Je, Tezi Dume Ni nini? Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (rectum) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija…
ZIJUE SABABU ZA INI KUJAA MAFUTA, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE
Ini ni kiungo kikubwa kigumu kinachokuwa ndani ya mwili wako. Ini huondoa sumu kwenye damu , hutengeneza viwango safi vya sukari kwenye damu, hurekebisha damu isigande, na hufanya kazi mamia na kazi zingine muhimu kabisa. Kama ilivyo kawaida, ini lako huwa lipo ndani ya mbavu upande wa kulia maeneo ya…
ZIJUE SABABU ZA UGONJWA SUGU WA FIGO, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.
Ugonjwa sugu wa figo, pia unaitwa hali sugu ya kushindwa kufanya kazi kwa figo, inahusisha figo kupoteza polepole utendaji kazi wake. Figo zako huchuja uchafu na majimaji kutoka kwenye damu, ambao huondolewa kweye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unaweza kusababisha viwango vya hatari vya majimaji, pamoja na uchafu viweze…
Fahamu Jinsi Uvimbe Wa Fibroid Unavyoweza Kuchangia Kutokwa Na Damu Nyingi Wakati Wa Hedhi.
Damu nyingi wakati wa hedhi kwa kawaida hufafanuliwa kama kipindi cha hedhi ambacho hukaa kwa muda zaidi ya siku 8 na huhitaji kubadiri pedi mara kwa mara. Wakati hakuna sababu moja kuwa uvimbe wa fibroid kuwa husababisha hedhi ya muda mrefu, kuna nadharia chache: Uvimbe unaweza kukandamiza kizazi na kusababisha…
ZIJUE SABABU 8 ZINAZOFANYA KIPINDI CHA HEDHI KUCHELEWA
Je, Ni Kiasi Gani Hali Ya Kuchelewa Kwa Hedhi Inaweza Kuwa Jambo La Kawaida? Wasiwasi juu ya kuchelewa kwa hedhi, lakini unafahamu kwamba wewe sio mjamzito? Kukosa hedhi au hedhi kuchelewa ni hali ambayo hutokea kutokana na sababu nyingi mbali na ujauzito. Sababu za kawaida zinaweza kuanzia na kutokuwa na…
JE, UGONJWA WA PANGUSA UNAWEZA KUSABABISHA MIMBA KUHARIBIKA?
Pangusa ni miongoni mwa magonjwa ya zinaa ambayo ni ya kawaida kabisa, ambayo huwapata wanawake wengi kila mwaka. Kama ukipimwa ukakutwa na maambukizi ya ugonjwa wa pangusa huku ukiwa mjamzito, basi utakuwa na maswali mengi mno ya kujiuliza. NUKUU: Hapa kuna kile tumekiandaa ili uweze kuelewa juu ya madhara ya…