JE, UNAFAHAMU NINI KINASABABISHA TATIZO LA MAWE KWENYE KIBOFU CHA NYONGO(GALLSTONES)? JE, NINI DALILI NA MADHARA YAKE?

Kwa kawaida kibofu cha nyongo huwa kiko maeneo ya chini ya ini. Kiungo hiki chenye umbo kama  peasi huwa kina kazi ya kuhifadhi nyongo ambayo tayari imeshatengenezwa na ini, nayo hutumika kwa ajili ya kuyeyusha mafuta. Ini pamoja kibofu cha nyongo hushikamanishwa pamoja na utumbo mwembamba kupitia mrija wa nyongo.…

JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI? JE, NINI MADHARA YAKE IKIWA KAMA HAITAZIBULIWA?

Mirija ya uzazi ambayo pia kitaalamu hujulikana kama “Uterine tubes”huwa ni mirija miwili inayokuwa pande mbili za mfuko wa kizazi(uterus) ambayo hubeba yai lililokomaa kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) na kulisafirisha kwenda kwenye mfuko wa kizazi(uterus). Mirija ya uzazi pia hubeba mbegu za mwanaume zinazokuwa zikiogelea kwenye shingo ya kizazi…

JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI (ECTOPIC PREGNANCY)?

Katika wajawazito 100, mmoja anaweza kuwa na tatizo la kupata mimba nje ya kizazi. Hali hii humaanisha kwamba, yai lililorutubishwa tayari limeshachomekwa  katika tishu nje ya mfuko wa kizazi(uterus) badala ya ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus). Yai hili huendelea kukua ndani ya kiini tete(embryo) ambapo limeshapachikwa. Mara nyingi mimba zinazotunga…

JE, UNAJUA CHANZO NA DALILI ZA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI (ECTOPIC PREGNANCY)?

Katika wajawazito 100, mmoja anaweza kuwa na tatizo la kupata mimba nje ya kizazi. Hali hii humaanisha kwamba, yai lililorutubishwa tayari limeshachomekwa  katika tishu nje ya mfuko wa kizazi(uterus) badala ya ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus). Yai hili huendelea kukua ndani ya kiini tete(embryo) ambapo limeshapachikwa.   Mara nyingi mimba…

JE, UNAZIFAHAMU DALILI 9 ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI AMBAZO WANAWAKE WENGI HUSHINDWA KUZITAMBUA?

  NUKUU: Kupima na kutambua tatizo lako la uvimbe kwenye mayai ni jambo la muhimu sana kwa ajili ya tiba, lakini wakati mwingine huwa ni rahisi sana kushindwa kuzigundua dalili hizi. Sasa hebu tuangalie jinsi zinavyokuwa:   Hivi leo tunaona idadi kubwa ya wanawake wamekuwa wakiathiriwa sana na ugonjwa wa…

JE, WAJUA CHANZO CHA MIGUU AU MIKONO KUWAKA MOTO, KUUMA, AU KUFAGANZI?

Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.   Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au…

JE, WAJUA CHANZO CHA MIGUU AU MIKONO KUWAKA MOTO, KUUMA, AU KUFAGANZI?     Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana…

JE, UNAJUA KWANINI MBEGU ZA MWANAUME WAKATI MWINGINE ZINAWEZA KUWA DHAIFU? JE, NINI DALILI NA VISABABISHI VYAKE?

Ikiwa kama kila ukifanya tendo la ndoa halafu mwanaume unatokwa na mbegu dakika chache mara baada ya kumaliza tendo la ndoa hata kama hajainuka kusimama, tambua kuwa hiyo ni dalili mojawapo mbegu za kiume sio bora. Ndugu msomaji naomba usome makala hii kwa makini kabisa mpaka uimalize halafu utambue suluhisho…

JE, UNAWEZAJE KUJIEPUSHA NA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA KATIKA VIA VYA UZAZI(PELVIC INFLAMMATORY DISEASES) AU PID?

Inaonyesha kuwa yaweza ikawa ni vigumu sana kwa baadhi ya watu kuweza kujilinda ili kujiepusha na maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi au PID(Pelvic Inflammatory Diseases). Wakati mwingine bakteria wanaokuwa kwenye uke wanaweza kusafiri kupanda juu kwenye viungo vyako vya uzazi na kusababisha tatizo la PID. Lakini unao uwezo…

JE, KISONONO KWA MWANAMKE WAKATI WA UJAUZITO HUSABABISHWA NA NINI? JE, NINI DALILI ZAKE?

Je, unatambua kuwa unaweza ukapatwa na maambukizi na kisha yakampata mtoto wako aliyeko tumboni ambayo yanaweza kusababisha madhara makubwa katika ukuaji wake? Moja ya maambukizi hayo ni kisonono. Kisonono ni ugonjwa wa zinaa unatokana na bakteria ambao huzaliana na kuenea kwa kasi sana. Ikiwa kama ugonjwa wa kisonono utagundulika mapema…