JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI (ECTOPIC PREGNANCY)

    Katika wajawazito 100, mmoja anaweza kuwa na tatizo la kupata mimba nje ya kizazi. Hali hii humaanisha kwamba, yai lililorutubishwa tayari limeshachomekwa  katika tishu nje ya mfuko wa kizazi(uterus) badala ya ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus). Yai hili huendelea kukua ndani ya kiini tete(embryo) ambapo limeshapachikwa. Mara nyingi…

JE, WAJUA VISABABISHI, DALILI NA MADHARA YA KUTOKWA NA DAMU MUDA MREFU WAKATI WA HEDHI(MENORRHAGIA)?

  Hili ni taitizo ambalo huwakumba wanawake wengi katika nyakati tofautitofauti. Mwanamke hutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi pia inaweza kudumu kwa wiki moja na zaidi. Mwanamke mwenye tatizo hili anapokuwa kwenye kipindi cha hedhi hushindwa kufanya kazi zake za kawaida kwa siku kwasababu hutokwa na damu nyingi na…

JE, WAJUA MIKONO NA MIGUU KUFA GANZI(NUMBNESS) HUSABABISHWA NA NINI?

  Katika mwili wa binadamu kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto, na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy. Matatizo haya kiafya(miguu au miko kufa ganzi, baridi…

JE, WAVIJUA VISABABISHI NA DALILI ZA KUVIMBA KWA MAYAI YA MWANAMKE(OVARITIS)?

  Ndugu msomaji, na ieleweke kuwa, kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto kwake. Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu…

JE, WAVIJUA VISABABISHI NA DALILI ZA KUVIMBA KWA MAYAI YA MWANAMKE(OVARITIS)?

    Ndugu msomaji, na ieleweke kuwa, kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto kwake. Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe…

JE WAJUA CHANZO CHA TATIZO LA KUATHIRIKA KWA TEZI TUME, DALILI ZAKE NA TIBA ZAKE?

  Hii huwa ni ile hali ya tezi dume kuathirika kutokana na vyanzo mbalimbali kwa mfano;  bakteria, nk.  Kuathirika kwa tezi dume kunaweza kusababisha hata utendaji kazi wake kupungua, na inapatikana chini ya kibofu cha mkojo na kazi yake kubwa ni kuzarisha manii kwaajili ya kurutubishana kusafirisha mbeguza kiume kutoka…