JE, WAJUA VISABABISHI NA DALILI ZA UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO(ULCERS)?

 

Ndugu mpendwa leo napenda tuangalie Kwa ufupi tu sababu na dalili za vidonda vya tumbo pamoja na Tiba zake.

VISABABISHI 
1. Msongo wa mawazo
2. Matumizi ya vyakula visivyo vya asili yake hasa vilivyokobolewa Kama vile unga wa sembe, ngano iliyokobolewa, maandazi, chapati, chips, nk.
3. Matumizi ya vivywaji vya viwandani Kama vile soda, juisi, nk.
4. Kukaa muda mrefu bila kupata chakula Kwa muda wake sahihi.

DALILI ZAKE
1. Maumivu ya tumbo baada ya kula chakula ama mara uhisipo njaa.

2. Maumivu makali sehemu ya chembe ya moyo nayo husambaa mpaka mgongoni.
3. Kuhisi Kiungulia mara Kwa mara
4. Kichwa kugonga ama kuhisi vichomi.
5. Maumivu ya kiuno
6. Kutapika ama kuhara damu.

 

 

Tiba Yake

James Herbal Clinic tuna dawa nzuri za asili zenye uwezo wa kuondoa matatizo haya, nazo ni CARD HERB na FRESH HERB.

 

James Herbal Clinic tunapatikana Arusha na nje ya mkoa wa Arusha kwa mawakala zetu.

Kwa mawasilino tupigie kwa namba zifuatazo:

Arusha: 0752389252 au 0712181626

Dar es Salaam-Ubungo River Side: 0762391503 au 0715391503

Dar es Salaam-Kigogo Polisi: 0658221346 au 0683221346

Shinyanga: 0763869874

Ruvuma: 0752416341

Simiyu: 0758306602

Pia unaweza tembelea tovuti yetu: www.jamesherbalclinic.or.tz