ZIJUE AINA 4 ZA VIKOHOZI, DALILI ZAKE NA TIBA YAKE

Kikohozi ni njia ya mwili wako ya kuondolea kelo zinazokuwa kwenye koo, njia ya hewa Pamoja na kwenye mapafu na kinaweza kugawanywa katika aina kuu nne: Kikohozi laini Kikohozi kikavu Kikohozi kisichokoma Kikohozi kinachosababisha kuvimba kwa koo la hewa. Kikohozi kinaweza kukukinga na makohozi, moshi, vumbi na chavua. Lakini kikohozi…

Je, Ni Ukubwa Gani Wa Uvimbe Wa Fibroid Unaweza Kuwa Hatari Kwako?

Kwenye tumbo la uzazi lenye vivimbe vya fibroid kuna kuna vinyamanyama, ukuaji wake unaweza kusababisha afya kuwa mbaya baadaye. Makala hii leo napenda kuelezea vizuri juu ya vivimbe vya fibroid kwenye tumbo la uzazi. Vivimbe vya fibroid huwa sio saratani. Unaweza Kwenda kupima na kadi yako ukaandikiwa kuwa una uvimbe…

FAHAMU KINACHOSABABISHA KISONONO, DALILI ZAKE, NA KUPELEKEA KUWA NA PID. JE, NINI MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.

Kisonono ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Bakteria hawa husambazwa wakati unaposhiriki tendo la ndoa kwa njia ya uke, njia ya haja kubwa au mdomo. Mwanamke mjamzito pia humuambukiza mtoto wake wakati anapojifungua. Mtu yeyote mwenye ugonjwa wa kisonono anaweza kumuambukiza mtu hata kama hajaonyesha dalili. Tiba ni…