Uvimbe maji ni mfuko wa majimaji yasio ya kawaida, kama vile malengelenge, ambayo yanaweza kujengeka katika maeneo mbalimbali ya mwili ikiwa ni pamoja kwenye ngozi, sehemu za siri na viungo vya ndani vya uzazi. Uvimbe unaweza kutofautiana kuanzia ukubwa mdogo hadi kuwa mfuko mkubwa wenye lita nyingi za majimaji. Vivimbe…
Fahamu Mambo 7 Yanayosababisha Kuondolewa Kizazi
Kuondolewa kizazi ni utaratibu wa kawaida wa upasuaji ambao wanawake wengi hupitia ili kutibu hali mbalimbali za afya kiafya katika mfumo wa uzazi wa mwanamke ili kuondoa mfuko wa uazi. Kuna tofauti za utaratibu unaojumuisha sehemu mbalimbali za mfumo wa uzazi kulingana na hali hiyo kwa uhalisia. Sababu Za Kuondolewa…
Mambo 6 Yanayopelekea Mwanamke Kuhisi Maumivu Makali Anaposhiriki Tendo La Ndoa
Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa yanaweza kutokea kwa sababu mbalimbali kutokana na viungo vya mwili au kuwa na hofu Fulani. Watu wengi wamekuwa wakipatwa na maumivu makali wakati Fulani katika maisha yao, pale wanapoanza kujamiiana. Kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana kitaalam tunaita “dyspareunia”. Ni maumivu ya muda…
Hizi Ndio Sababu Zinazopelekea Kushindwa Kupata Ujauzito.
Hali ya ugumba inatafsiriwa kama vile mwanamke kutokushika ujauzito angalau mara moja kwa mwaka japokuwa anafanya tendo la ndoa kila mara lakini bila mafanikio. Visababishi vya ugumba wa mwanamke vinaweza kuwa vigumu sana kuvipima na kuvitambua. Zipo tiba nyingi sana ambazo zinategemeana na chanzo cha ugumba. Wanandoa wengi wenye matatizo…
Fahamu Dalili Za Kusagika Kwa Pingili Za Mgongo.
Kwa sababu tu maumivu yanatoka kwenye nyonga haimaanishi kuwa una tatizo linalohusiana na nyonga. Badala yake, maumivu yanaweza kuwa yanatoka nyuma yako, haswa, kutoka kwenye pingili za uti wa mgongo zilizosagika. Endelea kusoma makala hii ili kujifunza ikiwa maelezo haya ya kawaida yanafaa kwa hali yako. Je, Nini Maana…
Fahamu Sababu Zinazopelekea Nyonga Zako Kuuma.
Maumivu ya nyonga huwa ni maumivu sehemu ya tumbo la chini pamoja na nyonga zenyewe. Kwa wanawake, maumivu ya nyonga yaweza kuwa viashiria au dalili za matatizo yaliyoko kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa mkojo au mfumo wa usagaji chakula au mifupa. Kulingana na chanzo chake, maumivu ya nyonga yanaweza…