Mwili wa mwanaume umebeba maajabu mengi mno kama ulivyo mwili wa mwanamke tu. Lakini maswali ya kawaida na ya ajabu ni yale yanayohusiana na manii. Wote tunafahamu kwa uhakika kwamba manii huwa zina mbegu lakini ni nini kilichomo zaidi humo ndani? Kwanini zinaonekana na zinaweza kutoa harufu inayotofautiana wakati mwingine?…
VIJUE VYANZO, DALILI NA MADHARA YA MSHIPA WA NYONGA(SCIATIC NERVE).
Ugonjwa wa mshipa wa nyonga huwa ni maumivu ambayo hupenya na kuingia kwenye mshipa wa nyonga, ambao hugawanyika kutoka kiunoni na kushuka kwenye mapaja na matako kuelekea chini kwenye mguu. Kwa kawaida ugonjwa wa nyonga huathiri sehemu moja tu ya mwili wako. Ugonjwa wa nyonga mara nyingi hutokea pale pingili…
UJUE UKE NA KAZI ZAKE
Uke na sura ya nje ya mashavu ya uke hutofautiana kwa asili katika umbo, rangi na saizi. Linapotokea jambo lolote linalohusiana na miili, jinsia pamoja na afya ya uzazi, watu wengi hushangaa, na kujiuliza wao wenyewe ikiwa kama kweli wapo kawaida? Jibu kuhusiana na uke ni kwamba kuna utofauti mkubwa…
JE, NINI HUMFANYA MWANAMKE KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA?
Mwanamke anaweza kukosa raha kabisa na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza pale mwanzoni ukeni au kwa ndani zaidi. NUKUU: Maumivu haya pia yanaweza kugawanyika katika makundi mawili. Kwanza ni maumivu wakati wa tendo ama baada ya tendo. Je, Nini Humfanya Mwanamke Kuumia Wakati Wa Tendo La Ndoa? Maumivu haya…
ZIJUE DALILI 10 ZA UVIMBE KWENYE LA UZAZI(UTERINE FIBROID)
Uvimbe kwenye kizazi ni ugonjwa wa kawaida kabisa kwenye tumbo la uzazi ambao wanawake wengi wamekuwa wakiupata kwa kasi sana kuliko kawaida. Takribani asilimia 70%-80% ya wanawake wamekuwa wakipatwa na uvimbe wa fibroid mara moja au zaidi katika maisha yao hata wafikiapo umri wa miaka 50. Hata hivyo, uvimbe wa…
ZIJUE SABABU ZINAZOMFANYA MWANAUME KUTOKUWA NA HISIA AU HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA.
Je, Nini Kinasababisha Kuwa Na Hisia Za Chini Sana Za Mapenzi? Hisia za chini za mapenzi humaanisha kupungua kwa hamu ya kufanya tendo la ndoa. Hii ni hali ya kupoteza kabisa hamu ya kushiriki tendo la ndoa kila inapofikia muda wa kufanya tendo la ndoa na mke au mpenzi…
ZIJUE SABABU ZA TUMBO KUJAA GESI NA KUUMA
Gesi katika mfumo wa umeng’enyaji ni sehemu kawaida ya njia ya umeng’enyaji. Ili kuepukana na ongezeko la gesi, iwe ni kwa kujamba au kucheua, pia ni kawaida. Maumivu ya gesi yanaweza kutokea ikiwa kama gesi haiendi vizuri kwenye mfumo wako wa umeng’enyaji. NUKUU: Kuongezeka kwa gesi au maumivu ya gesi…
JE, UNAJUA NINI HUSABABISHA KUTOKWA NA UTE MWEUPE MZITO?
Ikiwa kama unatokwa na ute mzito mweupe wenye kunata au kuganda, yaweza kuwa chanzo chake ni fangasi sehemu za siri. Kumbuka kwamba uke wako hufanya kazi nyingi za ajabu katika kutengeneza uwiano wa joto katika tumbo lote la uzazi pamoja na bakteria wa asili wanaoishi humo. Mara nyingi uwiano huu…
ZIJUE NJIA ZA KUKUFANYA UPATE UJAUZITO HARAKA
Unapojaribu kubeba ujauzito, tendo la ndoa hupewa kipaumbele sana kuliko ujuzi. Utahitaji kufanya kila kitu kitandani ili kuongeza uwezo wa kupata ujauzito. NUKUU: Hakuna njia zilizohakikishwa kwa ajili ya kutengeneza ujauzito. Walakini kuna mabadiriko machache ambayo yanaweza kusaidia kama vile muda na mzunguko wa mapenzi yako. Je, Ni Kipindi Gani…
LINDA TUMBO LAKO LA UZAZI LISIPATWE NA UVIMBE AINA YA FIBROID.
Uvimbe aina ya fibroid unaojitokeza kwenye tumbo la uzazi umekuwa ukienea kwa kasi sana kwa wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa kuliko wale wanaokaribia umri wa vipindi vya hedhi kukoma. Tiba za asili zimekuwa zikisaidia sana kuondoa tatizo hili bila kutumia upasuaji. Je, Dalili Za Uvimbe Aina Ya…