ZIJUE SABABU ZINAZOFANYA MTOTO KUFIA TUMBONI(MTOTO ASIYE RIZIKI).

Mtoto asiye ridhiki ni pale mtoto anapofia tumboni kabla mjamzito hajafikisha muda wa kujifungua. Sababu huwa ni nyingi zisizoelezeka katika 1/3 ya matatizo haya. Wakati mwingine hali hii inaweza kusababishwa na matatizo ya kondo au kitovu, shinikizo la juu la damu, maambukizi, au kasoro za kujifungua, au maisha duni aliyokuwa…

JE, UVUMBE WA FIBROID UNAWEZA KUSABABISHA KUTOKUSHIKA UJAUZITO?

Uvimbe wa fibroid unaweza kutokea ndani au ya kizazi au kwenye mlango wa kizazi. Hivi sasa tatizo la uvimbe limekuwa la kawaida sana asilimia 80% kwa wanawake walio katika umri wa kuzaa. NUKUU: Tuliwahi kujifunza tukaona kuwa kuna aina tatu za vivimbe vya fibroid vinavyomtia changamoto mwanamke katika maisha yake,…

ZIJUE SABABU ZINAZOMFANYA MWANAUME KUPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME. JE, NINI MADHARA YAKE?

Upungufu wa nguvu za kiume ni kutokuwa na uwezo wa kudindisha au kusimamisha uume kwa ajili ya kufanya tendo la ndoa. Uume unapokuwa unadindisha vizuri halafu siku zingine unaishiwa nguvu, hilo linaweza lisiwe tatizo sana. Lakini kama upungufu wa nguvu za kiume utakuwa tatizo endelevu, hata hivyo unaweza kusababisha msongo…

FAHAMU KABISA KWAMBA VIVIMBE KWENYE VIFUKO VYA MAYAI VINAWEZA KUSABABISHA UGUMBA KWA MWANAMKE.

Baadhi ya vivimbe kwenye vifuko vya mayai(ovarian cysts) vinaweza kuambatana na kupungua kwa uwezo wa kupata ujauzito.Hata hivyo, hutegemeana na aina ya uvimbe ulionao kwenye kifuko cha yai. Vivimbe Vya Mayai Kwenye Kifuko Cha Yai Vinavyoweza Kuathiri Uwezo Wa Kupata Ujauzito Ni Pamoja Na: Endometriomas   Hivi ni vivimbe vinavyosababishwa…

YAJUE MADHARA YA MAAMBUKIZI YA PID YANAPOKAA MUDA MREFU BILA KUTIBIWA.

Maambukizi katika via vya uzazi(PID) wakati mwingine yanaweza kusababisha matatizo ya muda mrefu, hasa ikiwa kama ugonjwa huo haujatibiwa haraka kwa madawa ya kuua bakteria hao. NUKUU: Lakini wanawake wengi wenye maambukizi katika via vya uzazi au PID wanaokamilisha dozi zao za ugonjwa wa PID huwa hawana matatizo ya muda…

VIJUE VYANZO, DALILI NA MADHARA YA MSHIPA WA NYONGA(SCIATIC NERVE).

Ugonjwa wa mshipa wa nyonga huwa ni maumivu ambayo hupenya na kuingia kwenye mshipa wa nyonga, ambao hugawanyika kutoka kiunoni na kushuka kwenye mapaja na matako kuelekea chini kwenye mguu. Kwa kawaida ugonjwa wa nyonga huathiri sehemu moja tu ya mwili wako. Ugonjwa wa nyonga mara nyingi hutokea pale pingili…