Fahamu Jinsi Uvimbe Wa Fibroid Unavyoweza Kuchangia Kutokwa Na Damu Nyingi Wakati Wa Hedhi.

Damu nyingi wakati wa hedhi kwa kawaida hufafanuliwa kama kipindi cha hedhi ambacho hukaa kwa muda zaidi ya siku 8 na huhitaji kubadiri pedi mara kwa mara. Wakati hakuna sababu moja kuwa uvimbe wa fibroid kuwa husababisha hedhi ya muda mrefu, kuna nadharia chache: Uvimbe unaweza kukandamiza kizazi na kusababisha…

PID INAWEZA KUSABABISHA MIMBA KUHARIBIKA AU KUWA MGUMBA KABISA

Maambukizi ya PID ni maambukizi yanayosababishwa na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa au maambukizi mengine. Takwimu inaonyesha karibia watu zaidi ya milioni 1 hupatwa na maambukizi ya PID kila mwaka. Katika wanawake 8 mmoja anaweza kukutwa na maambukizi ya PID likionyesha matatizo ya uzazi. Mbali na madhara, lakini bado ugonjwa huu…

ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA KUVIMBA KWA TONSES(MAFINDOFINDO) NA TISHU LAINI PUANI (ADENOIDS).

Je, Tonses Na TishuLlaini(Adenoids)  Ni Nini? Tonses(mafindofindo) na Adenoids(tishu laini)  ni moja kati ya mtandao wa viungo muhimu mwilini vinavyo husika na kinga dhidi ya maambukizi ya virusi, bakteria ambao hujitokeza ili kuingia puani au mdomoni, lakini tishu  hizi za limfu ndizo huzuia bakteria au virusi wasiweze kuingia ndani zaidi.…

ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA MLANGO WA KIZAZI KULEGEA(INCOMPETENT CERVIX). JE, NINI MADHARA YAKE?

Mlango wa kizazi kulegea, pia huitwa mlango wa kizazi kutokuwa na uwezo, ni hali ambayo hutokea pale tishu dhaifu za mlango wa kizazi zinaposababisha au kuchangia kujifungua mtoto kabla ya muda wake au kuharibika kwa mimba. Kabla ya ujauzito, mlango wako wa kizazi, yaani sehemu cha chini ya mji wa…

JE, UNAJUA CHANZO CHA KIKOHOZI KIKAVU? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?

Kikohozi kikavu ni kikohozi ambacho hudumu kwa muda wa wiki nane au kwa muda mrefu mara kinapompata mtu mwenye umri mkubwa, au wiki nne kwa watoto wadogo. NUKUU: Kikohozi kikavu ni hali ambayo inapompata mtu humfanya kukereka mno. Hali ya kikohozi kikavu inaweza kumfanya muhusika akakosa usingizi kabisa na akajisikia…