Magonjwa Matatu Yanayomfanya Mwanamke Kutokwa Na Damu Nying Ya Hedhi Kwa Mfululizo.

Kutokwa na damu ya hedhi kwa mfululizo au kujirudia rudia ndani ya mwezi mmoja, kitaalamu hujulikana, “intermenstrual bleeding, metrorrhagia au spotting. Kwa kawaida ugonjwa huu huwa ni wa kawaida na unaweza usiwe wa hatari mno katika afya ya mwanamke. Wanawake wengi hutokwa na damu ya hedhi kwa kujirudiarudia katika miezi…

Je, Ni Kweli Ugonjwa Wa PID Unaweza Kusababisha Mlango Au Shingo Ya Kizazi Kuvimba?

Kuvimba kwa shingo ya kizazi kitaalamu tunaita, “cervicitis”, ambao ni sehemu ya chini, tena nyembamba inayokuwa mwishoni kabisa ndani ya maeneo ya uke wako. Dalili utakazoziona za kuvimba kwa shingo ya kizazi ni Pamoja na kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja, maumivu makali wakati unapofanya tendo la ndoa…

JE, NINI HUSABABISHA TEZI DUME KUVIMBA? NINI MADHARA YAKE?

Tezi dume ni tezi ndogo ambayo husaidia kutengeneza manii, nayo ipo chini kibofu cha mkojo. Mara nyingi tezi hii hupanuka na kubwa kadiri unavyozidi kuwa mzee. Tezi dume iliyovimba inaweza kusababisha dalili ambazo zinaweza kukusumbua, kama vile kuziba kwa njia ya mkojo kwenye kibofu cha mkojo. Inaweza pia kusababisha matatizo…

Haya Ndio Mambo 5 Yanayosababisha Mirija Ya Uzazi Kuvimba.

Mrija ya uzazi inaweza kupatwa na magonjwa mbalimbali na hivyo kupelekea kuvimba au kuziba. Leo nitapenda kuzungumzia juu ya kuvimba kwa mrija au mirija ya uzazi. Kuvimba kwa mrija wa uzazi kitaalamu tunaita “salpingitis”. Karibia matatizo yote katika mfumo wa uzazi husababishwa na maambukizi ya bakteria, hususani magonjwa ya zinaa…

Fahamu Mambo Haya Yanayomfanya Mwanamke Kutokwa Na Damu Ukeni Baada Ya Kumaliza Kushiriki Tendo La Ndoa.

Umeshamaliza kufanya tendo la ndoa na mpenzi wako, unapomaliza, ukitazama chini utaona damu kwenye shuka. Huna hedhi na wala hutakiwi kutokwa na damu muda wowote, je nini kinachokufanya kutokwa na damu muda huo? Wakati mwingine hali ya kutokwa na damu ukeni baada ya kujamiiana inaweza kuwa ya kutisha, lakini pia…