Haya Ndio Mambo 13 Yanayomfanya Mwanamke Hedhi Yake Kujirudia Mara 2 Ndani Ya Mwezi Mmoja.

Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi huwa sio hali ya kawaida ya mzunguko wa hedhi kwa mwanamke. Hali hii inaweza kujitokeza kwa kutokwa na matone ya damu baada ya kutoka hedhini, na mara nyingi mwanamke hali hii anaweza kuiona akiwa chooni baada ya kujitawaza au kujipangusa, au anaweza akatokwa na…

Fahamu Mambo Yanayosababisha Bakteria Kwenye Kizazi Chako

Ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) ni maambukizi yanayokuwa kwenye tumbo la uzazi la mwanamke (uterus), vifuko vya mayai (ovaries), au mirija ya uzazi. Je, Nini Visababishi Vyake? PID ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria. Wakati bakteria kutoka ukeni au mlango wa uzazi wanaposafiri na kuingia kwenye tumbo lako la…

Haya Ndio Madhara 4 Ya Uvimbe Wa Fibroid Kwenye Tumbo La Uzazi.

Kwa kawaida uvimbe wa fibroid huota ndani au nje ya mfuko wa kizazi chako. Vivimbe hivi huanza kama seli moja, ambayo baadaye hukua na kuzaliana kwa wingi. Hatimaye, uvimbe wa fibroid huongezeka ukubwa, mahali popote ukianza kuwa na ukubwa wa peasi na hata kufikia ukubwa wa tikitiki maji. Pia vivimbe…

Fahamu Madhara Ya Ugonjwa Wa PID

Je, Madhara Ya PID Isipotibiwa Yanakuwaje? Madhara kutokana na maambukizi ya PID ambayo hayajatibiwa yanaweza kuchukua miaka mingi kuendelea. Matokeo ya tatizo hili yanaweza kuwa yenye maumivu makali. Yanaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu katika viungo vya uzazi. NUKUU: Madhara yanaweza kusababisha hali ya ugumba. Mwanamke anapokaa muda mrefu na…

Haya Ndio Mambo 6 Yanayomfanya Mwanamke Kupatwa Na Tatizo La PID

Ugonjwa wa maambukizi katika via vyauzazi (PID) ni maambukizi ya mirija ya mayai (fallopian tubes), vifuko vya mayai (ovaries), mfuko wa kizazi (uterus) pamoja na shingo ya kizazi (cervix).  Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusababisha makovu ama tishu kuotea na ikiwa na mkusanyiko wa ute mchafu kama vile usaha kwenye mirija ya mayai, na hivyo kuharibu…