JE, MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA PANGUSA(CHLAMYDIA) KWA WANAUME YANAKUWAJE? JE, NINI DALILI ZAKE?

Ugonjwa wa pangusa(Chlamydia) kwa kawaida huwa ni maambukizi ya zinaa yanayosababishwa na bakteria wadogo sana, ambao kitaalamu huitwa “Chlamydia trachomatis”. Ni ugonjwa ambao pia umepewa jina la utani, “Maambukizi Ya Kimya kimya” kwakuwa unaweza ukaonyesha dalili kwa mbali au usionyeshe kabisa. Karibia asilimia 25%-50% ya wanaume wanaopatwa na maambukizi ya…

JE, MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI AU PID YANAWEZA KUSABABISHA MWANAMKE ASIPATE UJAUZITO?

Maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi(PID) ni madhara yanayokuwa kwenye viungo vya uzazi. Hali hii mara nyingi hujitokeza pale bakteria wa magonjwa ya zinaa wanapoenea  kutoka ukeni mwako mpaka kwenye mfuko wa kizazi, mirija ya uzazi pamoja na vifuko vya mayai(ovaries). Maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi mara…

JE, UNAJUA VYANZO NA DALILI ZA KUTOKWA DAMU KWENYE FIZI ZA MENO(GINGVITIS)?

Fizi kutoa damu ni jambo la kawaida na inaonekana kama ugonjwa husababisha masumbufu, kwakuwa fizi hubadirika na kuwa nyekundu sana, pia kuvimba. Yafaa kuwa makini mara uonapo dalili hizi na kuanza kuzitibu mapema tena kwa haraka bila kuchelewa. Hali ya fizi kutoa damu inaweza kusababisha magonjwa mengine mabaya na kufanya…

JE, WAJUA NINI KINASABABISHA MIRIJA YA UZAZI KUJAA MAJI NA KISHA KUZIBA? JE, NINI DALILI ZAKE NA MADHARA YAKE?

Hali ya kujaa maji kwa mirija ya uzazi ya wanawake huitwa kitaalamu huitwa, “hydrosalpinx”. Ni tatizo ambalo hujitokeza kwa wanawake kutokana na maambukizi ya magonjwa ya zinaa ambayo yamekaa muda mrefu bila kutibiwa, kama vile kisonono, pangusa, malengelenge, nk, ambayo kwa ujumla tunaweza kuita maambukizi katika via vya uzazi yaani…

JE, UNAJUA NINI KINACHOSABABISHA SEHEMU YA UKE KUWA NA UVIMBE? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?

  Na ieleweke kwamba, tezi za Bartholin huwa ziko kila upande katika sehemu ya uwazi wa uke. Tezi hizi huwa zina kazi ya kutengeneza uteute ambao husaidia kulainisha uke. Wakati mwingine sehemu za uwazi zinazokuwa kwenye tezi hizi huziba, na kusababisha uteute au majimaji kukusanyikana kwenye tezi. Matokeo yake utaona…

JE, UNAJUA NINI KINACHOSABABISHA SEHEMU YA UKE KUWA NA UVIMBE? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?

JE, UNAJUA NINI KINACHOSABABISHA SEHEMU YA UKE KUWA NA UVIMBE? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?   Na ieleweke kwamba, tezi za Bartholin huwa ziko kila upande katika sehemu ya uwazi wa uke. Tezi hizi huwa zina kazi ya kutengeneza uteute ambao husaidia kulainisha uke. Wakati mwingine sehemu za uwazi…

JE, UNAKIJUA CHANZO NA DALILI ZA KUVIMBA KWA MLANGO WA KIZAZI? JE, NINI MADHARA YAKE?

  Na ieleweke kuwa mlango wa kizazi ni sehemu ya chini ya mfuko wa kizazi(uterus). Na huu ndio mlango ambapo damu ya hedhi hupitia kutoka kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Wakati wa kujifungua mtoto, mlango wa kizazi hutanuka ili kuruhusu mtoto apite. Lakini kama ilivyo tishu yoyote ndani ya mwili, hivyo,…