JE, KUTOKUSAGWA KWA CHAKULA TUMBONI YAWEZA KUWA CHANZO CHA MAGONJWA MWILINI MWAKO? JE, NINI DALILI NA MADHARA YA TATIZO HILI?

Ndugu mpendwa, na ieleweke kuwa hali ya chakula kutokumeng’enywa tumboni mwako sio ugonjwa, bali ni baadhi ya dalili zinazokupata, kwa mfano;  tumbo kuuma na kujaa mara baada tu unapoanza kula chakula. Ingawa tatizo hili linaonekana kuwa la kawaida sana, lakini tatizo hili linaweza kutokana na vyanzo mbalimbali. Dalili za chakula…

JE, UNAIFAHAMU MIRIJA YAKO YA UZAZI INAVYOKUWA? JE, NINI KINATOKEA PALE INAPOPATA MATATIZO?

Mirija ya uzazi huwa misuli miwili yenye uwazi kwa ndani ambayo hutokeza kwenye kona ya kulia na kushoto mwa tumbo la uzazi kuelekea kwenye vifuko vya mayai. Mirija ya uzazi huishia katika umbo fulani kama bomba vile ambalo kitaalamu tunaita, “Infundibulum” ambalo hufunikwa na kijidole kidogo kijulikanacho kama, “Fimbriae”. Fimbriae…

JE, UNAYAFAHAMU MAAJABU YA MZUNGUKO WAKO WA DAMU?

Wazia nyumba yenye mfumo tata wa mabomba kiasi cha kwamba kioevu kinachopitia humo kinaweza kusafirisha chakula, maji, oksijeni, na uchafu kwa njia salama. Isitoshe, mabomba hayo yanaweza kujirekebisha ili kumudu mahitaji mbalimbali nyumbani. Huo ungekuwa uhandisi bora kama nini!   Lakini, “mabomba” ya mwili wako hufanya mengi zaidi. Mbali na…

JE, UNAJUA KWANINI MBEGU ZA MWANAUME WAKATI MWINGINE ZINAWEZA KUWA DHAIFU? JE, NINI DALILI NA VISABABISHI VYAKE?

Ikiwa kama kila ukifanya tendo la ndoa halafu mwanamke ukatokwa na manii dakika chache mara baada ya kumaliza tendo la ndoa hata kama haujainuka kusimama, tambua kuwa hiyo ni dalili mojawapo ya kwamba mbegu za mumeo au mwenzi wako sio bora. Ndugu msomaji naomba usome makala hii kwa makini kabisa…

JE, UNAYAJUA MAMBO 6 YANAYOCHANGIA KUWEPO KWA BACTERIAL VAGINALSIS?

Je, umewahi kufikiria namna gani mwili wako unapokuwa wenye afya, unashindwa hata kutambua sehemu zako za uke? Lakini hali inapokuwa mbaya, sidhani kama huwa ni vigumu mwanamke au binti kutojali jambo hili. Bacterial Vaginosis  huwa ni maambukizi ya kawaida ukeni ambayo hupotea kwa nadra sana pasipo kugundulika. Bakteria hawa wakati…

JE, VIPIMO VYA UZAZI KUPITIA DAMU VYAWEZA KUBAINI MATATIZO YA UZAZI YA MWANAMKE? JE, NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUPATA MAJIBU? TEGA SIKIO!!

Kipimo cha damu ya uzazi hutumika kupima kiwango chako cha homoni na mara nyingi huwa ni kipimo cha kwanza kabisa ambacho daktari wako atakuelezea kama unashindwa kupata ujauzito na kuhisi kuwa huenda una tatizo la ugumba.   Matokeo ya kipimo cha uzazi kwanza hutumiwa ili kupima visababishi vya homoni katika…

JE, NINI KINACHOFANYA YAI LA MWANAMKE KUSHINDWA KUANGULIWA AU KUPEVUSHWA? JE, NINI DALILI ZAKE KWA MWANAMKE?

Na ieleweke kuwa, mwanamke inafaa sana ukawa makini kujali mzunguko wako wa hedhi ikiwa kama unahitaji au unatafuta kubeba ujauzito. Zaidi ya yote ni hivi, ili uweze kuwa mjamzito, jambo la kwanza inapaswa mayai yako yawe yanapevuka kila mwezi. NUKUU: Ni vyema kabisa kutambua kuwa, hedhi huwa ni dalili au…

JE, UNAFAHAMU CHANZO NA DALILI ZA MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKJO(UTI)? JE, NINI MADHARA YAKE?

Neno UTI ni la kiingereza ambalo kirefu chake ni Urinary Tract Infection, yaani maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo. Maambukizi katika njia au mfumo wa mkojo(UTI), huwa ni maambukizi katika sehemu yoyote ya mfumo wako wa mkojo yaani kuanzia figo (kidneys); mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo(urethers), kibofu…

JE, YAWEZEKANA TABIA YA KUTOA MIMBA IKAMFANYA MWANAMKE KUPATWA NA LAANA MBAYA KATIKA MAISHA YAKE?

Siku hizi utoaji mimba unaelekea kuwa utamaduni wa wanawake wengi duniani, vilevile na hata katika nchi yetu hapa Tanzania. Jambo la kutoa mimba limekuwa la kawaida sana na inaelekea jamii imeanza kulizoea na kuliona kuwa ni tukio la kawaida. Ni kama vile halina madhara makubwa. Leo tunaanza kujadili mada inayohusu…