Mwanamke kutokushika mimba kumegawanyika katika makundi makuu mawili. Kwanza ni hali inayoitwa “Primary infertility” ambapo mwanamke hana historia ya kupata ujauzito. Pili, kuna hali inayoitwa Sekondari infertility, hapa mwanamke anayo historia kama aliwahi kupata ujauzito haijalishi kama alizaa au alitoa ama iliharibika. NUKUU: Matatizo ya kutoshika mimba kitaalamu tunaita ‘infertility’…
FAHAMU VYANZO VYA UGONJWA WA KIFUA KIKUU(TB), DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA YAKE.
Kifua kikuu(TB) ni ugonjwa unaweza kuwa mbaya kabisa ambao huathiri sana mapafu. Bakteria wanaosababisha ugonjwa wa kifua kikuu(TB) husambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kupitia matone madogo ya mate yanayotolewa baada ya kupiga chafya au kukohoa. Mara chache katika nchi zilizoendelea, maambukizi ya ugonjwa wa kifua kikuu yalianza…
JE, KUPATA HEDHI MARA 2 KWA MWEZI NI JAMBO LA KAWAIDA? JE, NINI HUSABABISHA NA NINI MADHARA YAKE?
Ni kawaida kabisa mwanamke kupata mzunguko wa hedhi wa siku 23-38, na hata mabinti nao pia hupata mizunguko yenye urefu wa siku kama hizo. Lakini kumbuka kila mwanamke ana utofauti wake, na kila mzunguko wa mtu unaweza kutofautiana kuanzia mwezi mmoja hadi unaofuata. Katika vipindi vya miezi kadhaa, mzunguko wako…
ZIJUE TOFAUTI KATI YA KISONONO NA KASWENDE
Je, Kisonono Nini? Kisonono ni ugonjwa wa zinaa unaojulikana katika jamii. Pia ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria ambao wanaweza kuletwa na mwenzi wako kupitia uke, njia ya haja kubwa au mdomoni wakati mnapofanya tendo la ndoa. Je, Dalili Zake Zinakuwaje? Kisonono mara nyingi huwa hakisababishi dalili. Wanawake wenye maambukizi ya…
JE, NINI MAANA YA KUTOKUWA NA UWIANO SAWA WA HOMONI KWA WANAWAKE(HORMONAL IMBALANCE)?
Hali ya kutokuwa na uwiano sawa(hormonal imbalance) kwa wanawake hutokea pale vichocheo au homoni zinapopanda sana au kushuka sana kufikia viwango vya chini kwenye mkondo wa damu. Vichocheo au homoni huwa ni kemikali zinazozarishwa na tezi katika mfumo wa endocrine zinazoambia seli, tishu, pamoja na viungo, kitu gani cha kufanya.…
ZIJUE FAIDA 12 ZA UNGA SAFI WA HAPPY LIFE 4 BABY.
Happy Life 4 Baby ni unga safi uliotengenezwa kwa mchanganyiko wa vyakula vya asili vya nafaka, kunde pamoja na mbegumbegu. Mojawapo ya mchanganyiko wa vyakula hivi ni shayiri. Kadiri mtoto anapofikia hatua ya kuacha kunyonya, na kuanza kula chakula kigumu, basi ni vyema kumchagulia chakula chake cha kuanza kutumia kwa…