI ZAKE NA TIBA ZAKE? Hii huwa ni ile hali ya tezi dume kuathirika kutokana na vyanzo mbalimbali kwa mfano; bakteria, nk. Kuathirika kwa tezi dume kunaweza kusababisha hata utendaji kazi wake kupungua, na inapatikana chini ya kibofu cha mkojo…