Mambo 8 Yanayopelekea Mzunguko Wako Wa Hedhi Kubadirikabadirika!

Ieleweke hivi, ingawa mzunguko wa hedhi wa wastani huwa siku 28, lakini unaweza kuonekana pia siku 24 au kila baada ya siku 34. Baada ya kubalehe, wanawake wengi huwa na mzunguko wa hedhi usiobadirika hata kidogo; lakini baadhi yao hubaki katika mzunguko wenye tabia ya kubadirika badirika. Kutokwa damu ya…

Haya Ndio Madhara Ya Vidonda Vya Tumbo

Mgonjwa wa vidonda vya tumbo katika hatua ya kwanza asipopata tiba, tindikali nyingi iliyozalishwa tumboni hushuka na kuingia kwenye utumbo mdogo na kuharibu mfumo wa mmeng’enyo au usagaji wa chakula kwa kuwa vimeng’enyo vya utumbo mdogo hushindwa kufanya kazi kwenye mazingira ya tindikali. Hali hii husababisha kuharibika kwa uteute wa…

Pre-energy, Neotonic Ni Tiba Kwa Ajili Ya Kiwango Kikubwa Cha Lehemu (High Cholestrol)

Ugonjwa wa moyo na mishipa, ndio sababu kuu ya vifo ulimwenguni pote, unaweza kuletwa na lehemu (cholesterol) nyingi. Kama matokeo, unapaswa kutengeneza kiwango cha lehemu kwa ajili ya afya yako. Neotonic ina mchanganyiko wa viambata vya mbogamboga aina 6 na matunda aina 2, na Pre-energy ina mchanganyiko wa viambata vya…

Je, Nini Suluhisho La Madhara Ya Mlundikano Wa Mafuta Kwenye Mishipa Ya Damu?

Ugonjwa wa moyo na mishipa, ndio sababu kuu ya vifo ulimwenguni pote, unaweza kuletwa na lehemu (cholesterol) nyingi. Kama matokeo, unapaswa kutengeneza kiwango cha lehemu kwa ajili ya afya yako. Neotonic ina mchanganyiko wa viambata vya mbogamboga aina 6 na matunda aina 2, na Pre-energy ina mchanganyiko wa viambata vya…

Mlundikano Wa Mafuta Kwenye Damu (Cholestrol)

Lehemu (cholesterol) ni mafuta yenye kuganda, yenye kuonekana kama nta ambayo hupatikana kwa asili katika seli zote za mwili. Lehemu hutumika kujenga seli, kutengeneza homoni, na husaidia katika kuyeyusha chakula tumboni.  Ini lako linaweza kutengeneza vyote unavyohitaji. Lakini pia lehemu hupatikana katika vyakula vya wanyama kama vile maziwa, mayai, pamoja…

Fahamu Juisi Nzuri Inayosaidia Kutibu Kiungulia

Ili kuondoa na kuzuia kiungulia, basi kunywa mara nyingi nusu bilauli ya juisi ya kuzuia kiungulia kuliko kunywa bilauri kubwa mara moja tu!                                    Zima Moto Huu Wale wanaosumbuliwa na kiungulia hukielezea kama hisia kuwaka moto kwenye shimo la tumbo ambalo wakati fulani hupanda na kuja mpaka kwenye koo. Kwa kitaalamu…

Kwanini Maambukizi Ya UTI Husababisha Figo Na Mirija Kuharibika?

Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wa mkojo. Mfumo wa mkojo ni pamoja na figo, mirija inayotoa mkojo kwenye figo (ureter) mkojo, kibofu cha mkojo na mrija wa mkojo(urethra). Maambukizi mengi yanahusisha njia ya chini ya mkojo, yaani kwenye kibofu cha mkojo na…