Chembe ya moyo ni ya kifuani au usumbufu unaotokea wakati moyo wako unaposhindwa kupokea damu yenye oksijeni ya kutosha. Matokeo yake, moyo wako unaweza kupiga mapigo kwa kasi (yaani mapigo ya moyo kwenda mbio) na vigumu kupata damu zaidi, na hivyo kusababisha maumivu yanayoonekana. Chembe ya moyo sio ugonjwa, bali…
Mambo 4 Unayoweza Kuyakosea Katika Kutambua Maambukizi Ya Fangasi Ukeni.
Maambukiz haya yenye kuchukiza hutokea kwasababu ya kukua kwa bakteria aina ya Candida albicans, na ni wa kawaida kabisa, kwani huathiri wanawake 3 katika wanawake 4 katika maisha yao. Japokuwa maambukizi ya fangasi yanazidi kuongezeka kwa kasi, basi unapoona dalili kama vile muwasho mkubwa, ukiambatana na uchafu mwingi mweupe pamoja…
Angalia, Mwezi Mmoja Kabla Ya Kiharusi, Mwili Wako Utakutumia Ishara Hizi za Tahadhari!
Katika nafasi ya kwanza unaweza kutaka kujua kiharusi kinatokana na nini. Ni “shambulio la ubongo” ambalo hutokea wakati mtiririko wa damu kwenye sehemu ya ubongo inpoingiliwa. Katika makala hii tutazungumzia kuhusu viharusi, ishara za kawaida za tahadhari na jinsi ya kujikinga. Kwanza, unapaswa kujua kwamba kuna aina 2 kuu za viharusi: ischemic na hemorrhagic.…
Fahamu Mambo 4 Yanayokufanya Ukose Choo.
Je, kukosa choo ni nini? Kukosa choo maana yake ni kutokuwa na uwezo wa kwenda haja kubwa kutokana na kinyesi kukusanyikana sehemu moja tumboni na kuwa kigumu na kushindwa kutoka. Kwa kawaida kinyesi tumboni kinapaswa kutoka kila siku kila baada ya kupata mlo, iwe ni mlo wa asubuhi, mchana au…
Mambo 7 Yanayosababisha Bawasiri
Bawasiri ni uvimbe unaokuwa na mishipa iliyotuna ambayo hupatikana ndani au maeneo ya chini (njia ya haja kubwa). Kwa namna nyingine, bawasiri huwa haionyeshi dalili, na watu wengine hata hawatambui kuwa wanalo tatizo hilo. Walakini, dalili zinapotokea, zinaweza kuwa kama hivi: Kutokwa na damu kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia Kuhisi…
Haya Ndio Madhara Ya Uvimbe Wa Fibroid Unaposhindwa Kutibiwa Mapema
Fibroid ni aina ya kawaida ya uvimbe. Takriban 40% hadi 80% ya watu wenye tumbo la uzazi wana uvimbe wa fibroid. Hali hii mara Mara hutokea kwa watu walio na umri kati ya miaka 30 na 50. Mabinti ambao badi hawajavunja ungo, wao hawapatwi na uvimbe wa fibroid. Pia tatizo…