JE, UNAWEZA KUPATA UJAUZITO HUKU UKIWA NA MAMBUKIZI YA PID?

Kupata mimba huku ukiwa na maambukizi ya PID inaweza kuwa ni changamoto. Hata hivyo, wanawake wenye maambukizi ya PID hapaswi kupoteza tumaini. Kupitia matibabu ya tiba za asili, mwanamke mwenye maambukizi ya PID anaweza kupona ugonjwa na akapata ujauzito. NUKUU: Mwanamke 1 kati ya wanawake 8 huhangaika sana kupata ujauzito.…