Je, Upendo Ni Nini? Upendo wa kweli sio hisia; ni uamuzi wa kujitoa na kukidhi mahitaji ya mtu na usitarajie chochote. Upendo wa kweli hauna sababu, matarajio, au masharti. Huu ndio upendo wa dhati. Ni chaguo la mtu kubaki kuwa umejitoa kabisa kwake bila kujali anachofanya au kutofanya. Na wengi…
Haya Ndio Madhara Ya Kutoa Mimba
Wanawake wengi wanaonyesha kuwa wasiri sana pale wanapokuwa wakifanya tabia ya utoaji mimba. Lakini hali zao baadaye hudhihirisha tu kile walichokuwa wakikifanya hapo awali. Wengi wao hufika hospitalini huku hali zao zikiwa tete kabisa pamoja na kwamba wanaweza kujitahidi kuficha historia ya mambo yao waliyokuwa wakiyafanya hapo awali. Lakini wapo…
Fahamu Mambo Yanayopelekea Mlango Wa Kizazi Kuvimba
Na ieleweke kuwa mlango wa kizazi ni sehemu ya chini ya mfuko wa kizazi(uterus). Na huu ndio mlango ambapo damu ya hedhi hupitia kutoka kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Wakati wa kujifungua mtoto, mlango wa kizazi hutanuka ili kuruhusu mtoto apite. Lakini kama ilivyo tishu yoyote ndani ya mwili, hivyo, mlango…
Fahamu Dalili 6 Za Kuvimba Kwa Titi. Je, Nini Madhara Yake?
Na ieleweke kuwa, kuvimba kwa titi huwa ni kuathirika kwa tishu yake ambayo hupelekea titi kuuma, kuvimba, kuwa lenye unyevunyevu na hatimaye kuwa lenye rangi nyekundu. Hali hii pia inaweza kukusabbisha ukapatwa na homa au baridi kali. Kuvimba kwa titi mara nyingi huwaathiri wanawake wanaonyonyesha, ingawa wakati mwingine hali hii…
MATATIZO YA TEZI YA PARATHYROID
Matatizo makubwa ni pale tezi ya parathyroid inapozarisha kiwango kikubwa cha homoni au vichocheo vya parathyroid kwenye damu(hyperparathyroidism) au pale tezi za parathyroid zilizoko shingoni zinaposhindwa kuzarisha homoni au vichocheo vya kutosha vya parathyroid (hypoparathyroidism). Kiwango Kikubwa Cha Homoni Ya Parathyroid (Hyperparathyroidism) Katika matatizo haya, uzarishaji mkubwa kupita kiasi wa…
Haya Ndio Madhara Ya Maambukizi Ya PID
Ugonjwa wa maambukizi katika via vya uzazi(PID) ni maambukizi ya mirija ya mayai(fallopian tubes), vifuko vya mayai(ovaries), mfuko wa kizazi(uterus) pamoja na shingo ya kizazi(cervix). Ugonjwa huu usipotibiwa unaweza kusababisha makovu ama tishu kuoteana ikiwa na mkusanyiko wa ute mchafu kama vile usaha kwenye mirija ya mayai, na hivyo kuharibu…