Hali ya kuwahi kufika kileleni hujitokeza pale mwanaume anapowahi kutoa shahawa mapema zaidi kabla mwenzi wake hajawa tayari wakati wanapofanya tendo la ndoa. Hili pia limekuwa ni chanzo cha matatizo katika ndoa. Tukiangalia tunaona katika wanaume 3, mmoja anaweza kuwa na tatizo hili. Kadiri tatizo hili linavyozidi kuonekana mara kwa…
Fahamu Mambo 4 Yanayosababisha Mishipa Ya Damu Kuziba
Mishipa ya ateri iliyoziba ni mshipa wa damu ambao umezibwa kidogo tu au moja kwa moja kabisa na mlundikano wa damu iliyoganda au mafuta, hali ambayo inaweza kuzuia kabisa mtiririko wa damu kwenye viungo muhimu na tishu. Mishipa ina jukumu la kubeba damu iliyojaa oksijeni kutoka kwenye moyo hadi kwenye…
Fahamu Mambo 5 Yanayosababisha Damu Ya Hedhi Kuwa Na Mabongemabonge
Kuganda kwa damu na kuwa mabonge wakati wa hedhi huonekana kama jambo la kawaida kwakuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe…
Fahamu Mambo 6 Yanayosababisha Miguu Na Mikono Kufa Ganzi.
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy. Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa…
Fahamu Dalili 9 Za Ugonjwa Wa Gauti (Athritis)
Ugonjwa wa gauti ni aina ya uvimbe unaofanana kama ugonjwa wa baridi yabisi, ambao mara nyingi huwapata watu wanaopenda kula vyakula vya nyama mara kwa mara hasa ya mbuzi, swala au nyama choma, au vyakula vyenye vikolezo vingi, na vinywaji kama vile pombe. Na mara nyingi watu wenye tatizo hili…
Uchafu Mweupe Unaotoka Ukeni; Je, Ni Muda Gani Hubadirika Na Kuwa Sio Wa Kawaida (Mbaya)?
Ndugu mpendwa, je umewahi kutokwa na uchafu mweupe ukeni muda mrefu na ukaweza kuhisi kuwa unaweza kubadirika na kuwa sio wa kawaida? Basi katika makala hii utaweza kujifunza na kuelewa kutokwa na uchafu mweupe ukeni kunamaanisha nini, na je nini kisababishi chake na ni kipindi gani uchafu huu unakuwa sio…