Muhtasari wa mirija ya uzazi iliyoharibika au iliyoziba: Mirija ya uzazi iliyoharibika au kuziba ni sababu ya kawaida ya ugumba wa mwanamke, kwa sababu ndani ya mirija ya uzazi ni mahali ambapo manii hurutubisha yai la mwanamke. Kuziba kwa mirija au uharibifu unaweza kusababishwa na ugonjwa wa maambukizi katika…
Fahamu Mambo Yanayosababisha Mkusanyiko Wa Majmajii Mwilini
Hali ya mkusanyiko wa majimaji mwilini kitaalamu tunaita “Edema.” Majimaji haya hukusanyikana kwa wingi kwenye tishu za misuli ya mwili. Mkusanyiko wa majimaji(Edema) unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa hali hii kuonekana kwenye miguu. Madawa na mimba vinaweza kusababisha majimaji kukusanyikana mwilini (edema). Hali hii inaweza pia kuwa…
Kwanini Mirija Ya Uzazi Huvimba?
Kitaalamu kuvimba kwa mirija ya uzazi tunaita “Salpingitis”. Hii huwa ni hali ya maambukizi ya bakteria kwenye mirija yako ya uzazi. Magonjwa ya zinaa kama vile kisonono na pangusa (chlamydia) husababisha matukio mengi. Dawa za asili zenye Antibiotic zinaondoa kabisa tatizo hili. Hali ya kuvimba kwa mirija ya uzazi inaambatana…
Mirija Ya Uzazi: Je, Mwanamke Anaweza Kupata Mimba Huku Akiwa Na Mrija Mmoja Tu?
Swali: Una mrija mmoja tu wa uzazi. Je, inawezekana kupata mimba? Jibu ni ndiyo. Mirija ya uzazi iko miwili ambayo mayai hupitia ili kutoka kwenye kifuko cha mayai (ovary) hadi kwenye mji wa mimba. Kila mwezi wakati wa mzunguko wa hedhi, kifuko kimoja cha mayai(ovary) hutoa yai. Huu ni mchakato…
Faida 4 Za James Tea Masala Katika Mfumo Wa Uzazi Wa Mwanaume!
James Tea Masala ina virutubishi vingi ambavyo vinaweza kunufaisha afya ya mfumo wa uzazi wa wanaume kwa namna mbalimbali, kama vile kuboresha mfumo wa damu na kuongeza nguvu za kiume pamoja na hamu ya tedno la ndoa. Leo nitakuonyesha Faida Chache tu za James Tea Masala ambazo zinaweza kuboresha mfumo…
Zijue Faida Za Kukojoa Baada Ya Kumaliza Kushiriki Tendo La Ndoa.
Wakati mwanamke anaposhiriki tendo la ndoa, bakteria wanaweza kupita kutoka kwenye sehemu za siri na kuingia kwenye mrija wa mkojo. Mrija wa mkojo ni mrija unaounganisha kibofu na uwazi ambapo mkojo hupitia na kutoka nje. Bakteria wanaweza kuingia kwenye kibofu cha mkojo kutoka kwenye mrija wa mkojo, na kusababisha UTI. Kukojoa…