Mambo 9 Yanayomfanya Mwanaume Kushindwa Kufika Kileleni.

Hali ya kuwahi kufika kileleni hujitokeza pale mwanaume anapowahi kutoa shahawa mapema zaidi kabla mwenzi wake hajawa tayari wakati wanapofanya tendo la ndoa. Hili pia limekuwa ni chanzo cha matatizo katika ndoa. Tukiangalia tunaona katika wanaume 3, mmoja anaweza kuwa na tatizo hili. Kadiri tatizo hili linavyozidi kuonekana mara kwa…

Fahamu Mambo 5 Yanayosababisha Damu Ya Hedhi Kuwa Na Mabongemabonge

Kuganda kwa damu na kuwa mabonge wakati wa hedhi huonekana kama jambo la kawaida kwakuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe…

Uchafu Mweupe Unaotoka Ukeni; Je, Ni Muda Gani Hubadirika Na Kuwa Sio Wa Kawaida (Mbaya)?

Ndugu mpendwa, je umewahi kutokwa na uchafu mweupe ukeni muda mrefu na ukaweza kuhisi kuwa unaweza kubadirika na kuwa sio wa kawaida? Basi katika makala hii utaweza kujifunza na kuelewa kutokwa na uchafu mweupe ukeni kunamaanisha nini, na je nini kisababishi chake na ni kipindi gani uchafu huu unakuwa sio…