Nini Maana Ya Kuvimba Kwa Korodani (Orchitis)? Orchitis ni kutuna au kuvimba kwa korodani moja au zote mbili. Korodani ni iungo vya mfumo wa uzazi wa mwanaume. Viungo hivi huzarisha mbegu na homoni za testosterone. Wanaume wote wana korodani mbili ambazo hukaa ndani ya kifuko kinachoitwa pumbu. Je, Epididymo-orhitis Ni…
Mambo 8 Yanayosababisha Mlango Wa Kizazi Kuvimba.
Je, Kuvimba Kwa Shingo Ya Kizazi Maana Yake Ni Nini? Kuvimba kwa shingo ya kizazi ni kutuna kwa mlango wa kizazi(cervicitis). Hali hii inapojitokeza huambatana na kutokwa na uchafu mwingi ukeni, kutokwa na damu damu au kuhisi maumivu makali wakati unaposhiriki tendo la ndao, ingawa baadhi ya wanawake wanaweza wasihisi…
Madhara 5 Ya Kutoshika Mimba (Ugumba) Unayopaswa Kuyafahamu
Ugumba au inamaanisha mwanamke kutokuwa na uwezo wa kushika ujauzito licha ya kufanya tendo la ndoa bila kutumia kinga kwa Zaidi ya mwaka mmoja. Ugumba unaweza kusababishwa na mambo mengi mbalimbali. Kutegemeana na mambo yanayosababisha ugumba, bado kuna uwezekano wa kutibu ugumba kwa njia mbalimbali hususani tiba za asili. Matibabu…
Dalili 10 Za Ugonjwa Wa Homa Ya Ini Aina Ya “Hepatitis A”
Homa ya ini ugonjwa wa ini unaoambukiza sana unaosababishwa na virusi vya hepatitis A. Virusi hivyo ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya homa ya ini vinavyosababisha ini kuvimba na kuathiri uwezo wa ini kufanya kazi. Leo nitaanza na aina ya Hepatitis A Una uwezekano mkubwa wa kupata hepatitis…
Mambo 4 Ya Kutisha Yanayosababisha Mbegu Za Mwanaume Kuwa Chache.
Unaweza usijue kwamba una tatizo la mbegu kuwa chache (Oligospermia), umejaribu kumtungisha mwanamke mimba ili upate mtoto lakini hujafanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini nipende kukupa maumaini kwamba yapo matibabu ya asili yanayoweza kuondoa tatizo hili tena kwa urahisi kabisa. Mbali…
Fahamu Madhara Ya Uvimbe Wa Fibroid Wakati Wa Ujauzito
Idadi ndogo ya wanawake wajawazito wana uvimbe wa fibroid. Kama ni mjamzito na una vivimbe vya fibroid, haviwezi kusababisha matatizo kwako au kwa mtoto ikiwa kama utapata huduma. Wakati wa ujauzito, uvimbe wa fibroid unaweza unaweza kuongezeka ukubwa. Ukuaji huu mara nyingi hutokana na mtiririko wad amu kwenye mfuko wa…