Zijue Dalili Za Uvimbe Maji Kwenye Vifuko Vya Mayai

Uvimbe maji ni mfuko wa majimaji yasio ya kawaida, kama vile malengelenge, ambayo yanaweza kujengeka katika maeneo mbalimbali ya mwili ikiwa ni pamoja kwenye ngozi, sehemu za siri na viungo vya ndani vya uzazi. Uvimbe unaweza kutofautiana kuanzia ukubwa mdogo hadi kuwa mfuko mkubwa wenye lita nyingi za majimaji. Vivimbe…

Mambo 6 Yanayopelekea Mwanamke Kuhisi Maumivu Makali Anaposhiriki Tendo La Ndoa

Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa yanaweza kutokea kwa sababu mbalimbali kutokana na viungo vya mwili au kuwa na hofu Fulani. Watu wengi wamekuwa wakipatwa na maumivu makali wakati Fulani katika maisha yao, pale wanapoanza kujamiiana. Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana kitaalam tunaita “dyspareunia”. Ni maumivu ya muda…

Hizi Ndio Sababu Zinazopelekea Kushindwa Kupata Ujauzito.

Hali ya ugumba inatafsiriwa kama vile mwanamke kutokushika ujauzito angalau mara moja kwa mwaka  japokuwa anafanya tendo la ndoa kila mara lakini bila mafanikio. Visababishi vya ugumba wa mwanamke vinaweza kuwa vigumu sana kuvipima na kuvitambua. Zipo tiba nyingi sana ambazo zinategemeana na chanzo cha ugumba. Wanandoa wengi wenye matatizo…