Maumivu ya kiuno ni ya kawaida. Inaweza kuanzia kuuma na kuhisi kama kitu kinapita kwa kuchoma kama kisu na kupotea. Inaweza kuwa ni dalili ya muda mfupi au inaweza kuwa endelevu. Wanawake wote hupatwa na hali ya kutokwa na uchafu ukeni lakini kiwango na aina ya uchafu vinaweza kutofautiani. Uchafu…
Fahamu Sababu 7 Zinazomfanya Mwanamke Kutokwa Na Damu Nyingi Wakati Wa Hedhi.
Kutokwa na mabonge ya damu wakati wa hedhi mara nyingi huwa ni tukio la kawaida wakati unapotokwa na damu nyingi wakati wa hedhi. Kwakweli, wanawake wengi hutokwa na damu yenye mabonge wakati Fulani katika Maisha yao, kutokwa na damu nyingi na mabonge yad amu kupita yanaweza wakati mwingine kuwa sababu…
Fahamu Jinsi Gani Ugonjwa Wa PID Unavyoathiri Vipindi Vyako Vya Hedhi.
Ugonjwa wa PID ni ugonjwa mbaya ambao huambukiza viungo vya uzazi katika tumbo lako la chini. Aina hii ya maambukizi husababisha idadi ya dalili ikiwa Pamoja na masuala ya mzunguko wa hedhi. Lakini utambuzi wa mapema na matibabu ya tatizo hili hukuepusha na madhara yajayo baadaye. Je, Nini Maana Ya…
JE, MITINDO MIBAYA MAISHA INAWEZA KUWA CHANZO CHA MATATIZO YA UZAZI WA MWANAMKE?
Uchaguzi wa mitindo mibaya ya Maisha inaweza kuathiri uwezo wa mwanamke kupata ujauzito. Fikiria baadhi ya hatua rahisi ikiwa unatarajia kupata mimba. Kama unatarajia kupata ujauzito, unaweza kujiuliza kuhusu kizazi chako na jinsi gani unaweza kukiboresha. Kuna baadhi ya mambo yanayoweza kuwa nje ya uwezo wako, kama vile masuala ya…
ZIJUE DALILI 5 ZA UGONJWA WA MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI(PID).
Dalili za ugonjwa PID huwa ni rahisi mno kuzigundua ikiwa kama ukijua namna ya kuzichunguza. Unapaswa kuzuia madhara ya ugonjwa wa PID na hali ya kutokupata ujauzito kwa kupata ushauri kwa daktari wako haraka iwezekanavyo mara unapougundua dalili za ugonjwa wa PID. Ugonjwa wa PID ni msemo uliotumika kuelezea maambukizi…
VIJUE VYANZO VYA HOMA YA MANJANO, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.
Homa ya manjano ni hali ambayo ngozi, weupe wa macho(sclera) Pamoja na membreni hubadirika na kuwa za njano. Rangi hii ya njano husababishwa na kiwango kikubwa cha bilirubin, nyongo yenye rangi ya njano machungwa. Nyongo ni uteute unaotengenezwa n aini. Bilirubin hutengenezwa mmeng’enyo wa chembe nyekundu za damu. Homa ya…
JE, NINI KINASABABISHA MSICHANA KUTOKWA NA DAMU YA HEDHI NYINGI KWA MFULULIZO?
Kutokwa na damu ya hedhi isiyo ya kawaida humaanisha kwamba damu ya hedhi inaweza kuwa nyingi sana tena kwa muda mrefu kuliko kawaida au unaweza usione hedhi kabisa. Kutokwa na damu ya hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja pia huwa ni ishara ya kutokwa na damu ya hedhi isiyo…
JE, WAJUA VYANZO NA DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME? JE, NINI MADHARA YAKE?
Je, Tezi Dume Ni nini? Tezi dume ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (rectum) na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija…
ZIJUE SABABU ZA INI KUJAA MAFUTA, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE
Ini ni kiungo kikubwa kigumu kinachokuwa ndani ya mwili wako. Ini huondoa sumu kwenye damu , hutengeneza viwango safi vya sukari kwenye damu, hurekebisha damu isigande, na hufanya kazi mamia na kazi zingine muhimu kabisa. Kama ilivyo kawaida, ini lako huwa lipo ndani ya mbavu upande wa kulia maeneo ya…
ZIJUE SABABU ZA UGONJWA SUGU WA FIGO, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.
Ugonjwa sugu wa figo, pia unaitwa hali sugu ya kushindwa kufanya kazi kwa figo, inahusisha figo kupoteza polepole utendaji kazi wake. Figo zako huchuja uchafu na majimaji kutoka kwenye damu, ambao huondolewa kweye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unaweza kusababisha viwango vya hatari vya majimaji, pamoja na uchafu viweze…