JE, UNAZIFAHAMU DALILI 9 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI AMBAZO WANAWAKE WENGI HUSHINDWA KUZITAMBUA?

NUKUU: Kupima na kutambua tatizo lako la uvimbe kwenye mayai ni jambo la muhimu sana kwa ajili ya tiba, lakini wakati mwingine huwa ni rahisi sana kushindwa kuzigundua dalili hizi. Sasa hebu tuangalie jinsi zinavyokuwa: Hivi leo tunaona idadi kubwa ya wanawake wamekuwa wakiathiriwa sana na ugonjwa wa uvimbe kwenye…

JE, UNAJUA NINI KINACHOMFANYA MWANAUME KUWA NA TATIZO LA KIWANGO KIDOGO CHA MBEGU(LOW SPERM COUNT)?

Kiwango kidogo cha mbegu maana yake ni ute(shahawa) anazokojoa mwanaume katika mshindo(orgasm) wenye mbegu kidogo kuliko kawaida. Kiwango kidogo cha mbegu kitaalam tunaita “ oligospermia”.  Kutokuwa na kiwango cha mbegu kabisa, kitaalamu tunaita “Azoospermia.”  Kiwango chako cha mbegu kinaonekana kidogo kuliko kawaida ikiwa kama una mbegu chache kiasi cha milioni…

JE, WAJUA JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU ZAKO ZA HATARI?

Je, Mwanamke, Wajua Siku Zako Hatari Ni Zipi? Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda kama ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo. Je, Utazijuaje Siku Hizo? Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi…

JE, KUTOKWA NA UCHAFU WENYE MAJIMAJI UKENI WAKATI WA UJAUZTO NI JAMBO LA KAWAIDA?

Wanawake wajawazito hupatwa na msongo wa mawazo sana kwa vitu vidogo vidogo tena vya kawaida mno.  Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea kutokwa na uchafu wenye majimaji ukeni wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu hizi ni za kawaida kabisa wala hazina madhara, lakini zingine zipo zinaweza kuonyesha viashiria vya hatari, nawe…

JE, UGONJWA WA MALENGELENGE(TRICHOMONIAS) WAWEZA KUWA CHANZO CHA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)? JE, NINI CHANZO, DALILI NA MADHARA YAKE?

Malengelenge au Trichomoniasis ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya ngono kama magonjwa mengine ya zinaa. Maambukizi ya ugonjwa huu yanaweza kutokea hata kwa mtu asiye kuwa na dalili za maambukizi ya ugonjwa huu. Wanawake hupata maambukizi ya ugonjwa wa Malengelenge kutoka kwa wanaume, na wanaume pia huupata kutoka kwa wanawake…

JE, UNAFAHAMU CHANZO NA DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKJO(UTI)? JE, NINI MADHARA YAKE?

Neno UTI ni la kiingereza ambalo kirefu chake ni Urinary Tract Infection, yaani maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo.   Maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo(UTI), huwa ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wako wa mkojo yaani kuanzia figo (kidneys); mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo(urethers),…