Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama “ovarian cyst”. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo…
Mambo Yanayomfanya Mwanaume Au Mwanamke Kushindwa Kupata Mtoto
Katika suala zima la ugumba kwa mwanaume na mwanamke lazima kuwepo na vigezo vya uchunguzi. Kwa mwanamke mambo ya kuangalia ni historia yake katika matumizi ya madawa ya tiba alipokuwa mdogo au hata kama mama yake aliwahi kutumia aina fulani za madawa wakati wa ujauzito. Wataangalia kama ulivunja ungo kwa…
Zijue Sababu Zinazofanya Uke Kutoa Sauti Wakati Unaposhiriki Tendo La Ndoa
Uke kutoa sauti ni pale hewa inapopita na kuingia ndani ya uke. Hewa inapopita, baadaye hutoka ukeni na inaweza kusababisha sauti sawa na kujaa gesi tumboni na kutoka kwenye njia ya haja kubwa(kujamba). Kwa kawaida ni tukio la kawaida, na huwa ni hali inayojitokeza kwa nadra sana. Hata hivyo inaweza…
Fahamu Dalili 9 Za Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi
Kupima na kutambua tatizo lako la uvimbe kwenye mayai ni jambo la muhimu sana kwa ajili ya tiba, lakini wakati mwingine huwa ni rahisi sana kushindwa kuzigundua dalili hizi. Sasa hebu tuangalie jinsi zinavyokuwa: Hivi leo tunaona idadi kubwa ya wanawake wamekuwa wakiathiriwa sana na ugonjwa wa uvimbe kwenye mayai…
Mambo 8 Yanayopelekea Mzunguko Wako Wa Hedhi Kubadirikabadirika!
Ieleweke hivi, ingawa mzunguko wa hedhi wa wastani huwa siku 28, lakini unaweza kuonekana pia siku 24 au kila baada ya siku 34. Baada ya kubalehe, wanawake wengi huwa na mzunguko wa hedhi usiobadirika hata kidogo; lakini baadhi yao hubaki katika mzunguko wenye tabia ya kubadirika badirika. Kutokwa damu ya…
Fahamu Vyanzo, Dalili Na Madhara Ya Kuvimba Kwa Tezi Dume
Kuvimba kwa tezi dume kitaalamu wanaita, “Prostatitis”. Tezi dume iko chini ya kibofu chako cha mkojo, mbele ya puru yako. Mrija wako wa mkojo (ambao hubeba mkojo na manii) hupitia katikati ya tezi dume yako. Ikiwa una mojawapo ya aina tatu za kuvimba kwa tezi dume, tishu ndani na maeneo ya…