Fahamu Tofauti Kati Ya Uchafu Wa Kawaida Na Usio Wa Kawaida Unaotoka Ukeni

Baadhi ya uchafu utokao ukeni huwa ni ishara ya kuonyesha afya ya uke wako. Je, unafahamu tofauti iliyopo kati ya uchafu wa kawaida na usio wa kawaida utokao ukeni?  Kutokwa na uchafu ukeni ni sehemu ya asili ya kuwa mwanamke, lakini wakati mwingine mabadiriko ndani yake yanaweza kuonyesha tatizo fulani.…

Unataka Kupata Mimba, Basi Tambua Kusoma Kalenda Ya Mzunguko Wako Wa Hedhi.

Wanawake wengi  wamekuwa wakiniuliza maswali mengi sana kuhusiana na jinsi ya mwanamke kupata mimba au kuzuia kutopata mimba. Naamini maelezo yafuatayo ukisoma kwa makini unaweza kupata ufahamu na kujibiwa maswali yako yote ambayo yamekuwa yanakutatiza. NUKUU: Pia ni vizuri kuzingatia na kutochanganya Kalenda ya mzunguko wa hedhi tunayoongelea hapa na ile…

Mambo 9 Yanayomfanya Mwanaume Kushindwa Kufika Kileleni.

Hali ya kuwahi kufika kileleni hujitokeza pale mwanaume anapowahi kutoa shahawa mapema zaidi kabla mwenzi wake hajawa tayari wakati wanapofanya tendo la ndoa. Hili pia limekuwa ni chanzo cha matatizo katika ndoa. Tukiangalia tunaona katika wanaume 3, mmoja anaweza kuwa na tatizo hili. Kadiri tatizo hili linavyozidi kuonekana mara kwa…

Fahamu Mambo 5 Yanayosababisha Damu Ya Hedhi Kuwa Na Mabongemabonge

Kuganda kwa damu na kuwa mabonge wakati wa hedhi huonekana kama jambo la kawaida kwakuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe…