Fahamu Dalili Za Ugonjwa Wa Kisonono Kwa Mwanaume Na Mwanamke

Je, Kisonono Ni Nini? Huu ni ugonjwa mbaya wa maambukizi ya bakteria, nao huambukizwa kwa njia ya kujamiiana kupitia shahawa au majimaji ya kwenye uke ikiwa kama mmoja kati ya wapenzi wawili ana maambukizi na mwenzi wake hajatumia kinga, yaani mume na mke hawajatumia kinga. Je, Dalili Zake Zinakuwaje? Nusu…

Fahamu Madhara 6 Ya Ugonjwa Wa Pangusa (Chlamydia) Kwa Mwanamke.

Pangusa  ni ugonjwa  wa zinaa wa kawaida  kabisa, nayo huwa ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria aina ya pathogen ambao wanaweza kuharibu mlango wa kizazi ama shingo ya kizazi (cervix) ya mwanamke, mrija wa mkojo pamoja na njia ya haja kubwa pande zote mbili, kwa wanawake na wanaume pia. Kwa kawaida sehemu…

Madhara 3 Mabaya Ya Ugonjwa Wa Pangusa (Chlamydia) Kwa Mwanaume.

Ugonjwa wa pangusa (Chlamydia) kwa kawaida huwa ni maambukizi ya zinaa unaosababishwa na bakteria wadogo sana, ambao kitaalamu huitwa Chlamydia trachomatis. Ni ugonjwa ambao pia umepewa jina la utani, “Maambukizi Ya Kimya kimya” kwakuwa unaweza ukaonyesha dalili kwa mbali au usionyeshe kabisa. Karibia asilimia 25%-50% ya wanaume wanaopatwa na maambukizi…

Jinsi Ya Kuandaa Ugali Mzuri Wenye Virutubisho.

Ugali ni chakula kinacholiwa na jamii za kiafrika. Chakula hiki chenye virutubisho vya wanga hutokana na unga wa nafaka (kama mahindi, mtama, uwele) au muhogo. Unaweza kuandaa ugali wako mzuri utakaokufanya uishi kwa muda mrefu bila kupatwa na magonjwa mara kwa mara kwa kutumia nafaka hizi: Mtama mweupe kilo 2 Uwele kilo 1 Ngano au muhogo kilo 1 Changanya…