Fahamu Madhara Ya Uvimbe Wa Fibroid Kwa Mama Mjamzito

Fibroids sio salatani bali ni vivimbe ambavyo huota ndani au nje ya mfuko wa kizazi(uterus) au mji wa mimba. Vivimbe vinaweza kushambulia ujauzito au kuondoa kabisa hali au uwezo wa kupata ujauzito. Vivimbe kwenye kifuko cha uzazi huwa ni vya kawaida kabisa. Tukiangalia asilimia 20%-80% ya wanawake wamekuwa wakipatwa na…

Je, Mbegu Za Mwanaume Zilizo Bora Na Zenye Afya Zinakuwa Na Ladha Na Harufu Gani Na Huwa Na Muonekano Gani?

Baadhi ya watu wanaweza kujiuliza je, ladha ya manii au shahawa huwa ikoje, au harufu yake inakuwaje. Wakati unapoweza kubadirisha sifa hizi, basi mabadiriko yanaweza pia kuwa ishara ya matatizo. Ladha, harufu, rangi na muonekano wa manii unaweza kutofautiana kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Manii zinaweza pia kubadirika…

Mambo 7 Yanayofanya Mbegu Za Mwanaume Kuwa Chache Na Dhaifu.

Manii kukosa mbegu pale anapozitoa kitaalam tunaita, “azoospermia.” Vyanzo vyake ni pamoja na kuziba kwenye njia za uzazi, matatizo ya homoni, matatizo ya kufika kileleni, au matatizo kwenye korodani au utendaji kazi wake. Visababishi vingi vinatibika na uwezo wa mwanaume kumpa mimba mwanamke unaweza ukarejea. Kwa visababishi vingine inawezekana kurejesha…

Fahamu Madhara 7 Mabaya Ya Ugonjwa Wa PID.

Madhara ya PID ambayo hayajatibiwa yanaweza kuchukua miaka mingi kuja kutokea. Matatizo yanayotokea yanaweza kuwa yenye maumivu. Madhara haya yanaweza pia kusababisha uharibifu wa kudumu kwenye viungo vya uzazi. Yanaweza kusababisha matatizo ya kutokushika mimba (utasa). Kadiri PID inavyoachwa bila kutibiwa kwa muda mrefu, ndivyo uwezekano wa matatizo haya hutokea.…

Fahamu Mambo 12 Yanayosababisha Mvurugiko Wa Homoni Kwa Mwanamke (Hormonal Imbalance)

Hali ya kutokuwa na uwiano sawa(hormonal imbalance) kwa wanawake hutokea pale vichocheo au homoni zinapopanda sana au kushuka sana na kufikia viwango vya chini kwenye mkondo wa damu. Vichocheo au homoni huwa ni kemikali zinazozarishwa na tezi katika mfumo wa endocrine zinazoambia seli, tishu, pamoja na viungo, kitu gani cha…

Je, Ugonjwa Wa PID Unaweza Kusababisha Maumivu Ya Mgongo?

Kuna magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha maumivu kwenye nyonga kwa wanawake. Endometriosis ni mfano mojawapo, na PID ndio unafuata. Lakini kama dalili zako zitakuwa ni maumivu ambayo husambaa kuelekea juu, basi lazima utakuwa unajiuliza je, PID inaweza kufanya mgongo wako uwe na maumivu? Hebu ngoja tuangalie Makala hii. Je, Maumivu…