Mlundikano Wa Mafuta Kwenye Damu (Cholestrol)

Lehemu (cholesterol) ni mafuta yenye kuganda, yenye kuonekana kama nta ambayo hupatikana kwa asili katika seli zote za mwili. Lehemu hutumika kujenga seli, kutengeneza homoni, na husaidia katika kuyeyusha chakula tumboni.  Ini lako linaweza kutengeneza vyote unavyohitaji. Lakini pia lehemu hupatikana katika vyakula vya wanyama kama vile maziwa, mayai, pamoja…

Fahamu Juisi Nzuri Inayosaidia Kutibu Kiungulia

Ili kuondoa na kuzuia kiungulia, basi kunywa mara nyingi nusu bilauli ya juisi ya kuzuia kiungulia kuliko kunywa bilauri kubwa mara moja tu!                                    Zima Moto Huu Wale wanaosumbuliwa na kiungulia hukielezea kama hisia kuwaka moto kwenye shimo la tumbo ambalo wakati fulani hupanda na kuja mpaka kwenye koo. Kwa kitaalamu…

Kwanini Maambukizi Ya UTI Husababisha Figo Na Mirija Kuharibika?

Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo ni pamoja na figo, mirija inayotoa mkojo kwenye figo (ureter) mkojo, kibofu cha mkojo na mrija wa mkojo(urethra). Maambukizi mengi yanahusisha njia ya chini ya mkojo, yaani kwenye kibofu cha mkojo na…