NUTRI-REDEEMER ni unga bora wa pekee uliotengenezwa kutokana na mchanganyiko wa vyakula vya nafaka vyenye virutubisho vingi vizuri tena vyenye afya bora mno. Moja ya mchanganyiko wa nafaka hizo ni ngano. Unga huu unatumiwa kama maziwa tena una faida nyingi za afya kama vile kudhibiti uzito wa mwili, kuboresha uyeyushaji…
ZIJUE AINA 4 ZA VIKOHOZI, DALILI ZAKE NA TIBA YAKE
Kikohozi ni njia ya mwili wako ya kuondolea kelo zinazokuwa kwenye koo, njia ya hewa Pamoja na kwenye mapafu na kinaweza kugawanywa katika aina kuu nne: Kikohozi laini Kikohozi kikavu Kikohozi kisichokoma Kikohozi kinachosababisha kuvimba kwa koo la hewa. Kikohozi kinaweza kukukinga na makohozi, moshi, vumbi na chavua. Lakini kikohozi…
Je, Ni Ukubwa Gani Wa Uvimbe Wa Fibroid Unaweza Kuwa Hatari Kwako?
Kwenye tumbo la uzazi lenye vivimbe vya fibroid kuna kuna vinyamanyama, ukuaji wake unaweza kusababisha afya kuwa mbaya baadaye. Makala hii leo napenda kuelezea vizuri juu ya vivimbe vya fibroid kwenye tumbo la uzazi. Vivimbe vya fibroid huwa sio saratani. Unaweza Kwenda kupima na kadi yako ukaandikiwa kuwa una uvimbe…
FAHAMU KINACHOSABABISHA KISONONO, DALILI ZAKE, NA KUPELEKEA KUWA NA PID. JE, NINI MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.
Kisonono ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Bakteria hawa husambazwa wakati unaposhiriki tendo la ndoa kwa njia ya uke, njia ya haja kubwa au mdomo. Mwanamke mjamzito pia humuambukiza mtoto wake wakati anapojifungua. Mtu yeyote mwenye ugonjwa wa kisonono anaweza kumuambukiza mtu hata kama hajaonyesha dalili. Tiba ni…
Zijue Sababu Zinazofanya Mzunguko Wa Hedhi Kubadirika
Kwa kawaida, mizunguko ya hedhi hukaa kwa siku nne hadi saba. Kwa mfano matatizo ya mzunguko wa hedhi ni Pamoja na mizunguko ambayo hutokea chini ya siku 21 au Zaidi ya siku 35, ukakosa hedhi siku tatu au Zaidi, na mtiririko wa damu ya hedhi ambayo ni nyingi na ya…
ZIJUE SABABU 8 KWANINI MWANAMKE HUTOKWA NA UCHAFU UKENI.
Maumivu ya kiuno ni ya kawaida. Inaweza kuanzia kuuma na kuhisi kama kitu kinapita kwa kuchoma kama kisu na kupotea. Inaweza kuwa ni dalili ya muda mfupi au inaweza kuwa endelevu. Wanawake wote hupatwa na hali ya kutokwa na uchafu ukeni lakini kiwango na aina ya uchafu vinaweza kutofautiani. Uchafu…