Kwanini Maambukizi Ya UTI Husababisha Figo Na Mirija Kuharibika?

Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo ni pamoja na figo, mirija inayotoa mkojo kwenye figo (ureter) mkojo, kibofu cha mkojo na mrija wa mkojo(urethra). Maambukizi mengi yanahusisha njia ya chini ya mkojo, yaani kwenye kibofu cha mkojo na…

Fahamambo Mambo 6 Yanayosababisha Tezi Dume Yako Kuvimba

Tezi dume ni tezi ndogo ambayo husaidia kutengeneza manii, nayo ipo chini kibofu cha mkojo. Mara nyingi tezi hii hupanuka na kubwa kadiri unavyozidi kuwa mzee. Tezi dume iliyovimba inaweza kusababisha dalili ambazo zinaweza kukusumbua, kama vile kuziba kwa njia ya mkojo kwenye kibofu cha mkojo. Inaweza pia kusababisha matatizo…

Fahamu Dalili 16 Za Mvurugiko Wa Homoni(Hormonal Imbalance)

Je, Homoni Ya Estrogen Ni Nini? Maisha ya mwanamke yanaweza kuelezewa kwa kupanda na kushuka au kubadilika kwa homoni mbili, estrogen na progesterone. Wakati homoni hizi zinapokuwa na uwiano sawa, basi maisha ya mwanamke huwa ni ya ajabu mno, kwani yeye huwa anakuwa na furaha muda wote katika maisha yake…