JE, NINI KINACHOSABABISHA BAADHI YA WANAUME KUCHELEWA KUFIKA KILELENI?

Kuchelewa kufika kileleni huwa ni hali ya kawaida kujitokeza. Hali hii hutokea wakati inapochukua muda mrefu sana mwanaume kufika kileleni au kumwaga shahawa pale anaposhiriki tendo la ndoa.  Kwahivy basi, muda huo mwanaume hushindwa kushusha mzigo kabisa au kufika kileleni hata kidogo, lakini kwa wengine tatizo hili linaweza kuwa endelevu…

Fahamu Jinsi Gani Ugonjwa Wa PID Unavyoweza Kuathiri Kizazi Cha Mwanamke.

PID inaweza kumfanya mwanamke kupata ujauzito kwa shida sana, na mwanamke 1 kati ya wanawake 10, anaweza kuwa mgumba kabisa kutokana na maambukizi hayo. Bakteria ambao huenea hata kufika kwenye mirija ya uzazi wanaweza kupelekea kuwapo  uvimbe ambao husababisha makovu  kujengeka. Na makovu hayo yanaweza kuunda vizuizi kwenye mirija ya…

Je, Maambukizi Sugu Ya Fangasi Ukeni Yanaweza Kuzuia ujauzito?

Ndugu msomaji naomba upitie makala hii kwa makini ili uweze kujifunza madhara yatokanayo na maambukizi ya fangasi ukeni. Maambukizi ya fangasi ukeni ni ya kawaida kabisa japokuwa ni mabaya kama jinsi yasivyohitajika kuwa kwa mtu. Katika wanawake 4, basi wanawake 3 wanaweza kuwa na maambukizi ya fangasi ukeni kwa umri…