NUKUU: Kupima na kutambua tatizo lako la uvimbe kwenye mayai ni jambo la muhimu sana kwa ajili ya tiba, lakini wakati mwingine huwa ni rahisi sana kushindwa kuzigundua dalili hizi. Sasa hebu tuangalie jinsi zinavyokuwa: Hivi leo tunaona idadi kubwa ya wanawake wamekuwa wakiathiriwa sana na ugonjwa wa uvimbe kwenye…
JE, UNAJUA NINI KINACHOMFANYA MWANAUME KUWA NA TATIZO LA KIWANGO KIDOGO CHA MBEGU(LOW SPERM COUNT)?
Kiwango kidogo cha mbegu maana yake ni ute(shahawa) anazokojoa mwanaume katika mshindo(orgasm) wenye mbegu kidogo kuliko kawaida. Kiwango kidogo cha mbegu kitaalam tunaita “ oligospermia”. Kutokuwa na kiwango cha mbegu kabisa, kitaalamu tunaita “Azoospermia.” Kiwango chako cha mbegu kinaonekana kidogo kuliko kawaida ikiwa kama una mbegu chache kiasi cha milioni…
JE, WAIJUA FAIDA YA FRESH HERB?
James Herbal Clinic tuna dawa za mimea ya asili zenye mchanganyiko wa vyakula vya asili. Fresh Herb ni dawa ya asili yenye Viua sumu na kemikali(ni antioxidant); huuondoa na kuzuia uvimbe( ni anti-inflammatory); na huua bakteria tumboni( ni antibacterial). Fresh Herb hutibu magonjwa mengi kama ifuatavyo: Matatizo katika…
JE, WAJUA JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU ZAKO ZA HATARI?
Je, Mwanamke, Wajua Siku Zako Hatari Ni Zipi? Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda kama ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo. Je, Utazijuaje Siku Hizo? Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi…
MAFINDOFINDO(TONSILS)
Je, umewahi kufikiria ukajua nini kinachokuwa nyuma ya koo lako? Mbali na kilimi kinachoning’inia kwa juu nyuma ya koo lako, kwa pembeni huwa kuna tishu mbili zimetuna pembeni mwa koo lako ambazo kitaalamu tunaita mafindofindo au “Tonsils”. NUKUU: Kazi zake mara nyingi huwa ni kuzuia vimelea kama vile bakteria pamoja…
JE, KUTOKWA NA UCHAFU WENYE MAJIMAJI UKENI WAKATI WA UJAUZTO NI JAMBO LA KAWAIDA?
Wanawake wajawazito hupatwa na msongo wa mawazo sana kwa vitu vidogo vidogo tena vya kawaida mno. Zipo sababu mbalimbali zinazoweza kupelekea kutokwa na uchafu wenye majimaji ukeni wakati wa ujauzito. Baadhi ya sababu hizi ni za kawaida kabisa wala hazina madhara, lakini zingine zipo zinaweza kuonyesha viashiria vya hatari, nawe…
JE, WAZIJUA FAIDA ZA VITAMAKA?
Vitamaka ni dawa ya asili yenye mchanganyiko wa vyakula na mimea ya asili aina 8. Ina uwezo mkubwa wa kuondoa magonjwa sugu na kuzuia magonjwa. Faida zake ni kama ifuatavyo: 1. Mzunguko Wa Hedhi: Tatizo la kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na…
JE, UNAZIFAHAMU FAIDA ZA REDEEMER?
James Herbal Clinic tuna dawa za mimea ya asili zenye mchanganyiko wa vyakula vya asili. Redeemer ni dawa ya asili yenye mchanganyiko wa asali mbichi pamoja na mimea mbalimbali ya asili. Dawa hii husaidia kuondoa matatizo sugu nay a kawaida pia. Husaidia watu wa jinsia zote. Kwa kawaida…
JE, UGONJWA WA MALENGELENGE(TRICHOMONIAS) WAWEZA KUWA CHANZO CHA PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)? JE, NINI CHANZO, DALILI NA MADHARA YAKE?
Malengelenge au Trichomoniasis ni ugonjwa unaoenezwa kwa njia ya ngono kama magonjwa mengine ya zinaa. Maambukizi ya ugonjwa huu yanaweza kutokea hata kwa mtu asiye kuwa na dalili za maambukizi ya ugonjwa huu. Wanawake hupata maambukizi ya ugonjwa wa Malengelenge kutoka kwa wanaume, na wanaume pia huupata kutoka kwa wanawake…
JE, UNAFAHAMU CHANZO NA DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKJO(UTI)? JE, NINI MADHARA YAKE?
Neno UTI ni la kiingereza ambalo kirefu chake ni Urinary Tract Infection, yaani maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo. Maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo(UTI), huwa ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wako wa mkojo yaani kuanzia figo (kidneys); mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo(urethers),…