JE, NINI CHANZO NA DALILI ZA MAUMIVU KABLA AU WAKATI HEDHI? JE, NINI MADHARA YAKE.?

Maumivu wakati wa hedhi huwa maumivu ya mkazo fulani maeneo ya tumbo la chini. Wanawake wengi wanapatwa na tatizo la maumivu kabla au wakati wanapoingia hedhini. Baadhi ya wanawake hali hii inapojitokeza kwao huwapa usumbufu mkubwa mno na inawakera. Wengine hali ya maumivu wakati wa hedhi inaweza kuwa mbaya zaidi…

JE, NINI DALILI ZA KUKARIBIA KUKOMA HEDHI?

Hali ya kukaribia kukoma hedhi huonekana katika dalili zake, nayo huja ili kuomuonyeshea muhusika kuwa sasa uwezo wa kuzaa umefikia mwisho. Wanawake huanza kukoma hedhi katika umri tofautitofauti. Unaweza ukaona dalili zinazoelekeza kuwa unafikia kukoma hedhi, kama vile vipindi vya hedhi kubadirika badirika, wakati mwingine unapofikisha umri wa miaka 40.…

JE, KUHISI MAUMIVU AU HALI YA KUWAKA MOTO WAKATI WA KUKOJOA(DYSURIA) HUMAANISHA NINI?

Maambukizi ya bakteria pamoja na uvimbe huwa visababishi vya kawaida vya hali ya kushisi kuwaka moto au maumivu wakati unapokojoa. Hali ya kuhisi moto au maumivu wakati unapokojoa inaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali yanayopelekea kuwapo kwa hali ya kawaida au mbaya kabisa katika afya ya mwili wako.   NUKUU: Maumivu…

JE, UNAFAHAMU HOMONI(HORMONE) YA PROGESTERONE INA KAZI GANI KATIKA MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE?

Homoni ya progesterone hutengenezwa na mfumo wa uzazi wa mwanamke ambayo hufanya kazi hasa kwa ajili ya kujenga na kurekebisha hali ya ukuta wa ndani wa mfuko wa uzazi(uterus).  Homoni ya progesterone huzarishwa na vifuko vya mayai(ovaries), kondo(placenta),  pamoja na tezi za adranali.   Ndani ya vifuko vya mayai(ovaries) mahali…

JE, TUMBO KUJAA GESI LAWEZA KUWA CHANZO CHA MAGONJWA MENGINE MWILINI MWAKO?

Ndugu mpendwa, na ieleweke kuwa hali ya chakula kutokumeng’enywa tumboni mwako sio ugonjwa, bali ni baadhi ya dalili zinazokupata, kwa mfano;  tumbo kuuma na kujaa gesi mara baada tu unapoanza kula chakula. Ingawa tatizo hili linaonekana kuwa la kawaida sana, lakini tatizo hili linaweza kutokana na vyanzo mbalimbali. Dalili za…

JE, NINI CHA KUTEGEMEA UNAPOKUWA MJAMZITO HALAFU UNA UVIMBE TUMBONI?

Uvimbe wa fibroid huanza kumuandama mwanamke pale anapokuwa katika umri kuzaa watoto. Kwa asili uvimbe wa fibroid huwa sio saratani, lakini unaweza ukatokea katika viwango fulani vya maumivu pamoja na madhara mengine kwa mwanamke. NUKUU: Kwakuwa uvimbe wa fibroid huendelea kukua ndani ya mfuko wa uzazi(uterus), hivyo ni rahisi sana…