Unaweza usijue kuwa una tatizo la mbegu kuwa nyepesi mpaka pale utakapoanza kutafuta mtoto na ukashindwa kufanikiwa. Vipimo vinaweza kuonyesha kwamba una mbegu chache kuliko idadi ya kawaida ya mbegu. Lakini zipo tiba mbalimbali nyingi za kuondoa tatizo hili. Je, Nini Maana Ya Mbegu Kuwa Nyepesi(Oligospermia)? Mbegu kuwa nyepesi imaanisha kwamba…
JE, KWANINI WANAUME WENGI LEO WANAPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME?
Uume kulegea maana yake ni uume kutokuwa na uwezo wa kusimama na kushindwa kufanya tendo la ndoa. Kupatwa na tatizo la kuishiwa nguvu za kiume mara kwa mara hupoteza sifa za muhusika katika. NUKUU: Ikiwa kama hali hii itadumu kuendelea, hivyo inaweza kusababisha msongo wa mawazo, kuharibu ujasili wako na…
JE, KUNA UHUSIANO GANI KATI YA UGONJWA WA KISUKARI(DIABETES) NA KIHARUSI(STROKE)?
Je, kuna uhusiano gani kati ya kisukari na kiharusi? Kisukari kinaweza kuongeza vihatarishi vingi vya magonjwa katika afya yako, ikiwa pamoja na ugonjwa wa kiharusi. Kwa ujumla watu wenye ugonjwa wa kisukari huelekea kupata ugonjwa wa kiharusi kwa urahisi sana kuliko watu wasiokuwa na kisukari. NUKUU: Ugonjwa wa kisukari huathiri…
JE, NINI KINASABABISHA MWANAMKE KUJIHISI KUWA ANA UJAUZITO WAKATI HANA UJAUZITO(FALSE PREGNANCY)?
Mimba kwa kawaida huwa ni wakati wa kusisimua kwa mzazi mtarajiwa. Lakini mara nyingi mimba haiishii kwa mtoto anayetarijiwa. Kwa upande mwingine, wanawake huamini kuwa wana mimba, ili kutambua tu kuwa dalili zao hazikusababishwa tu na ujauzito, bali na kitu kingine kabisa. NUKUU: Mimba ya uongo, kitaalamu tunaita, “Pseudocyesis” ni…
JE, NINI KINACHOSABABISHA BAADHI YA WANAUME KUCHELEWA KUFIKA KILELENI?
Kuchelewa kufika kileleni huwa ni hali ya kawaida kujitokeza. Hali hii hutokea wakati inapochukua muda mrefu sana mwanaume kufika kileleni au kumwaga shahawa pale anaposhiriki tendo la ndoa. Kwahivy basi, muda huo mwanaume hushindwa kushusha mzigo kabisa au kufika kileleni hata kidogo, lakini kwa wengine tatizo hili linaweza kuwa endelevu…
YAJUE MADHARA YA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
Mirija ya uzazi ni ya muhimu sana katika kufanya kazi za mfumo wa uzazi wa mwanamke. Kumbuka wanawake wana mirija miwili ya uzazi, na kila mmoja umeungana na mfuko wa mayai(ovary) kila sehemu ya mfumo wa uzazi(uterus). Kila mwezi yai lililopevuka hutolewa kwenye mfuko wa mayai kwa njia inayofahamika kama…