Jinsi Ya Kuandaa Ugali Mzuri Wenye Virutubisho.

Ugali ni chakula kinacholiwa na jamii za kiafrika. Chakula hiki chenye virutubisho vya wanga hutokana na unga wa nafaka (kama mahindi, mtama, uwele) au muhogo. Unaweza kuandaa ugali wako mzuri utakaokufanya uishi kwa muda mrefu bila kupatwa na magonjwa mara kwa mara kwa kutumia nafaka hizi: Mtama mweupe kilo 2 Uwele kilo 1 Ngano au muhogo kilo 1 Changanya…

Jinsi Ya Kukabiliana Na Tatizo La Manii (Mbegu Za Mwanaume) Kukosa Ubora Wake.

Baadhi ya watu wanaweza kujiuliza je, ladha ya manii au shahawa huwa ikoje, au harufu yake inakuwaje. Wakati unapoweza kubadirisha sifa hizi, basi mabadiriko yanaweza pia kuwa ishara ya matatizo. Ladha, harufu, rangi na muonekano wa manii unaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Manii zinaweza pia kubadirika…

Epuka, Maambukizi Ya UTI Kwani Yanaweza Kukufanya Ukose Ujauzito Kabisa.

Ikiwa Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) yataathiri sehemu ya juu ya mwili wako (figo, mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi), yanaweza kuathiri uwezo wako wa kushika mimba. Ugonjwa wa UTI (Urinary Tract Infection) ni suala la kawaida kwa wanawake ambalo husababishwa na kukua kwa bakteria ambao kwa ujumla wanaitwa…