JE, KWANINI DAMU IGANDE NA ITOKE KWA MABONGE WAKATI WA HEDHI?

  Kuganda kwa damu wakati wa hedhi huonekana kama jambo la kawaida kwakuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe yakiambatana kwa…

JE, UNAZIJUA FAIDA ZA PHYTOGUARD?

  Phytoguard ni dawa ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa mimea ya asili zaidi ya 12. Mimea hii inavirutubisho vya vitamini na madini aina mbalimbali. James Herbal Clinic imeandaa aina hii ya tiba kwa ajili ya magonjwa ambayo si ya maambukizi hasa mapungufu ya lishe mwilini.  Phytoguard inatibu magonjwa yafuatayo: ·      …

JE, WAZIJUA FAIDA ZA VITAMAKA?

    Vitamaka ni dawa ya asili yenye mchanganyiko wa vyakula na mimea ya asili aina 8. Ina uwezo mkubwa wa kuondoa magonjwa sugu na kuzuia magonjwa.   Faida zake ni kama ifuatavyo:   Mzunguko Wa Hedhi: Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri…

JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI (ECTOPIC PREGNANCY)

    Katika wajawazito 100, mmoja anaweza kuwa na tatizo la kupata mimba nje ya kizazi. Hali hii humaanisha kwamba, yai lililorutubishwa tayari limeshachomekwa  katika tishu nje ya mfuko wa kizazi(uterus) badala ya ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus). Yai hili huendelea kukua ndani ya kiini tete(embryo) ambapo limeshapachikwa. Mara nyingi…

JE, WAJUA VISABABISHI, DALILI NA MADHARA YA KUTOKWA NA DAMU MUDA MREFU WAKATI WA HEDHI(MENORRHAGIA)?

  Hili ni taitizo ambalo huwakumba wanawake wengi katika nyakati tofautitofauti. Mwanamke hutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi pia inaweza kudumu kwa wiki moja na zaidi. Mwanamke mwenye tatizo hili anapokuwa kwenye kipindi cha hedhi hushindwa kufanya kazi zake za kawaida kwa siku kwasababu hutokwa na damu nyingi na…

JE, WAJUA MIKONO NA MIGUU KUFA GANZI(NUMBNESS) HUSABABISHWA NA NINI?

  Katika mwili wa binadamu kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto, na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy. Matatizo haya kiafya(miguu au miko kufa ganzi, baridi…

JE, WAVIJUA VISABABISHI NA DALILI ZA KUVIMBA KWA MAYAI YA MWANAMKE(OVARITIS)?

  Ndugu msomaji, na ieleweke kuwa, kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto kwake. Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu…

JE, WAJUA CHANZO NA DALILI ZA UGONJWA WA MALARIA?

  Ndugu msomaji, katika makala hii leo napenda tuzungumzie  ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa tishio kubwa na kusababisha vifo vingi ulimwenguni, khususan katika nchi za Kiafrika, vifo ambavyo zaidi huwaandama watoto walio na umri chini ya miaka mitano, licha ya kuwa ni rahisi kutibika.   Vyanzo Vyake   Malaria ni…

JE, WAVIJUA VISABABISHI NA DALILI ZA KUVIMBA KWA MAYAI YA MWANAMKE(OVARITIS)?

    Ndugu msomaji, na ieleweke kuwa, kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto kwake. Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe…