Jinsi Ya Kukabiliana Na Tatizo La Manii (Mbegu Za Mwanaume) Kukosa Ubora Wake.

Baadhi ya watu wanaweza kujiuliza je, ladha ya manii au shahawa huwa ikoje, au harufu yake inakuwaje. Wakati unapoweza kubadirisha sifa hizi, basi mabadiriko yanaweza pia kuwa ishara ya matatizo. Ladha, harufu, rangi na muonekano wa manii unaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Manii zinaweza pia kubadirika…

Epuka, Maambukizi Ya UTI Kwani Yanaweza Kukufanya Ukose Ujauzito Kabisa.

Ikiwa Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) yataathiri sehemu ya juu ya mwili wako (figo, mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi), yanaweza kuathiri uwezo wako wa kushika mimba. Ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection) ni suala la kawaida kwa wanawake ambalo husababishwa na kukua kwa bakteria ambao kwa ujumla wanaitwa…

Sababu 4 Zinazofanya Uvimbe Kuota Kwenye Shingo Ya Kizazi

Uvimbe mdogo hutokeza kwenye shingo ya kizazi, ambao kitaalamu huitwa, “Cervical Polyp”. Uvimbe huu unaweza kusababisha kutokwa na damu ukeni. Daktari anaweza kupima na kugundua uvimbe huo. Kwa kawaida uvimbe huchunguzwa na kukatwa ili kufanyiwa vipimo. Katika namna nyingine, uvimbe unaoota na kuchomoza kwenye shingo ya kizazi huendelea kukua na hivyo…

Fahamu Mambo 7 Yanayoweza Kuathiri Mbegu Za Mwanaume.

Watu wengi wamekuwa na dhana kwamba mshindo wa kwanza baada ya kufika kileleni ndio hulifikia yai haraka, tena huwa ni bora zaidi kwa ajili ya kutengeneza mtoto. Hata hivyo hatujui kwamba kiwango kizuri cha mbegu na mwendo wake, haimaanishi ubora mzuri wa mbegu za mwanaume. Mchakato wa kukomaa kwa manii(Spermatogenesis)…