Fahamu Madhara 3 Ya Kuvimba Kwa Korodani (Orchitis)

Nini Maana Ya Kuvimba Kwa Korodani (Orchitis)? Orchitis ni kutuna au kuvimba kwa korodani moja au zote mbili. Korodani ni iungo vya mfumo wa uzazi wa mwanaume. Viungo hivi huzarisha mbegu na homoni za testosterone. Wanaume wote wana korodani mbili ambazo hukaa ndani ya kifuko kinachoitwa pumbu. Je, Epididymo-orhitis Ni…

Madhara 5 Ya Kutoshika Mimba (Ugumba) Unayopaswa Kuyafahamu

Ugumba au inamaanisha mwanamke kutokuwa na uwezo wa kushika ujauzito licha ya kufanya tendo la ndoa bila kutumia kinga kwa Zaidi ya mwaka mmoja. Ugumba unaweza kusababishwa na mambo mengi mbalimbali. Kutegemeana na mambo yanayosababisha ugumba, bado kuna uwezekano wa kutibu ugumba kwa njia mbalimbali hususani tiba za asili. Matibabu…

Mambo 4 Ya Kutisha Yanayosababisha Mbegu Za Mwanaume Kuwa Chache.

Unaweza usijue kwamba una tatizo la mbegu kuwa chache (Oligospermia), umejaribu kumtungisha mwanamke mimba ili upate mtoto lakini hujafanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini nipende kukupa maumaini kwamba yapo matibabu ya asili yanayoweza kuondoa tatizo hili tena kwa urahisi kabisa. Mbali…

Fahamu Madhara Ya Uvimbe Wa Fibroid Wakati Wa Ujauzito

Idadi ndogo ya wanawake wajawazito wana uvimbe wa fibroid. Kama ni mjamzito na una vivimbe vya fibroid, haviwezi kusababisha matatizo kwako au kwa mtoto ikiwa kama utapata huduma. Wakati wa ujauzito, uvimbe wa fibroid unaweza unaweza kuongezeka ukubwa. Ukuaji huu mara nyingi hutokana na mtiririko wad amu kwenye mfuko wa…