Manii kukosa mbegu pale anapozitoa kitaalam tunaita, “azoospermia.” Vyanzo vyake ni pamoja na kuziba kwenye njia za uzazi, matatizo ya homoni, matatizo ya kufika kileleni, au matatizo kwenye korodani au utendaji kazi wake. Visababishi vingi vinatibika na uwezo wa mwanaume kumpa mimba mwanamke unaweza ukarejea. Kwa visababishi vingine inawezekana kurejesha…
YAJUE MADHARA 7 YA KUTISHA YA UGONJWA WA PID.
Madhara ya PID ambayo hayajatibiwa yanaweza kuchukua miaka mingi kuja kutokea. Matatizo yanayotokea yanaweza kuwa yenye maumivu. Madhara haya yanaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye viungo vya uzazi. Yanaweza kusababisha matatizo ya kutokushika mimba (utasa). Kadiri PID inavyoachwa bila kutibiwa kwa muda mrefu, ndivyo uwezekano wa matatizo haya hutokea.…
SABABU 12 ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZA MWANAMKE (HORMONAL IMBALANCE)
Hali ya kutokuwa na uwiano sawa(hormonal imbalance) kwa wanawake hutokea pale vichocheo au homoni zinapopanda sana au kushuka sana na kufikia viwango vya chini kwenye mkondo wa damu. Vichocheo au homoni huwa ni kemikali zinazozarishwa na tezi katika mfumo wa endocrine zinazoambia seli, tishu, pamoja na viungo, kitu gani cha…
JE, PID INAWEZA KUFANYA MGONGO WAKO KUUMA?
Kuna magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha maumivu kwenye nyonga kwa wanawake. Endometriosis ni mfano mojawapo, na PID ndio unafuata. Lakini kama dalili zako zitakuwa ni maumivu ambayo husambaa kuelekea juu, basi lazima utakuwa unajiuliza je, PID inaweza kufanya mgongo wako uwe na maumivu? Hebu ngoja tuangalie Makala hii. Je, Maumivu…
MADHARA 3 YA KUVIMBA KWA KORODANI(ORCHITIS)
Nini Maana Ya Kuvimba Kwa Korodani(Orchitis)? Orchitis ni kutuna au kuvimba kwa korodani moja au zote mbili. Korodani ni iungo vya mfumo wa uzazi wa mwanaume. Viungo hivi huzarisha mbegu na homoni za testosterone. Wanaume wote wana korodani mbili ambazo hukaa ndani ya kifuko kinachoitwa pumbu. Je, Epididymo-orhitis Ni Nini?…
MAMBO MAKUU 8 YANAYOSABABISHA SHINGO YA KIZAZI KUVIMBA
Je, Kuvimba Kwa Shingo Ya Kizazi Maana Yake Ni Nini? Kuvimba kwa shingo ya kizazi ni kutuna kwa mlango wa kizazi(cervicitis). Hali hii inapojitokeza huambatana na kutokwa na uchafu mwingi ukeni, kutokwa na damu damu au kuhisi maumivu makali wakati unaposhiriki tendo la ndao, ingawa baadhi ya wanawake wanaweza wasihisi…