PID INAWEZA KUSABABISHA MIMBA KUHARIBIKA AU KUWA MGUMBA KABISA

Maambukizi ya PID ni maambukizi yanayosababishwa na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa au maambukizi mengine. Takwimu inaonyesha karibia watu zaidi ya milioni 1 hupatwa na maambukizi ya PID kila mwaka. Katika wanawake 8 mmoja anaweza kukutwa na maambukizi ya PID likionyesha matatizo ya uzazi. Mbali na madhara, lakini bado ugonjwa huu…

ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA KUVIMBA KWA TONSES(MAFINDOFINDO) NA TISHU LAINI PUANI (ADENOIDS).

Je, Tonses Na TishuLlaini(Adenoids)  Ni Nini? Tonses(mafindofindo) na Adenoids(tishu laini)  ni moja kati ya mtandao wa viungo muhimu mwilini vinavyo husika na kinga dhidi ya maambukizi ya virusi, bakteria ambao hujitokeza ili kuingia puani au mdomoni, lakini tishu  hizi za limfu ndizo huzuia bakteria au virusi wasiweze kuingia ndani zaidi.…