Fahamu Sababu 7 Zinazomfanya Mwanamke Kutokwa Na Damu Nyingi Wakati Wa Hedhi.

Kutokwa na mabonge ya damu wakati wa hedhi mara nyingi huwa ni tukio la kawaida wakati unapotokwa na damu nyingi wakati wa hedhi. Kwakweli, wanawake wengi hutokwa na damu yenye mabonge wakati Fulani katika Maisha yao, kutokwa na damu nyingi na mabonge yad amu kupita yanaweza wakati mwingine kuwa sababu…

Fahamu Jinsi Gani Ugonjwa Wa PID Unavyoathiri Vipindi Vyako Vya Hedhi.

Ugonjwa wa PID ni ugonjwa mbaya ambao huambukiza viungo vya uzazi katika tumbo lako la  chini. Aina hii ya maambukizi husababisha idadi ya dalili ikiwa Pamoja na masuala ya mzunguko wa hedhi. Lakini utambuzi wa mapema na matibabu ya tatizo hili hukuepusha na madhara yajayo baadaye. Je, Nini Maana Ya…

JE, MITINDO MIBAYA MAISHA INAWEZA KUWA CHANZO CHA MATATIZO YA UZAZI WA MWANAMKE?

Uchaguzi wa mitindo mibaya ya Maisha inaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kupata ujauzito. Fikiria baadhi ya hatua rahisi ikiwa unatarajia kupata mimba. Kama unatarajia kupata ujauzito, unaweza kujiuliza kuhusu kizazi chako na jinsi gani unaweza kukiboresha. Kuna baadhi ya mambo yanayoweza kuwa nje ya uwezo wako, kama vile masuala ya…

ZIJUE DALILI 5 ZA UGONJWA WA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI(PID).

Dalili za ugonjwa PID huwa ni rahisi mno kuzigundua ikiwa kama ukijua namna ya kuzichunguza. Unapaswa kuzuia madhara ya ugonjwa wa PID na hali ya kutokupata ujauzito kwa kupata ushauri kwa daktari wako haraka iwezekanavyo mara unapougundua dalili za ugonjwa wa PID. Ugonjwa wa PID ni msemo uliotumika kuelezea maambukizi…

VIJUE VYANZO VYA HOMA YA MANJANO, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.

Homa ya manjano ni hali ambayo ngozi, weupe wa macho(sclera) Pamoja na membreni hubadirika na kuwa za njano. Rangi hii ya njano husababishwa na kiwango kikubwa cha bilirubin, nyongo yenye rangi ya njano machungwa. Nyongo ni uteute unaotengenezwa n aini. Bilirubin hutengenezwa mmeng’enyo wa chembe nyekundu za damu. Homa ya…