Fibroid ni aina ya kawaida ya uvimbe. Takriban 40% hadi 80% ya watu wenye tumbo la uzazi wana uvimbe wa fibroid. Hali hii mara Mara hutokea kwa watu walio na umri kati ya miaka 30 na 50. Mabinti ambao badi hawajavunja ungo, wao hawapatwi na uvimbe wa fibroid. Pia tatizo…
Haya Ndio Mambo 13 Yanayomfanya Mwanamke Hedhi Yake Kujirudia Mara 2 Ndani Ya Mwezi Mmoja.
Kupata hedhi mara mbili kwa mwezi huwa sio hali ya kawaida ya mzunguko wa hedhi kwa mwanamke. Hali hii inaweza kujitokeza kwa kutokwa na matone ya damu baada ya kutoka hedhini, na mara nyingi mwanamke hali hii anaweza kuiona akiwa chooni baada ya kujitawaza au kujipangusa, au anaweza akatokwa na…
Fahamu Mambo Yanayosababisha Bakteria Kwenye Kizazi Chako
Ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) ni maambukizi yanayokuwa kwenye tumbo la uzazi la mwanamke (uterus), vifuko vya mayai (ovaries), au mirija ya uzazi. Je, Nini Visababishi Vyake? PID ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria. Wakati bakteria kutoka ukeni au mlango wa uzazi wanaposafiri na kuingia kwenye tumbo lako la…
Fahamu Aina Za Vivimbe Vya Fibroid, Dalili Na Tiba Zake.
Je, Fibroid Ni Nini? Fibroid ni tishu ndogo ambazo huanza kuota ndani ama nje ya tumba la kifuko cha uzazi la mwanamke. Na ieleweke kuwa, wakati mwingine uvimbe huu hukua na kuwa mkubwa zaidi na kusababisha Maumivu makali ya tumbo la chini na kutokwa na damu muda mrefu kipindi cha…
Haya Ndio Madhara 4 Ya Uvimbe Wa Fibroid Kwenye Tumbo La Uzazi.
Kwa kawaida uvimbe wa fibroid huota ndani au nje ya mfuko wa kizazi chako. Vivimbe hivi huanza kama seli moja, ambayo baadaye hukua na kuzaliana kwa wingi. Hatimaye, uvimbe wa fibroid huongezeka ukubwa, mahali popote ukianza kuwa na ukubwa wa peasi na hata kufikia ukubwa wa tikitiki maji. Pia vivimbe…
Fahamu Madhara Ya Ugonjwa Wa PID
Je, Madhara Ya PID Isipotibiwa Yanakuwaje? Madhara kutokana na maambukizi ya PID ambayo hayajatibiwa yanaweza kuchukua miaka mingi kuendelea. Matokeo ya tatizo hili yanaweza kuwa yenye maumivu makali. Yanaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu katika viungo vya uzazi. NUKUU: Madhara yanaweza kusababisha hali ya ugumba. Mwanamke anapokaa muda mrefu na…
Haya Ndio Mambo 6 Yanayomfanya Mwanamke Kupatwa Na Tatizo La PID
Ugonjwa wa maambukizi katika via vyauzazi (PID) ni maambukizi ya mirija ya mayai (fallopian tubes), vifuko vya mayai (ovaries), mfuko wa kizazi (uterus) pamoja na shingo ya kizazi (cervix). Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusababisha makovu ama tishu kuotea na ikiwa na mkusanyiko wa ute mchafu kama vile usaha kwenye mirija ya mayai, na hivyo kuharibu…
Fahamu Aina Ya Vivimbe Maji Kwenye Vifuko Vya Mayai (Ovarian Cysts), Dalili Zake Na Madhara Yake.
Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama “ovarian cyst”. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo…
Mambo Yanayomfanya Mwanaume Au Mwanamke Kushindwa Kupata Mtoto
Katika suala zima la ugumba kwa mwanaume na mwanamke lazima kuwepo na vigezo vya uchunguzi. Kwa mwanamke mambo ya kuangalia ni historia yake katika matumizi ya madawa ya tiba alipokuwa mdogo au hata kama mama yake aliwahi kutumia aina fulani za madawa wakati wa ujauzito. Wataangalia kama ulivunja ungo kwa…
Zijue Sababu Zinazofanya Uke Kutoa Sauti Wakati Unaposhiriki Tendo La Ndoa
Uke kutoa sauti ni pale hewa inapopita na kuingia ndani ya uke. Hewa inapopita, baadaye hutoka ukeni na inaweza kusababisha sauti sawa na kujaa gesi tumboni na kutoka kwenye njia ya haja kubwa(kujamba). Kwa kawaida ni tukio la kawaida, na huwa ni hali inayojitokeza kwa nadra sana. Hata hivyo inaweza…